Hapana mungu atabaki kuwa mungu hata Kama hakutenda Kama tunavyotaka, kuna kitu mungu anataka tujifunze kupitia corona na ni lazima uelewe kuwa mungu hujibu maombi yetu kwa wakati wake. Kwani wewe ukimwomba baba yako kitu akakunyima atakuwa siyo baba yako tena?
Thibitisha mungu wa kweli yupoMuunngu umjuwae wewe si ,Mungu wa kweli.
Lakini Mungu wa kweli hasa ,Huwapa waja wake majaribu,mitihani ,na dhoruba ,ili kuwatambulisha walio waumini halisi na wanafiki wazushi wapenda raha za hii dunia akina wewe.
Hukuletwa duniani ili ustarehe tuu,bali upambane na Asili. Huondo mpango wake mungu.
Kamtazame Yesu, Alikumbana na Mikiki kutoka kwa mwana damu pasi na makosa yoyote.
Mtazame ,Mussa aliishi Nyumbani kwa Farao,lakini hatimae walikimbizana na kutaka kuuwawa.
Hata baada ya Farao kuzamishwa,wana wa israili walijitokeza wanafiki wakaunda Mungu wa Sanamu kama Unavyo tamani wewe na wakamuacha Mungu wa kweli.
Hatukushangai kuwawewe Mungu wako ni wa Raha tuu, na akikujaribu humtaki tena.
Umefeli mtihani
Uislamu ndio uliotufunza kuwa panapoptokea janga la maradhi ya kuambukiza, pawkwe karantini.Mekka kutolipoti kifo baada ya jitihada zao za kuhakikisha nyie hamuendi kwao kwa hofu ya kufa kwa corona, hiyo nayo ni muujiza wa mungu??
Hahaha kijana sikukuu yenu ya wajinga ni wiki ijayo nashangaa umeanza kusherekea leo
It's Scars
Wewe chizi kama machizi wengine,umekuja na hoja ya kichiz na nimekuonesha uchizi wa hoja yako. Unaanza kuniuliza habari za Mungu.Swali nikuulize wewe, huyo mungu ambaye waumini wake wanaua watu katoka wapi? Kila kitu mungu mungu hahaha, fkn waste of time
Pap mwenyewe kapata corona hahaha, nishasema humu mara kibao dini ni upuuzi uliotungwa watu wameshika kwa sababu tu walizaliwa wakatishiwa kuchomwa moto siku ya mwisho.
Biblia ina makosa mengi mno, quran vilevile. Ila wakisoma wanatafuta kila njia kutetea upuuzi hadi watu wenye phd zao hahaha so stupid.Na waache upuuzi wa kwenda kukusanyika makanisani nchi nyingine makanisa ndiyo yamesababisha milipuko hii.
Wachungaji na masheikh wote na wale wana dini wote ambao wamekua wakijinadi kua wananguvu ya mungu ya hurumu yenye kuponya watu katika kila ugonjwa.Pap mwenyewe kapata corona hahaha, nishasema humu mara kibao dini ni upuuzi uliotungwa watu wameshika kwa sababu tu walizaliwa wakatishiwa kuchomwa moto siku ya mwisho.
Biblia ina makosa mengi mno, quran vilevile. Ila wakisoma wanatafuta kila njia kutetea upuuzi hadi watu wenye phd zao hahaha so stupid.Na waache upuuzi wa kwenda kukusanyika makanisani nchi nyingine makanisa ndiyo yamesababisha milipuko hii.
ha ha ha
Ukizungumzia wana dini basi hata wanasayansi pia nao ni wanadini,ni kama vile mfanyabiashara kuwa mwanadini,viongozi wa serikali wanadini n.k sasa sijui unakwama wapi?Wachungaji na masheikh wote na wale wana dini wote ambao wamekua wakijinadi kua wananguvu ya mungu ya hurumu yenye kuponya watu katika kila ugonjwa.
Huu ndio ulikua mda wao ku-shine
It's Scars
Corona ilipotua dunianiUlienda lini huko kwenye hiyo sayari?
We dogo unasoma na kuelewa kweli? Mbona unauliza kitu ambacho nishaelezea?
Nimekwambia suala la Mungu linaathiri maisha ya watu na nikaelezea kwa uchache,leo watu wanasaidia wenzao kwa imani ya kwamba Mungu atamlipa zaidi,watu wanafanya mema na kuacha mabaya kwa sababu ya suala la Mungu na mambo mengi tu ambayo yote yameathiriwa na suala la Mungu. Halafu wewe unakuja kufananisha habari za spiderman ambaye anaishia kwenye movie tu.
Habari za spiderman zimebuniwa kwenye movie na kuishia huko huko haina utata,sasa utafananishaje na habari za Mungu? Umelinganisha visivyolingana kabisa.
Wanapinga uwepo wa Mungu kila mtu anaelezea jinsi imani ya Mungu ilivyoanza tofauti na mwenzie.
Kuna watu wauaji wanaua watu na ndiyo dhambi kubwa kwenye dini ila bado ni muumini wa dini na anaamini Mungu,sasa huyo mtu utasema anaamini dini kwa sababu katishwa atachomwa moto?
Hoja zengine za kuchekesha kweli.
Yani anashindana na viumbe dhaifu alivyoviumbaWewe jamaa bhana!!?
Unavyo mchukulia MUNGU ndivyo naye atakavyo kuchukulia ukimchukulia kwa uzito na yeye atakuchukulia kwa uzito ukimchukulia kikawaida basi ivyoivyo atakuchukulia wewe
Nauhakika na hili
Wanajisahau sanaHapa unamzungumzia Mungu yule yule anaye jinasibu kuwa mkarimu au unazungumzia Mungu yupi huyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu hafanyi kazi kwa namna unavyowaza wewe. Wala si kwa namna ya kina GwajimaPoleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?
Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?
Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.
Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?
Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.
Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.
Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.
Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?
Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.
Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?
Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?
Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?
Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?
Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?
====
Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
Aisee dogo unapenda ubishi halafu uelewa mdogo.
Hebu niambie hiyo michezo anacheza nani sasa? Maana nimekwambia dua huomba muumini yeyote na si suala la watu maalumu ila umekazania watu wanacheza michezo!
Tunashuhudia watu wetu wa karibu ndugu zetu wenye hayo matatizo wakitibiwa kwa hizo dua ila wewe umeshika kisimu chako huko unatype tu kuwa ni michezo ya watu njoo huku mitaani ujionee.