Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
- Thread starter
- #501
Hapana mungu atabaki kuwa mungu hata Kama hakutenda Kama tunavyotaka, kuna kitu mungu anataka tujifunze kupitia corona na ni lazima uelewe kuwa mungu hujibu maombi yetu kwa wakati wake. Kwani wewe ukimwomba baba yako kitu akakunyima atakuwa siyo baba yako tena?
Huyo baba yangu anakua ni mwenye upendo wote na uwezo wote mpaka aninyime?
It's Scars