Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Ni sehemu ya aina gani ya kazi? Dua ni maombi si kazi.

Nitajie dini inayosema usifanye kazi omba dua tu?
Maombi yakileta jibu la positive hiyo itamaanisha dua imefanya kazi au haijafanya kazi?

It's Scars
 
P
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?

Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?

Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.

Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?

Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.

Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.

Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.

Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?

Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.

Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?

Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?

Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?

Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?

Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?

====

Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
Pole kwa kutokuamini kwako!! Kumpinga Mungu na kumkejeli hakuwezi kukuletea amani ambayo umekuwa ukiitafuta bila mafanikio. Usipoamini wewe mwisho Wa Siku ni kwa hasara yako. Waweza kukataa yote kwa sasa lakini siku moja hutakataa kusimama mbele ya Mungu Siku ya hukumu. Nakushauri umwamini Yesu uokoke. Yako maisha ya milele baada ya haya.
 
Swali langu ni dini gani inayosema watu wasifanye kazi waombe dua tu?
Kwani dua sio sehemu ya hizo kazi?

Kama dua inafanya kazi kwa kuleta impact chanya hapo utasema dua haifanyi kazi?

It's Scars
 
P
Pole kwa kutokuamini kwako!! Kumpinga Mungu na kumkejeli hakuwezi kukuletea amani ambayo umekuwa ukiitafuta bila mafanikio. Usipoamini wewe mwisho Wa Siku ni kwa hasara yako. Waweza kukataa yote kwa sasa lakini siku moja hutakataa kusimama mbele ya Mungu Siku ya hukumu. Nakushauri umwamini Yesu uokoke. Yako maisha ya milele baada ya haya.

Sitaki kuamini

Unaweza kuthibitisha mungu yupo?

It's Scars
 
Sina matatizo ya macho labda wewe uwe na matatizo ya kusahau,nitajie namba ya post ulikoweka jibu

Mimi kila post nayo i-post ina majibu ndani yake

Kama swali uliliuliza basi post ambayo nimeku-reply ndio inamajibu yako

It's Scars
 
Kuwepo kwako binafsi kunathibitisha kuwa Mungu yupo! Kutokuamini kwako siyo uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mungu.
Hapo hujathibitisha bali umelabdisha na kuonesha jinsi gani huna uhakika na unachokisimamia

Inaonesha kuamini kwako mungu ni matokeo ya kukosa majibu ya hilo swali



It's Scars
 
Kwani dua sio sehemu ya hizo kazi?

Kama dua inafanya kazi kwa kuleta impact chanya hapo utasema dua haifanyi kazi?

It's Scars
Sijakuuliza kujibiwa au kutojibiwa maombi ya dua. Nauliza ni dini ipi inasema watu wasifanye kazi?
 
umen
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?

Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?

Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.

Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?

Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.

Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.

Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.

Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?

Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.

Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?

Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?

Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?

Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?

Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?

====

Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
umeniwakilisha aise nilikuwa na fikra kama zako
 
Hujajibu hili swali

Hali halisi ni nini?

Kwanini hali halisi ithibitishe mungu na sio kingine?

Unajuaje kua watu hawakutumia kichaka cha "hali halisi" ili kuweka ulaghai wao kama conspiracy theory??

It's Scars
Rejea nyuma utaona, usipate shida.
 
Rejea nyuma utaona, usipate shida.
Ndio nilikotoka huko

Hujajibu hili swali

Hali halisi ni nini?

Kwanini hali halisi ithibitishe mungu na sio kingine?

Unajuaje kua watu hawakutumia kichaka cha "hali halisi" ili kuweka ulaghai wao kama conspiracy theory??

It's Scars
 
Back
Top Bottom