Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?

Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?

Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.

Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?

Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.

Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.

Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.

Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?

Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.

Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?

Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?

Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?

Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?

Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?

====

Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
Mi naona wameumbuka sasa imejulikama wao wanatabiri mapepo na majini tu, na mambo ya kujaza watu hela kwenye pochi kimiujiza.
Yaani wote pamoja na kujimwambafai kwamba wana mawasiliano mazuri ma Mwenyezi Mungu kwamba ana wastua mapema kama kuna kitu kibaya kinataka kutokea sasa imethibitika wote ni wachumia tumbo macho ku mchuzi. Hawana lolote. Angalau mmoja tu angetuhabarisha ingeeleweka lakini wote nchi mzima walimuwa gizani kuhusu Corona.
Na watu wote wanaoendelea kuwaamini hawa watu naomba wajitafakari
 
Kwenye Theology ukisoma vizuri utakuta hizi Abrahamic religions (Judaism, Christianity, Uislam) ni fabrications tu, hazina ukweli wowote na ndiyo maana wachungaji wa siku hizi baada ya kusoma na kugundua ukweli huo wanacheza na akili za waumini wao kwa sababu wanajuwa hizi dini hazina ukweli wowote ule. Mfano kuna huyu nabii wa Kinigeria aitwaye T.B. Joshua, huyu jamaa baada ya kuchunguza nimekuta ni mshirikina kupindukia ila anatumia jina la Mungu kurubuni waumini wake kwa kuwachezea akili. HAKUNA kitabu chenye madhambi kama Qur'an.....ukitaka kumtupia mtu marogo/uchawi vyote vinapatikana kwenye hiki kitabu, ukitaka kuua mtu pia unapata humo humo ndani ya Qur'an, hivi iweje Mungu atukataze kuuana then ashushe Qur'an na kuruhusu waarab mauwaji aliyokataza? Waafrika tuache ujinga, amkeni mmechezewa akili far too long kwa kisingizo cha dini. Huko Italia na nchi kibao duniani wau wanasali kwa Mungu aondoe Coronavirus, Mungu hawasikii, why?
Wewe umepata wapi ujasiri huo wa kusema kuwa dini hizi i za uongo?
Umesoma wapi?
Toa ushahidi wa kuonesha uongo wake basi
Mimi ni
Akili inathibitisha vipi kua kuran imesema ukweli?

Hapa hata mkristo anaweza kuku-challenge kua habari za muhamad kupasua mwezi hazikubaliki katika msingi wa akili

Unajuaje kua kanuni za maisha zilikuwepo tangu kitambo na kuran imefanya kuandika vitu ambavyo imevikuta ili ijinasibishe na uhalisia?

It's Scars
mbona havikuandikapo hizo tarif za kanuni za maisha na yeyote kabla Muhammadu na au kitabu chochote kabla ya qur-an?
na ilikuwje kuchukua karne kadhaa kuthibitishwa ukweli wake hizo kanuni za maisha unazo sema?
huna hoja,
hivi wewe unakataa uwepo wa Mungu kwa ushahidi upi?
na unatumia kitabu gani au akili ya nani isiyokuwa yako kukanusha hilo?
hebu nijibu. tafadhali
 
"Kama kazi ya maombi...." Yani mtu unamwambia kabisa kuwa maombi si kazi ni kutaka kupewa tu,ila bado anang'ang'ania kusema kazi ya maombi inashangaza kwa kweli.

Kuomba ingekuwa ni kazi basi wale ombaomba wangehesabiwa kuwa ni wafanya kazi ila wewe labda hujui maana ya kazi na ndiyo maana unaona kukaa na kuomba ni kazi.
Ombaomba wanavyoomba msaada barabarani nayo ni dua?

Kama kuomba dua kuna weza kuleta impact chanya huoni kwamba hiyo ni mental work?

It's Scars
 
Hoja gani umetoa mzee ?

Hivi kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza ?
Hivi kwanini unakwepa maswali yangu kwa kigezo cha kusema sijibu maswali yako kitu ambacho sio kweli?

It's Scars
 
Haya ni maneno yako bil shaka au unakataa ? Kama unakubali unacho zunguka nini na wapi nimekuzushia kama nimenukuu maneno yako kwa munasaba husika ?
Nikikuambia wewe ni mjinga hua sifanyi joking

Kivipi hayo maneno yawe yangu wakati nimeyatoa katika post yako na hilo nimeliweka wazi kwenye post yangu ambayo umei-quote?

Huoni kwamba maneno hayo nimeyanukuu kwenye post yako

Sasa ulivyo mjinga una kataa maneno yako kwa kuleta maneno ya nyuma ambayo nayo niliya dhoofisha.

Tuliza akili kijana.
Hii ni dalili mbaya sana umeonesha kukata tamaa na tumaini katika mjadala


Hebu angalia hayo maneno hapa chini ambayo umeyakataa kua sio yako halafu ujione ni kiasi gani we ni taila
IMG_20200325_010632_394.jpeg


It's Scars
 
Mi naona wameumbuka sasa imejulikama wao wanatabiri mapepo na majini tu, na mambo ya kujaza watu hela kwenye pochi kimiujiza.
Yaani wote pamoja na kujimwambafai kwamba wana mawasiliano mazuri ma Mwenyezi Mungu kwamba ana wastua mapema kama kuna kitu kibaya kinataka kutokea sasa imethibitika wote ni wachumia tumbo macho ku mchuzi. Hawana lolote. Angalau mmoja tu angetuhabarisha ingeeleweka lakini wote nchi mzima walimuwa gizani kuhusu Corona.
Na watu wote wanaoendelea kuwaamini hawa watu naomba wajitafakari
Muujiza ambao upo kihalisia ni matumizi ya face mask pamoja na kunawa maji safi yanayotiririka kwa sabuni

Huo ndio muujiza ambao unafanya kazi kipindi hiki na wala sio maombi yakufikirika ambayo sio msaada kama kivuli cha fimbo

It's Scars
 
Wewe umepata wapi ujasiri huo wa kusema kuwa dini hizi i za uongo?
Umesoma wapi?
Toa ushahidi wa kuonesha uongo wake basi
Mimi ni

mbona havikuandikapo hizo tarif za kanuni za maisha na yeyote kabla Muhammadu na au kitabu chochote kabla ya qur-an?
na ilikuwje kuchukua karne kadhaa kuthibitishwa ukweli wake hizo kanuni za maisha unazo sema?
huna hoja,
hivi wewe unakataa uwepo wa Mungu kwa ushahidi upi?
na unatumia kitabu gani au akili ya nani isiyokuwa yako kukanusha hilo?
hebu nijibu. tafadhali
Thibitisha mungu yupo

It's Scars
 
Infact ni kwamba hakuna sector yeyote ambayo muafrika anafanya kwa weledi bila kukosea kama sector ya ujinga

Muafrika kwenye ujinga ndo anaplay part vizuri kuliko sector yeyote unayoijua wewe
😂😂😂
 
Wote wako chaka wanaskilizia madaktari watoe jibu la hitimisho maana wao tayari wamejipanga na majibu yao mfukoni mwao

Ikitokea madaktari wametoa dawa, tutawaskia wakisema maombi yao ndio yamewezesha wanasayansi kupata dawa.

Na ikitokea hakuna dawa iliyotengenezwa na wanasayansi watasema kua mungu katupa corona ili kutujaribu na kutupima imani au watasema mungu hujibu maombi kwa wakati wake
Nimecheka Sana manina mie 😂😂😂😂
 
Ombaomba wanavyoomba msaada barabarani nayo ni dua?

Kama kuomba dua kuna weza kuleta impact chanya huoni kwamba hiyo ni mental work?

It's Scars
Kijana hapa hatutafuti mshindi usijitutumue kubisha hata yasiyo hitaji ubishani, "kama hivi kama vile" za nini? Kuomba si kazi na dini haziwaambii watu wasifanye kazi,wasijali afya zao,wasifanye shughuli zao,wasijikinge na maradhi na maafa. Sasa wewe unataka hayo yote wasiyafanye et waombe dua tu,hakuna dini inayosema hivyo.
 
Kijana hapa hatutafuti mshindi usijitutumue kubisha hata yasiyo hitaji ubishani, "kama hivi kama vile" za nini? Kuomba si kazi na dini haziwaambii watu wasifanye kazi,wasijali afya zao,wasifanye shughuli zao,wasijikinge na maradhi na maafa. Sasa wewe unataka hayo yote wasiyafanye et waombe dua tu,hakuna dini inayosema hivyo.
Kwanza nini maana ya kazi

Turahisishe mambo
 
Hivi kwanini unakwepa maswali yangu kwa kigezo cha kusema sijibu maswali yako kitu ambacho sio kweli?

It's Scars

Sijawahi kukwepa maawali yako kijana,bali wewe ndio unakwepa maswali.

Kuna maswali uliyojibu hata moja katika yale niliyo kuuliza ?

Sasa jibu.
 
Nikikuambia wewe ni mjinga hua sifanyi joking

Kivipi hayo maneno yawe yangu wakati nimeyatoa katika post yako na hilo nimeliweka wazi kwenye post yangu ambayo umei-quote?

Huoni kwamba maneno hayo nimeyanukuu kwenye post yako
Onyesha sehemu niliyo andika hayo maneno. Kijana nakuonea huruma sana.
 
Hii ni dalili mbaya sana umeonesha kukata tamaa na tumaini katika mjadala

Namaanisha maneno yako niliya dhoofisha lakini bado unarudia, sio kila jambo unatakiwa ubishe kijana, ndio unazidi kuonekana usie jua kujenga hoja bali unakimbia maswali.
 
Hebu angalia hayo maneno hapa chini ambayo umeyakataa kua sio yako halafu ujione ni kiasi gani we ni taila

Kaka naomba nisitishe huu mjadala. Nafanya hivi kwa haya yafuatayo.

1. Hujibu maswali
2. Unarudia kuuliza maswali ambayo umeshajibiwa
3. Hukijui unachokizungumzia
4. Unandika uongo na na kunizulia, kama ulivyo fanya hapa nilipo ku quote, umezusha kwamba nimeyakataa maneno yangu, kitu ambacho sio kweli na huwezi onyesha wapi nimekataa maneno hayo.
5. Umeamua kubisha tu kwa kila jambo huku ukiwa huna hoja kwa lolote na chochote.

Bora kujadiliana na wasomi mia unaweza kuwashinda kwa hoja na mjadala kwenda vizuri, kuliko kujadiliana nq mjinga mmoja, lazima mjinga huyo atashinda tu, sababu yeye hana hoja zaidi ya ubishi.

Kama unajadiliana kwa ajili ya ushindi kaka UMESHINDA. Ila kama unataka kujifunza au utakuja kutaka kujifunza na kujua, chukua elimu niliyo kupa humu kwa kujibu maswalo yako, itakusaidia pakubwa sana, kinyume utaendelea kuwa zwa zwa hivi hivi.

Ahsante.

nimehitimisha hili, kwa mara nyingine tena kwa njia ya kutilia mkazo sababu kiuhalisia huu uzi uliisha tangu siku ya kwanza.

Nipo .....
 
Back
Top Bottom