Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Hoja gani ambayo nimeiruka?

It's Scars
 
Ha ha!!

Jamaa maswali yako magumu sana.

Kuna miungu zaidi ya 3,000 watuambie kwanza yupi ni wa kweli? Kila mtu anasema wake ndio sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Na katika hiyo miungu iliyo zaidi ya 3000 watueleze kwanini mungu wao ndio sahihi na kivipi

Kisha watuthibitishie hiyi miungu mingine haipo

It's Scars
 
Nimekuuliza ulitaka wasifanye kazi wala kushughlika na taaluma zao?
Ishu sio kufanya, ishu ni kufanya katika njia gani

Kama maombi yanaweza kusaidia kazi zao kufanyika kulikua na sababu yeykte wao kutofanya kwa njia hiyo?

It's Scars
 
Hoja zipi zinafanya madai yako ya kuwa hakuna Mungu kuwa kweli?
Uwepo tu wa huu ubishano unaonesha kua mungu mjuzi wa yote, muweza wa yote na upendo wote ambaye kila mahali yupo ni hadithi

Unaweza kuniambia ni hoja gani zinazofanya ukubali kua spiderman hayupo kweli?

It's Scars
 
Inamaana wewe unataka watu waaamini kua mwenyezimungu hayupo kama ambavo wewe unaamini?
 
Kwenye ba
Kwenye bandiko lako unasema kua hakuna mungu
Kwenye post yako umesema mimi nimetaka watu waamini hakuna mungu

Halafu hapo umenionesha nimeandika "hakuna mungu"

Sasa huoni kwamba unajipinga?

It's Scars
 
Ningemsikia akisema, leo hii nisingewaganda hapa mthibitishe uwepo wake

Nimesoma vitabu vya dini vikidai kua binadamu hajakamilika anamadhaifu, unabidi uelewe kua nimejenga hoja kwa minaajili ipi

It's Scars
Sasa anaejidai kuwa Mungu kwa mujibu wa vitabu vya dini ndo huyo anasema kamuumbq binadamu kwa udhaifu.

Sasa huyo Mungu mwenyewe anasema kaumba kiumbe dhaifu.

Wewe kwa nini usijenge hoja kwa Mujibu wa vile alivyosema badala yake unajenga hoja kana kwamba yeye kaisema hoja hiyo..

Kwani waoi Mungu kasema kuwa amemuumba kiumbe akiwa hana udhaifu ni mkamilifu ?

Kama hajasema hivyo manake Mungu hajasema kuwa kaumba kiumbe mkamilifu wewe tu ndo unajjitia kumtangulia.

Mungu kasema kamuumba kiumbe ni dhaifu,na wewe unakubali kuwa sisi viumbe ni madhaifu sasa kwa hayo ya kiumbe mkamilifu umeyatoa wapi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa anaejidai kuwa Mungu kwa mujibu wa vitabu vya dini ndo huyo anasema kamuumbq binadamu kwa udhaifu.
Kwanza hayo maneno unahakika gani kua yamesemwa na huyo mungu?

Sasa huyo Mungu mwenyewe anasema kaumba kiumbe dhaifu.

Unajuaje kwamba watu walivyoshindwa kufanya vitu kwa matamanio yao waliamua kutengeneza uongo kupitia udhaifu wao huo kua wameumbwa na mungu thats why waka apply hiyi dhana kwenye vitabu vyao kua mungu kasema kua kaumba kiumbe dhaifu?

Wewe kwa nini usijenge hoja kwa Mujibu wa vile alivyosema badala yake unajenga hoja kana kwamba yeye kaisema hoja hiyo..
Nikijenga hoja hapa kuhusu spiderman na wewe ukiijadili, hiyo itafanya spiderman awepo?

Kwani waoi Mungu kasema kuwa amemuumba kiumbe akiwa hana udhaifu ni mkamilifu ?
Mungu muweza wa yote, mjuzi wa yote na upendo wote hawezi kuumba kiumbe dhaifu

Kuwepo kwa viumbe dhaifu kunainesha mungu huyu ni hadithi tu wala hayupo kihalisia


Kama hajasema hivyo manake Mungu hajasema kuwa kaumba kiumbe mkamilifu wewe tu ndo unajjitia kumtangulia.
Kwanini kutokusema kwake kusihusishwe na sababu ya kutokuwepo kwake?

Vipi kama hajasema kwasababu hayupo?

Mungu kasema kamuumba kiumbe ni dhaifu,na wewe unakubali kuwa sisi viumbe ni madhaifu sasa kwa hayo ya kiumbe mkamilifu umeyatoa wapi ?
Na kama vitabu hivyo hivyo vimesema mungu ni mjuzi wa yote, uwezo wote na upendo wote sasa kwanini kiumbe kiwe dhaifu?

Kama unaweza kukubali kuwepo kwa udhaifu wa kiumbe katika ulimwengu ambao mungu mjuzi wa yote, uwezo wote na upendo wote yupo, basi kwa sheria hiyo hiyo tunaweza kukubali kua watu ni dhaifu katika ulimwengu ambao mungu hayupo

It's Scars
 
Ishu sio kufanya, ishu ni kufanya katika njia gani

Kama maombi yanaweza kusaidia kazi zao kufanyika kulikua na sababu yeykte wao kutofanya kwa njia hiyo?

It's Scars
Ulitaka dua zisaidie vp?
 
Uwepo tu wa huu ubishano unaonesha kua mungu mjuzi wa yote, muweza wa yote na upendo wote ambaye kila mahali yupo ni hadithi

Unaweza kuniambia ni hoja gani zinazofanya ukubali kua spiderman hayupo kweli?

It's Scars
Huu ubishani unaoneshaje ya kwamba hakuna Mungu? Fafanua.
 
Wewe Wacha ujinga, Qur'an yenyewe inakwambia kuna ilm. Neno la Kwanza lilishushwa ni Soma.

Tatizo lako ni ilm finyu mpaka unaanza kuzuwa. Soma.
 
Ww mshindi.
 
Ni ile ambayo imethibitisha mungu yupo kihalisia bila kuacha utata

Kuna dini gani ambayo imewahi kuthibitisha hilo?

It's Scars
Hilo swali natakiwa mie ndiyo nikuulize wewe maana wewe ndiyo mwenye kujua dini ya kweli na ndiyo maana unasema hizi zengine sio za kweli. Nitajie hiyo ya kweli.
 
Huu ubishani unaoneshaje ya kwamba hakuna Mungu? Fafanua.
Uwepo wa huu ubishano unaonesha kua mungu mjuzi wa yote, muweza wa yote na upendo wote ambaye kila mahali yupo ni hadithi

Angekuwepo kila mtu angemjua bila ubishi yupo katika dhana ya kufikirika tu na ndio maana hathibitishiki yupo

Wewe unaweza kuthibitisha yupo kihalisia?

It's Scars
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…