Kwa hiyo ndiyo maana unacheka cheka hovyo kama hao makafir?110. Lakini nyinyi mliwakejeli hata wakakusahaulisheni kunikumbuka, na mlikuwa mkiwacheka. (al Muuminuun : 110)
Sasa bibi hii aya mbona iko wazi kabisa inawazungumzia makafiri baada ya kuacha ukumbusho na kuwacheka waja wema, onyesha ushahidi unao onyesha kumcheka mtu dhalimu muovu anapo andika vya kuchekesha.
Lakini aya imesema walikuwa wana wacheka na haija sema "walikuwa wanajichekesha"
Ahsante.
Hilo swali natakiwa mie ndiyo nikuulize wewe maana wewe ndiyo mwenye kujua dini ya kweli na ndiyo maana unasema hizi zengine sio za kweli. Nitajie hiyo ya kweli.
Kwanini kila mtu angemjua? Ni kipi kinafanya useme hivyo?Uwepo wa huu ubishano unaonesha kua mungu mjuzi wa yote, muweza wa yote na upendo wote ambaye kila mahali yupo ni hadithi
Angekuwepo kila mtu angemjua bila ubishi yupo katika dhana ya kufikirika tu na ndio maana hathibitishiki yupo
Wewe unaweza kuthibitisha yupo kihalisia?
It's Scars
Bado sijakuelewa,maana dua zinaombwa kama kawaida sasa sijui wewe utawezaje kujua kuwa jambo fulani limefanikiwa kutokana na athari za dua?
Nikwasababu anauwezo wote na upendo woteKwanini kila mtu angemjua? Ni kipi kinafanya useme hivyo?
Bado sijakuelewa,maana dua zinaombwa kama kawaida sasa sijui wewe utawezaje kujua kuwa jambo fulani limefanikiwa kutokana na athari za dua?
Dini ziko nyingi na kila mmoja anasema yake ndiyo ya kweli na ana sababu zake,wewe nae umekuja na sababu zako za dini ya kweli ila unasema hiyo dini yenyewe ya kweli haipo.Hukutakiwa kuuliza wewe na ndio maana mimi nimekuuliza wewe
Mimi ukiniuliza hilo swali mbona jibu rahisi tu kua "hakuna dini ya kweli"
Unaweza kunitajia dini ambayo ni ya kweli iliyoweza kuthibitisha mungu yupo kihalisia bila kuacha utata nje ya hadithi za kufikirika?
It's Scars
Sijasema dini haziko nyingi, na kila mmoja kusema dini yake ni ya kweli hiyo haifanyi dini hiyo kuwa kweliDini ziko nyingi na kila mmoja anasema yake ndiyo ya kweli na ana sababu zake,wewe nae umekuja na sababu zako za dini ya kweli ila unasema hiyo dini yenyewe ya kweli haipo.
Je vp ambao mungu wao ng'ombe ambae anaonekana na kushikika? Je watu wenye dini hiyo bado utasema dini yao ni ya uongo?
Hujajibu swali la msingi kwanza,utawezaje kujua kuwa jambo fulani limefanikiwa kwa sababu ya dua zilizoombwa? Kwa sababu kama huna tabu na watu kufanya shughuli zao na huku wakiomba dua,maana yake huwezi kushangaa kwa waliyozuia kuhiji maana ni sehemu ya kazi yao kuzuia maafa(na huna tabu wanadini kufanya kazi zao). Inabaki kipengele cha dua,utawezaje kujua kwamba jambo fulani limekuwa hivyo kwa athari za dua?Sijakataa kua dua haziombwi, nakataa kua hakuna respond zinazoweza kuletwa kwa kuomba dua.
Na ndio maana nimekuambia dua ingekua inafanya kazi kwa namna ambavyo unaaminishwa, leo hii tusingeona mekka wakipiga ban watu wasiende kuhiji kwa hofu ya kupata corona wakati wangeomba dua wangeweza kuepuka
It's Scars
Ndio maana nilisema hizo dini kila mmoja ana sababu zake za kuona dini yake ni ya kweli na chengine dini hutofautiana maelezo,sio kila dini inasema Mungu ni mmoja na ndiyo aliyoumba kila kitu na ana upendo n.k.Sijasema dini haziko nyingi, na kila mmoja kusema dini yake ni ya kweli hiyo haifanyi dini hiyo kuwa kweli
Katika hao watu waliosema dini zao ni za kweli, walishathibitisha mungu yupo kihalisia bila kuacha utata??
Kama wako kinyume na hapo, wapo kinyume na ukweli
Kuonekana na kushikika bado sio dhana ya kufanya ukubali jambo lolote
nitawauliza huyo ng'ombe ni mjuzi wa yote, uwezo wote, muweza wa yote na upendo wote kiasi aweze kuumba ulimwengu na vilivyomo?
It's Scars
Kuna kuwa na sifa au uwezo wa jambo fulani na kufanya hilo jambo au kutofanya,sasa sijajua hoja yako ni ipi hapa? Maana kila jambo lina sababu yake, ukisema angekuwepo asingeshindwa kumfanya kila mtu amjue inabidi ueleze sababu zingemfanya aamue hivyo na si kuamua tofauti na hivyo?Nikwasababu anauwezo wote na upendo wote
Angekuwepo asingeruhusu watu wasimjue wakati anaupendo wote
Angekuwepo kila mtu angemjua kwasababu huyu mungu anasifa ya kuwepo kila mahali
Amgekuwepo asingeshindwa kuwafanya watu wamjue kwasababu ni mungu muweza wa yote
It's Scars
Kuna kuwa na sifa au uwezo wa jambo fulani na kufanya hilo jambo au kutofanya,sasa sijajua hoja yako ni ipi hapa? Maana kila jambo lina sababu yake, ukisema angekuwepo asingeshindwa kumfanya kila mtu amjue inabidi ueleze sababu zingemfanya aamue hivyo na si kuamua tofauti na hivyo?
Hauwezi kujua kwasababu hakuna jambo ambalo limewahi kufanikiwa kwa dua, na ndio maana unaona watu hawajishughulishi na dua katika kutafuta suluhu ya coronaHujajibu swali la msingi kwanza,utawezaje kujua kuwa jambo fulani limefanikiwa kwa sababu ya dua zilizoombwa?
Kwanini wazuie watu wasiingie kwao badala ya kuzuia ugonjwa usiwadhuru kwa kuomba dua??Kwa sababu kama huna tabu na watu kufanya shughuli zao na huku wakiomba dua,maana yake huwezi kushangaa kwa waliyozuia kuhiji maana ni sehemu ya kazi yao kuzuia maafa(na huna tabu wanadini kufanya kazi zao). Inabaki kipengele cha dua,utawezaje kujua kwamba jambo fulani limekuwa hivyo kwa athari za dua?
Hili nimeshalijibu.Ukiona narudia swali ambalo kwako unahisi umelijibu basi lirudie jibu lako halafu lipime
Hali halisi ni nini?
Kwanini hali halisi ithibitishe mungu na sio kingine?
Unajuaje kua watu hawakutumia kichaka cha "hali halisi" ili kuweka ulaghai wao kama conspiracy theory??
It's Scars
Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote amabaye amenukuliwa katika hivyo vitabu angekuwepo kusingetokea majanga ya magonjwa kama haya
Kuwepo kwa haya magonjwa kunaonesha mungu huyo hayupo na hivyo vitabu vilivyo andika habari zake ni vya uongo
It's Scars
Acha kukimbia maswali, na huku kunathibitisha ya kuwa huna hoja zaidi ya kuruka kuruka.Kabla ya kwenda huko
Wewe umekubali kua hoja yangu kutoafikiana na hoja yako haifanyi hoja yako kua jibu sahihi?
It's Scars