1. Kwanini kuwe na ulazima wa kuwepo kwa chanzo?
2. Haiwezekani kilichopo kikawepo bila chanzo?
3. Nafsi ni nini?
4. Kabla ya kuzaliwa sikuwepo
5. Mimi ni mtu niko hapa duniani kwasababu mazingira haya yanaruhusu mimi kuwepo, na sitakuwepo endapo mazingira rafiki yakunifanya niwepo yakikosekana
6. Mtu anakufa kwasababu amekosa msimamizi mwenye uwezo wote+nguvu zote+ujuzi wote ambao ungemfanya aishi milele bila kufa
It's Scars
...Kumbuka hata ukiwa unatembea kwa kutumia usafiri wa gari lako na unaendesha si kila anayetembea kwa miguu kuelekea uelekeo unaoelekea ana uhitaji wa lift ya gari ila mwenye uhitaji itampasa kuomba kwa kusimamisha ndipo utajua hakika huyu anahitaji. Nadhani angekuwa anatusaidia kwa namna unavyohitaji tusingewahi kuamini uwepo wake.Binadamu tungekuwa tuna mabawa na tunapaa tusingeumiza kichwa kugundua magari na vyombo vingine vya usafiri na hata Mungu akitufanyia kila hitaji letu bila kumuomba tusingehitaji kufikiria kama kuna uwepo wake sababu tuutambue uwepo wake ili iweje. Ila tunapopata shida na kutumia akili zetu kutatua bila mafanikio ndipo hutupelekea kuamini yupo aliye juu ya vyote na yote na tukimrudia kwa imani ANATENDA.Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?
Ili uwe Mungu
Yafaa nikuulize wewe
Ni ipi dini ya Yesu?
Ni ipi dini Ya Musa naTorti yake?
Maana Dini a Muhammad imewekwa wazi ndani ya Qur-an kuwa
Dini ya haki mbele za Mungu Ni UISLAMU na ndio dini ya manabii wote walo tangulia akiwemo Yesu,Mussa na Ibrahimu
Na maana ya Neno Inslamu Ni 'Mpole na mnyeyekevu wa Moyo' kama alivyotufunza Yesu.
Hili Ukiristo Unamjuw aliyeanzisha dini Hiyo kule Antiokia.Mimi simtaji hapa.
Sasa kama Hujuwi Tazama hata ile sala aliyoisomesha yesu katika Injili kisha linganisha na sala za Kikkristo zinavyosaliwa leo zilivyotofauti.
''baba yetu iliye Mbinguni,Jina lako litukuzwe,Ufalme wako uje
Hapa duniani kama huko mbinguni,Tupe riziki yetu ya leo,Usitutie Majaribuni,Utuokowe na yule muovu...........
Sala hii inawiana kabisa na Ile ya waislamu tunayosali kila siku
Suratul Fatiha.
Yawezekana nguzo za uislamu kwa Mussa na Ibrahim zikatafautiana na Za Muhammad, Lakini Nguzo kuu Moja haina Tofauti kwa wote.Kumbe Musa, Ibrahim na Yesu walikuwa waislam!!
Walifuata NGUZO TANO za uislam au hawakuzifuata?
Sent using Jamii Forums mobile app
HayupoAnapokuwa yupo hai huyo Mtu.je yule msimamizi wa mambo yote na nguvu zote anakuwa yupo ?
Sent using Jamii Forums mobile app
...Kumbuka hata ukiwa unatembea kwa kutumia usafiri wa gari lako na unaendesha si kila anayetembea kwa miguu kuelekea uelekeo unaoelekea ana uhitaji wa lift ya gari ila mwenye uhitaji itampasa kuomba kwa kusimamisha ndipo utajua hakika huyu anahitaji. Nadhani angekuwa anatusaidia kwa namna unavyohitaji tusingewahi kuamini uwepo wake.Binadamu tungekuwa tuna mabawa na tunapaa tusingeumiza kichwa kugundua magari na vyombo vingine vya usafiri na hata Mungu akitufanyia kila hitaji letu bila kumuomba tusingehitaji kufikiria kama kuna uwepo wake sababu tuutambue uwepo wake ili iweje. Ila tunapopata shida na kutumia akili zetu kutatua bila mafanikio ndipo hutupelekea kuamini yupo aliye juu ya vyote na yote na tukimrudia kwa imani ANATENDA.
Kwasifa zako ulizozitaja unakusudia jambo la kufikirika ambalo kihalisia haliwezi kuwepo wala kuthibitishika.Ili uwe Mungu
Usife,Uhai kwako uwepo wa kuendelea.Uyashinde Mauti aliyoyaweka Muumba wa watu na vitu.(Kila kiumbe lazima Kife)
Usishindwe na Jambo loloteufanye ulitakalo kwa wakati utakao.
Usilale kabisa,uwe macho muda wote.
Usichoke .
Uwe umeanzisha kitu chako kisichofananishwa na kingine duniani wala mbinguni.
Uishi nje ya Dunia ya aliyeiumba,uwe na Ulimwengu wako binafsi.
Je wewe hicho kilema ulichonacho unaweza kujibadili uwe sawa? kama wengine? Utajiitaje mungu wakati humiliki chochote?
Kwa hiyo hata huko Misikitini Mapadre ndio waliwaletea habari za Allah?Ndio ujue HAKUNA MUNGU hapo! Ni fix tu za kale tulizolishwa na mapadri.
Hata WAKATI ule wa maandalizi ya Gharika kuu,Nabii Nuhu aliwaambia WATU watubu wamrudie MUNGU MUUMBA WA VYOTE,wanadamu wakamdharau wakisema Kama "Mungu hayupo".Mpaka Gharika ikaja ikawaangamiza wote.Kama mtoa mada huiamini Bible,NI KWAMBA huna uhalali wa kubishania kilichoandikwa kwenye Bible.Neno la Mungu KWENYE Bible linasema "Asemaye hakuna Mungu NI MPUMBAVU.YESU Aliposulubiwa juu ya Msalaba na wanyang'anyi wawili pembeni take,Yule mnyang'anyi mmojawapo aliyekuwa MPUMBAVU Kama wewe na kiburi chake alimdhihaki YESU.Sasa wewe unamdhihaki MUNGU kwa kiburi Cha uzima ulio nao kwa SASA.Kwanza wewe Ni Nani katika Dunia hii Mpaka umdhihaki MUNGU kiasi hicho.Wakati Wafalme na VIONGOZI wote wa Dunia hii wanamuabudu MUNGU.Hiyo Ni kumkufuru ROHO MTAKATIFU.Na Neno linasema DHAMBI ZOTE AZITENDAZO MWANADAMU(KAMA AKIZITUBU KWA KUMAANISHA)ATASAMEHEWA.LAKINI DHAMBI YA KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU,Haitasamehewa katika ulimwengu huu Wala katika ulimwengu ujao.Weye endelea kubaki na upumbavu wako Ati hakuna MUNGU !
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwahiyo wewe huamini kama Mungu yupo!??Mimi sio mjuzi wa yote ambaye naweza kujua uhitaji wa mtu hata kama hajaomba lift, pia mimi sina upendo wote kiasi kwamba nishindwe kumnyima lift, lakini pia mimi sina uwezo wote wa kuwasaidia kila mtu nitayekutana naye njiani kwa kumpa lift kulingana na uchache wa seat katika gari yangu
Mungu mwenye sifa za upendo wote, ujuzi wote, na uwezo wote hatakiwi kuwa na sababu yeyote ambaye inamfanya ashindwe kuzuia ubaya
Uwepo wa ubaya katika ulimwengu inaonesha wazi kua huyu Mungu mwenye sifa hizo hayupo
It's Scars
Wewe mbumbumbu kaa kimya acha kuigilia imani za watu wakati hijui lolote kihusu Mingu. Nyie watoto kinachowadanganya ni pale tu ukisoma philosophia kidogo tu unajiona umepata facts za kusimamia. Leo nakukumbusha kwa maswali haya ukishindwa kujibu nenda kamche muumba wako.Sisi tusio na dini miaka mingi tumekua tukisema dini ni taasisi za kibiashara kama biashara zingine ila watu hawatuelewi. Zipo kwa ajili ya kunyonya na kuibia waumini kwa ahadi ya maisha baada ya kifo.
Kabla ya hii corona kikua na matangazo ya maombi, uponyaji, utendaji miuja, kukanyaga mfuta, uuzaji wa chumvi ya upako, maji ya baraka, maji toka mto Jordan na mambo kadha wa kadha.
Baada ya corona hizo hadith zimezima kama vile umeme unavyokatika, giza totoro.
Dini inatuamba nini kwenye hii corona?
πππ, yaani umekaa ukafikiriii ukaona kati ya maswali magumu au yenye mantiki uliyonayo ndio haya?Wewe mbumbumbu kaa kimya acha kuigilia imani za watu wakati hijui lolote kihusu Mingu. Nyie watoto kinachowadanganya ni pale tu ukisoma philosophia kidogo tu unajiona umepata facts za kusimamia. Leo nakukumbusha kwa maswali haya ukishindwa kujibu nenda kamche muumba wako.
1.Ilikuwaje Binadamu akawepo duniani?
2.Kwanini tunakufa?
3.Kwanini upo duniani?
4.Wewe ni Nani?
5.Unafikiri huu ulimwengu ilikuwaje Mpaka ukawepo?
6.Ulishawahi kumuona mtu Mwenye mashetani anavyokuwa? Je unafikiri waalimu wa Imani huwa wanafanya jambo gani anapona?
7.Kwanini wanasayansi hawajamtengeneza Binadamu mpaka sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app