Yawezekana mungu muweza wa yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote ambaye angeweza kutunusuru na huu ugonjwa hayupo na ndio maana magonjwa kama haya yanatokeaYawezekana hili pigo la corona ni sawa na yale mapigo ya sodoma na gomora. Tukubali hili ni pigo la Mungu, kutukumbusha tufanye ibada za kweli, tuache ufuska na maushirikinamaushirikina
Unaelewa hapo unakua umemaanisha mungu hayupo?Kila kitu kinachoonekana kwa macho na visivyoonekana vina chanzo either chanzo cha asili au kutengenezwa
Unajuje kua habari ya sodoma na gomora ni habarib za kweli?Kwani wakati Sodoma na gomora inatokea hakuwepo? Yeye si ndio alitoa maelekezo na alishusha moto, wakati wa gharika ya nuhu si alikuwepo akanyesha mvua nchi nzima.
Why not corona? Tatizo ni kwamba siku hizi ukaribu na Mungu umepungua, malaika hawatokei kama zamani wakatuletea habari njema kutoka kwa Mungu, makatazo, na vipigo.
Sent using Fly in any Weather.
Upo sahihi hakuna ambacho si kazi kila kitendo ni kazi. Na dini haijasema watu wasijiepushe na maafa wala kujali afya zao hivyo saudia walichofanya ni mafundisho ya kiongozi wao wa dini.Kwani kuomba sio juhudi?
Ukiomba ukapewa, hayo maombi yako yanakua yamefanya kazi hau hayajafanya kazi?
Kwanini matokeo ya maombi yasiwe kazi kutokana na juhudi zako kuomba dua?
It's Scars
Ur still a learnerPoleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?
Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?
Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.
Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?
Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.
Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.
Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.
Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?
Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.
Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?
Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?
Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?
Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?
Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?
====
Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
Mungu naye kumbe ana double standards kama sisi?
Ye mbona kwenye vitabu amesema wivu ni dhambi halafu yeye huyo huyo anasema usiabudu miungu wengine maana yeye ni mungu mwenye wivu?
Leo hii mimi nikiwa na wivu na mungu naye awe na wivu hiyo si inamaana kama dhambi wote tunayo na kama sio dhambi basi wote hatuna. Sasa kwanini mimi niwe nayo halafu yeye asiwe nayo wakati wote tuna wivu?
Mawazo kama haya hayawezi kukaa kwenye kichwa cha mwanaume anae simamisha Kwa sababu ukhanithi huwa Una anzia kwenye akili.Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?
Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?
Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.
Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?
Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.
Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.
Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.
Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?
Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.
Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?
Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?
Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?
Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?
Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?
====
Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
Kama kila kilichopo.lazima kiwe na chanzo, nini chanzo cha mungu?
| Mungu si kitu katika vitu, Na hafanani na chochote katika vile uvijuavyo. Hata hivyo yupo anona na Anasikia. Ni yeye peke ya anyeanzisha vitu bila ya chanzo, Tuliobaki hatuwezi hayo,ni lazima tuwe na chanzo. UKITAKA KUMJUWA ZAIDI ,TAZAMA KAZI ZAKE. JE WAZIJUA KAZI ZA MUNGU? | ||||
Nabii Musa alijaribu kutaka kumuona Mungu,Kama kila kilichopo.lazima kiwe na chanzo, nini chanzo cha mungu?
Mbona ishara zipo nyingi tuu kuliko hizo za wana wa Israili,Kizazi cha kina Musa kiliamini Mungu yupo kwa ishara alizokuwa anazifanya live. Kizazi hiki tunahoji uwepo wake kwa kuwa hatujashuhudia kwa macho ishara zake.
Sasa mnataka muone ishara gani ili mfahamu kweli Mungu yupo? Au azime jua bado mtasema jua limefika ukomo wake lime expire
Ishara iliyobaki ni moja tuu atakaporudi tena duniani, when? mimi na wewe hatujui.
Sent using Fly in any Weather.
Ur the true son of Ur fatherMbona ishara zipo nyingi tuu kuliko hizo za wana wa Israili,
Nimempa huyo jama ishra ya Mbegu ya uzazi akitiwa yeye badala ya mwanamke anweza kutupatia mtoto?
Si karuka swali,
Mimi nadhani angelisema bora Nimjaribu ili tuthibitishe kuwa inawezekana hata kwa mwanamume,
lakini karuka kimanga.
Kumbe anajuwa kuwa Mungu ndie aliyepangilia mambo na si binadmu.
Lakini angenikubalia nikamwagia mbegu kisha tukasubiri mimba ,hapo angeliona ishara kamili.
Thibitisha nabii musa alikuwepo kweli na sio inventions za wayahudiNabii Musa alijaribu kutaka kumuona Mungu,
Huku akiwa waongea na kusikilizana,Akaonywa kuwa huwezi kuhimili kuniona Mimi.
Yeye akasisitiza,
Mungu alipojifunua akazimia papo hapo na kufa.
Hatimae akafufuliwa,naye akakiri mapungufu yake.
na kuwa wa kwanza kuamini.
Madai yako hayo yanaonesha kutokuchukua tahadhari ya waliokutangulia
Dini ipo ila kinachofundishwa ndio hakipo realReligion is real
Acha uhayawani wewe