Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
- Thread starter
- #461
Kwa hiyo hilo gonjwa la town mungu alilileta kisha akasubiri aombwe ndio aliondoe?, usiniambie hakujua lilipotoka hadi likaua watu wakamuomba ndio akaliondoa.
Mungu hawezi kuzuia gonjwa kabla halijaua watu wake ama hua hajui linapotokea anakija kushtuliwa na maombi?[emoji3][emoji3].
Ukimwi, kansa bado maombi hayajamfikia ili ayaondoe kama alivyoondoa town au hajui kama yapo?
Tuendelee kuomba mkuu.
Ukimwi unamiaka zaidi ya 30 na Umeua watu zaidi ya mamilion ikiwemo mapadre na masheikh
Hapa ndio tunakuja kuelewa kua matatizo ya kihalisia hayatatuliwi kwa solution za kufikirika
It's Scars