Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Hujajibu hili swali

Wewe umekubali kua hoja yangu kutoafikiana na hoja yako haifanyi hoja yako kua jibu sahihi?

It's Scars
Soma tena sijasema maneno hayo.

Unasahau sana kijana,halafu unataka kujadiliana, usini lishe maneno.

Kwa ufupi silei ujinga.
 
Sijakuuliza kama majibu sahihi unayo au huna

Nimekuuliza

Unajuaje kwamba sijajibu maswali yako na sio kwamba huna uwezo wa kusoma kwa uelewa hoja zangu?

It's Scars
Naona umeishiwa maswali unarudia maswali niliyo kujibu.

Silei ujinga,ni wakati wako sasa kujibu maswali yangu.
 
Hili nikishakujibu, naona una sahau sana.

Nakukumbusha tu ya kuwa sijibu maswali ambayo nimeshayajibu.
Lile sio jibu bali ile ni Circular logic ikionesha kutapatapa kwako kwakukosa jibu

Hili swali sio wewe tu hadi hao unaowapelekea sadaka hawaliwezi.

Swali lenyewe ni hili

hicho kitabu umejuaje kua kimesema ukweli?


It's Scars
 
Soma post yako namba 13 halafu uje hapa ujione ni jinsi gani mjinga, imefikia hatua mpaka umeanza kujichanganya kwa ujinga wako mwenyewe



It's Scars
Naona huu ni muendelezo wa kukimbia hoja, nilirejea katika post hiyo na nikakubainishia uzuri kabisa.
 
Mung7H
Hapo hujathibitisha bali umelabdisha na kuonesha jinsi gani huna uhakika na unachokisimamia

Inaonesha kuamini kwako mungu ni matokeo ya kukosa majibu ya hilo swali



It's Scars
Hata kukataa kwako habari ya uwepo Wa Mungu hakuwezi kuishawishi nafsi yako mwenyewe!! Kuhangaika kwako kote huku ni jitahada zako za kutaka kuinyamazisha dhamiri yako ambayo hukusuta daima!! Huna amani, huna furaha Bali umejaa maumivu na uchungu moyoni daima. Hiyo ni dalili kuwa hukumu ya Mungu iko mlangoni kwako ikikusubiri. Usipotubu hutaikwepa hukumu ya Mungu. Hapo huna ujanja!! Mungu anakupenda sana ndiyo maana amekuvumilia kwa muda mrefu, usifikiri hakuoni au hakufuatilii Bali anasubiri toba yako!! Kilichofinyangwa hakiwezi kudhani kinaweza kuwa na ufahamu wa kumjua kwa ukamilifu aliyekifinyanga.
 
Na Ishu ni kukosolewa ishu sio aya imesema nini



It's Scars
Una matatizo ya akili kijana, inabidi ujifunze namna ya kuhoji, vipi ishu isiwe ni aya hali ya kuwa ameegemea katika ushahidi wa aya ? Msingi wa hoja yake ni aya, vipi isiwe aya.

Kijana, nilikwambia hapa utaumia.
 
Soma tena sijasema maneno hayo.

Unasahau sana kijana,halafu unataka kujadiliana, usini lishe maneno.

Kwa ufupi silei ujinga.
Unahakika hujasema maneno hayo?

Post ya 902 umesemaje?

It's Scars
 
Ndio nilikotoka huko

Hujajibu hili swali

Hali halisi ni nini?

Kwanini hali halisi ithibitishe mungu na sio kingine?

Unajuaje kua watu hawakutumia kichaka cha "hali halisi" ili kuweka ulaghai wao kama conspiracy theory??

It's Scars
Na mifano nikakupa.

Unatakiwa kujibu maswali yangu sasa mzee.
 
Lile sio jibu bali ile ni Circular logic ikionesha kutapatapa kwako kwakukosa jibu
Situmii misingi ya logic kujenga hoja zangu wala kuvunja hoja za aliye dhidi yangu, na kuniambia ile ni "Circular Logic" unanikosea adabu sana.

Mpaka sasa hujajibu swali langu hata moja, halafu unataka mjadala na mimi ? Kijana lazima ukimbie kama unavyokimbia kila siku kwa kuacha kujibu maswali.
hicho kitabu umejuaje kua kimesema ukweli?
Kadhalika swali hili nilikujibu.

Silei ujinga kijana, nasubiri ujibu maswaliniliyo kuuliza,kukimbia maswali yangu hakukusaidii kitu, zaidi ya kuonekana zwa zwa zaidi.
 
Naona umeishiwa maswali unarudia maswali niliyo kujibu.

Silei ujinga,ni wakati wako sasa kujibu maswali yangu.
Hakuna swali ulilojibu

Hujajibu ni kwanini mazingira ya uhalisia kufanana na habari zilizomo kwenye kuran kuthibitishe allah yupo?

Hujajibu ni kwa namna gani unaweza kujua kua hivyo vitu ambavyo vipo halisia kimazingira vimeandikwa kwenye kuran ili kuwafanya watu waamini kua ni kitabu cha kweli kwakulinganisha uhalisia wake katika mazingira halisi??



It's Scars
 
Unahakika hujasema maneno hayo?

Post ya 902 umesemaje?

It's Scars
Nilichokisema mimi ni hiki " Kwa kile kinachodaiwa kuwa ni jibu kutoafikiana na jibu sahihi ambalo ninalo."

Ukichokiandika wewe ni hiki : "Wewe umekubali kua hoja yangu kutoafikiana na hoja yako haifanyi hoja yako kua jibu sahihi?"

Sasa unatakiwa ifikie hatua tuheshimiane kijana, kamwe hafanani na hajawahi kufanana anae jua na asie jua.

Kwa mtindo huu ndio maana unasema hujajibiwa maswali yako.

Ahsante.
 
Na mifano nikakupa.

Unatakiwa kujibu maswali yangu sasa mzee.
Mfano ulionipa haukujibu swali hili

Mfano ulionipa ulisema uhalisia wenyewe ni kama baba kua mkubwa kuliko mwanae, ukasema jua kutembea nk

Mifano hiyo haijajibu swali hili


Kwanini hali halisi ithibitishe mungu na sio kingine?

Unajuaje kua watu hawakutumia kichaka cha "hali halisi" ili kuweka ulaghai wao kama conspiracy theory?

Unajuje kua hali halisi hiyo uliyoitolea mifano ilikuwepo tangu kabla na watu wakaamua kukopi jambo hilo kwa kuliandika kwenye hicho kitabu ili watu wakisoma kitabu hicho waamini kua ni kitabu cha kweli kwasababu kuna maandishi machache yanayo thibitishika katika mazingira yao??

It's Scars
 
Hakuna swali ulilojibu

Hujajibu ni kwanini mazingira ya uhalisia kufanana na habari zilizomo kwenye kuran kuthibitishe allah yupo?

Hujajibu ni kwa namna gani unaweza kujua kua hivyo vitu ambavyo vipo halisia kimazingira vimeandikwa kwenye kuran ili kuwafanya watu waamini kua ni kitabu cha kweli kwakulinganisha uhalisia wake katika mazingira halisi??



It's Scars
Safi kabisa, unaweza kuonyesha haya maswali wapi uliyauliza hapo kabla ?
 
Situmii misingi ya logic kujenga hoja zangu wala kuvunja hoja za aliye dhidi yangu, na kuniambia ile ni "Circular Logic" unanikosea adabu sana.

Mpaka sasa hujajibu swali langu hata moja, halafu unataka mjadala na mimi ? Kijana lazima ukimbie kama unavyokimbia kila siku kwa kuacha kujibu maswali.

Kadhalika swali hili nilikujibu.

Silei ujinga kijana, nasubiri ujibu maswaliniliyo kuuliza,kukimbia maswali yangu hakukusaidii kitu, zaidi ya kuonekana zwa zwa zaidi.
Mpaka hapo tayari ushaitumia logic

Rudi kwenye swali langu

Unajuaje kua kitabu cha kuran hakijaongopa?

It's Scars
 
Back
Top Bottom