Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Ni sehemu ya aina gani ya kazi? Dua ni maombi si kazi.

Nitajie dini inayosema usifanye kazi omba dua tu?
Maombi yakileta jibu la positive hiyo itamaanisha dua imefanya kazi au haijafanya kazi?

It's Scars
 
P Pole kwa kutokuamini kwako!! Kumpinga Mungu na kumkejeli hakuwezi kukuletea amani ambayo umekuwa ukiitafuta bila mafanikio. Usipoamini wewe mwisho Wa Siku ni kwa hasara yako. Waweza kukataa yote kwa sasa lakini siku moja hutakataa kusimama mbele ya Mungu Siku ya hukumu. Nakushauri umwamini Yesu uokoke. Yako maisha ya milele baada ya haya.
 
Swali langu ni dini gani inayosema watu wasifanye kazi waombe dua tu?
Kwani dua sio sehemu ya hizo kazi?

Kama dua inafanya kazi kwa kuleta impact chanya hapo utasema dua haifanyi kazi?

It's Scars
 

Sitaki kuamini

Unaweza kuthibitisha mungu yupo?

It's Scars
 
Sina matatizo ya macho labda wewe uwe na matatizo ya kusahau,nitajie namba ya post ulikoweka jibu

Mimi kila post nayo i-post ina majibu ndani yake

Kama swali uliliuliza basi post ambayo nimeku-reply ndio inamajibu yako

It's Scars
 
Kuwepo kwako binafsi kunathibitisha kuwa Mungu yupo! Kutokuamini kwako siyo uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mungu.
Hapo hujathibitisha bali umelabdisha na kuonesha jinsi gani huna uhakika na unachokisimamia

Inaonesha kuamini kwako mungu ni matokeo ya kukosa majibu ya hilo swali



It's Scars
 
Kwani dua sio sehemu ya hizo kazi?

Kama dua inafanya kazi kwa kuleta impact chanya hapo utasema dua haifanyi kazi?

It's Scars
Sijakuuliza kujibiwa au kutojibiwa maombi ya dua. Nauliza ni dini ipi inasema watu wasifanye kazi?
 
umen
umeniwakilisha aise nilikuwa na fikra kama zako
 
Hujajibu hili swali

Hali halisi ni nini?

Kwanini hali halisi ithibitishe mungu na sio kingine?

Unajuaje kua watu hawakutumia kichaka cha "hali halisi" ili kuweka ulaghai wao kama conspiracy theory??

It's Scars
Rejea nyuma utaona, usipate shida.
 
Rejea nyuma utaona, usipate shida.
Ndio nilikotoka huko

Hujajibu hili swali

Hali halisi ni nini?

Kwanini hali halisi ithibitishe mungu na sio kingine?

Unajuaje kua watu hawakutumia kichaka cha "hali halisi" ili kuweka ulaghai wao kama conspiracy theory??

It's Scars
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…