Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Anapokuwa yupo hai huyo Mtu.je yule msimamizi wa mambo yote na nguvu zote anakuwa yupo ?
1. Kwanini kuwe na ulazima wa kuwepo kwa chanzo?

2. Haiwezekani kilichopo kikawepo bila chanzo?

3. Nafsi ni nini?

4. Kabla ya kuzaliwa sikuwepo

5. Mimi ni mtu niko hapa duniani kwasababu mazingira haya yanaruhusu mimi kuwepo, na sitakuwepo endapo mazingira rafiki yakunifanya niwepo yakikosekana

6. Mtu anakufa kwasababu amekosa msimamizi mwenye uwezo wote+nguvu zote+ujuzi wote ambao ungemfanya aishi milele bila kufa



It's Scars

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?
...Kumbuka hata ukiwa unatembea kwa kutumia usafiri wa gari lako na unaendesha si kila anayetembea kwa miguu kuelekea uelekeo unaoelekea ana uhitaji wa lift ya gari ila mwenye uhitaji itampasa kuomba kwa kusimamisha ndipo utajua hakika huyu anahitaji. Nadhani angekuwa anatusaidia kwa namna unavyohitaji tusingewahi kuamini uwepo wake.Binadamu tungekuwa tuna mabawa na tunapaa tusingeumiza kichwa kugundua magari na vyombo vingine vya usafiri na hata Mungu akitufanyia kila hitaji letu bila kumuomba tusingehitaji kufikiria kama kuna uwepo wake sababu tuutambue uwepo wake ili iweje. Ila tunapopata shida na kutumia akili zetu kutatua bila mafanikio ndipo hutupelekea kuamini yupo aliye juu ya vyote na yote na tukimrudia kwa imani ANATENDA.
 
Jieupushe na Mungu wa uongo wakufikirika maana mimi na wewe ndio Mungu halisi

It's Scars
Ili uwe Mungu
1.Usife,Uhai kwako uwepo wa kuendelea.Uyashinde Mauti aliyoyaweka Muumba wa watu na vitu.(Kila kiumbe lazima Kife)
2.Usishindwe na Jambo loloteufanye ulitakalo kwa wakati utakao.
3.Usilale kabisa,uwe macho muda wote.
4.Usichoke .
5.Uwe umeanzisha kitu chako kisichofananishwa na kingine duniani wala mbinguni.
6.Uishi nje ya Dunia ya aliyeiumba,uwe na Ulimwengu wako binafsi.
Je wewe hicho kilema ulichonacho unaweza kujibadili uwe sawa? kama wengine? Utajiitaje mungu wakati humiliki chochote,hata usingizi wako huna amri nao?
 
Aliponiacha hoi huyo CORONA ni kawapiga CHENGA hawa manabii na mitume wetu dunia mzima 😂😂😂 hakuna hata mmoja aliyeoteshwa ....
 
Kumbe Musa, Ibrahim na Yesu walikuwa waislam!!

Walifuata NGUZO TANO za uislam au hawakuzifuata?
Yafaa nikuulize wewe
Ni ipi dini ya Yesu?
Ni ipi dini Ya Musa naTorti yake?
Maana Dini a Muhammad imewekwa wazi ndani ya Qur-an kuwa
Dini ya haki mbele za Mungu Ni UISLAMU na ndio dini ya manabii wote walo tangulia akiwemo Yesu,Mussa na Ibrahimu
Na maana ya Neno Inslamu Ni 'Mpole na mnyeyekevu wa Moyo' kama alivyotufunza Yesu.
Hili Ukiristo Unamjuw aliyeanzisha dini Hiyo kule Antiokia.Mimi simtaji hapa.
Sasa kama Hujuwi Tazama hata ile sala aliyoisomesha yesu katika Injili kisha linganisha na sala za Kikkristo zinavyosaliwa leo zilivyotofauti.

''baba yetu iliye Mbinguni,Jina lako litukuzwe,Ufalme wako uje
Hapa duniani kama huko mbinguni,Tupe riziki yetu ya leo,Usitutie Majaribuni,Utuokowe na yule muovu...........
Sala hii inawiana kabisa na Ile ya waislamu tunayosali kila siku
Suratul Fatiha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Musa, Ibrahim na Yesu walikuwa waislam!!

Walifuata NGUZO TANO za uislam au hawakuzifuata?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana nguzo za uislamu kwa Mussa na Ibrahim zikatafautiana na Za Muhammad, Lakini Nguzo kuu Moja haina Tofauti kwa wote.
Nayo ni.
'Bwana Mungu wetu ni Bwana Mungu Mmoja sikia ewe israili, Mpende kwa Moyo wako wote,akili yako yote na nguvu zako zote.....'
Na ya pili hii hapa
Yohana 17:17 Yesu akamwambia, “Usinishike; sijakwenda bado juu kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie: nakwenda juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.”
 
Qur-an sura ya
16:22. Mungu wenu ni Mungu Mmoja. Lakini wasio iamini Akhera(siku ya kiama) nyoyo zao zinakataa, nao wanajivuna.
 
...Kumbuka hata ukiwa unatembea kwa kutumia usafiri wa gari lako na unaendesha si kila anayetembea kwa miguu kuelekea uelekeo unaoelekea ana uhitaji wa lift ya gari ila mwenye uhitaji itampasa kuomba kwa kusimamisha ndipo utajua hakika huyu anahitaji. Nadhani angekuwa anatusaidia kwa namna unavyohitaji tusingewahi kuamini uwepo wake.Binadamu tungekuwa tuna mabawa na tunapaa tusingeumiza kichwa kugundua magari na vyombo vingine vya usafiri na hata Mungu akitufanyia kila hitaji letu bila kumuomba tusingehitaji kufikiria kama kuna uwepo wake sababu tuutambue uwepo wake ili iweje. Ila tunapopata shida na kutumia akili zetu kutatua bila mafanikio ndipo hutupelekea kuamini yupo aliye juu ya vyote na yote na tukimrudia kwa imani ANATENDA.

Mimi sio mjuzi wa yote ambaye naweza kujua uhitaji wa mtu hata kama hajaomba lift, pia mimi sina upendo wote kiasi kwamba nishindwe kumnyima lift, lakini pia mimi sina uwezo wote wa kuwasaidia kila mtu nitayekutana naye njiani kwa kumpa lift kulingana na uchache wa seat katika gari yangu

Mungu mwenye sifa za upendo wote, ujuzi wote, na uwezo wote hatakiwi kuwa na sababu yeyote ambaye inamfanya ashindwe kuzuia ubaya

Uwepo wa ubaya katika ulimwengu inaonesha wazi kua huyu Mungu mwenye sifa hizo hayupo

It's Scars
 
Ili uwe Mungu
Usife,Uhai kwako uwepo wa kuendelea.Uyashinde Mauti aliyoyaweka Muumba wa watu na vitu.(Kila kiumbe lazima Kife)
Usishindwe na Jambo loloteufanye ulitakalo kwa wakati utakao.
Usilale kabisa,uwe macho muda wote.
Usichoke .
Uwe umeanzisha kitu chako kisichofananishwa na kingine duniani wala mbinguni.
Uishi nje ya Dunia ya aliyeiumba,uwe na Ulimwengu wako binafsi.
Je wewe hicho kilema ulichonacho unaweza kujibadili uwe sawa? kama wengine? Utajiitaje mungu wakati humiliki chochote?
Kwasifa zako ulizozitaja unakusudia jambo la kufikirika ambalo kihalisia haliwezi kuwepo wala kuthibitishika.

Unaweza kuthibitisha?

It's Scars
 
Hata WAKATI ule wa maandalizi ya Gharika kuu,Nabii Nuhu aliwaambia WATU watubu wamrudie MUNGU MUUMBA WA VYOTE,wanadamu wakamdharau wakisema Kama "Mungu hayupo".Mpaka Gharika ikaja ikawaangamiza wote.Kama mtoa mada huiamini Bible,NI KWAMBA huna uhalali wa kubishania kilichoandikwa kwenye Bible.Neno la Mungu KWENYE Bible linasema "Asemaye hakuna Mungu NI MPUMBAVU.YESU Aliposulubiwa juu ya Msalaba na wanyang'anyi wawili pembeni take,Yule mnyang'anyi mmojawapo aliyekuwa MPUMBAVU Kama wewe na kiburi chake alimdhihaki YESU.Sasa wewe unamdhihaki MUNGU kwa kiburi Cha uzima ulio nao kwa SASA.Kwanza wewe Ni Nani katika Dunia hii Mpaka umdhihaki MUNGU kiasi hicho.Wakati Wafalme na VIONGOZI wote wa Dunia hii wanamuabudu MUNGU.Hiyo Ni kumkufuru ROHO MTAKATIFU.Na Neno linasema DHAMBI ZOTE AZITENDAZO MWANADAMU(KAMA AKIZITUBU KWA KUMAANISHA)ATASAMEHEWA.LAKINI DHAMBI YA KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU,Haitasamehewa katika ulimwengu huu Wala katika ulimwengu ujao.Weye endelea kubaki na upumbavu wako Ati hakuna MUNGU !

Sent using Jamii Forums mobile app

Mara nyingi tunachanganya kati ya kumwamini Mungu na kuamini dini.Dini si sawa na Mungu.Mungu hayuko kimaslahi kama zilivyo dini.
 
Hapo sasa ngoja wafia dini waje na mapovu ,kuwepo kwa mungu ni story za kusadikika tuu ipo siku wataelewa tuu
 
Mimi sio mjuzi wa yote ambaye naweza kujua uhitaji wa mtu hata kama hajaomba lift, pia mimi sina upendo wote kiasi kwamba nishindwe kumnyima lift, lakini pia mimi sina uwezo wote wa kuwasaidia kila mtu nitayekutana naye njiani kwa kumpa lift kulingana na uchache wa seat katika gari yangu

Mungu mwenye sifa za upendo wote, ujuzi wote, na uwezo wote hatakiwi kuwa na sababu yeyote ambaye inamfanya ashindwe kuzuia ubaya

Uwepo wa ubaya katika ulimwengu inaonesha wazi kua huyu Mungu mwenye sifa hizo hayupo

It's Scars
Mkuu kwahiyo wewe huamini kama Mungu yupo!??
 
Hayupo

Angekuwepo kusingekua na mabaya ambayo yanaweza kumpelekea yeye kufa hapo baadae

It's Scars

Umejuaje hilo ? Yaani mabaya yanathibitsha vipi kutokuwepo kwa aliye fanya yawepo ?

Kuwepo kwa mabaya kunasababishwa na nini hasa ? Maana kauli yako haina maana, sababu huwezi kuthibitisha unachokidai kwani hakijawahi kuwepo.

Angalizo usijibu hoja kama hujaelewa, bora uulize kwanza kisha ujibu, nakusaidia tu hapa.
 
Sisi tusio na dini miaka mingi tumekua tukisema dini ni taasisi za kibiashara kama biashara zingine ila watu hawatuelewi. Zipo kwa ajili ya kunyonya na kuibia waumini kwa ahadi ya maisha baada ya kifo.

Kabla ya hii corona kikua na matangazo ya maombi, uponyaji, utendaji miuja, kukanyaga mfuta, uuzaji wa chumvi ya upako, maji ya baraka, maji toka mto Jordan na mambo kadha wa kadha.

Baada ya corona hizo hadith zimezima kama vile umeme unavyokatika, giza totoro.

Dini inatuamba nini kwenye hii corona?
 
Sisi tusio na dini miaka mingi tumekua tukisema dini ni taasisi za kibiashara kama biashara zingine ila watu hawatuelewi. Zipo kwa ajili ya kunyonya na kuibia waumini kwa ahadi ya maisha baada ya kifo.

Kabla ya hii corona kikua na matangazo ya maombi, uponyaji, utendaji miuja, kukanyaga mfuta, uuzaji wa chumvi ya upako, maji ya baraka, maji toka mto Jordan na mambo kadha wa kadha.

Baada ya corona hizo hadith zimezima kama vile umeme unavyokatika, giza totoro.

Dini inatuamba nini kwenye hii corona?
Wewe mbumbumbu kaa kimya acha kuigilia imani za watu wakati hijui lolote kihusu Mingu. Nyie watoto kinachowadanganya ni pale tu ukisoma philosophia kidogo tu unajiona umepata facts za kusimamia. Leo nakukumbusha kwa maswali haya ukishindwa kujibu nenda kamche muumba wako.

1.Ilikuwaje Binadamu akawepo duniani?
2.Kwanini tunakufa?
3.Kwanini upo duniani?
4.Wewe ni Nani?
5.Unafikiri huu ulimwengu ilikuwaje Mpaka ukawepo?
6.Ulishawahi kumuona mtu Mwenye mashetani anavyokuwa? Je unafikiri waalimu wa Imani huwa wanafanya jambo gani anapona?
7.Kwanini wanasayansi hawajamtengeneza Binadamu mpaka sasa?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mbumbumbu kaa kimya acha kuigilia imani za watu wakati hijui lolote kihusu Mingu. Nyie watoto kinachowadanganya ni pale tu ukisoma philosophia kidogo tu unajiona umepata facts za kusimamia. Leo nakukumbusha kwa maswali haya ukishindwa kujibu nenda kamche muumba wako.

1.Ilikuwaje Binadamu akawepo duniani?
2.Kwanini tunakufa?
3.Kwanini upo duniani?
4.Wewe ni Nani?
5.Unafikiri huu ulimwengu ilikuwaje Mpaka ukawepo?
6.Ulishawahi kumuona mtu Mwenye mashetani anavyokuwa? Je unafikiri waalimu wa Imani huwa wanafanya jambo gani anapona?
7.Kwanini wanasayansi hawajamtengeneza Binadamu mpaka sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂, yaani umekaa ukafikiriii ukaona kati ya maswali magumu au yenye mantiki uliyonayo ndio haya?

Kwa akili yako fupi unadhani kila kitu kukikataa au kukikubali lazima uwe umesoma, yaani hhna akili ya kuona, kufikiri na kuamua ila lazima uwe umesoma hilo jambo mahala flani, cha ajabu mtu kama wewe inawezekana kabisa una mume na watoto na familia, au wewe ni wale wanawake ambao wanaume hua tumasema tunaoa tu ila akili atatumia za mume wake.

Nikikujibu hizo hovyo hovyo zako ndio itakua ushahidi kua Mungu yupo?

Hebu rudi kwa mwenzako, umuomeb afikirie vizuri kisha akupe maswali yenye maana uje nikujibu.
 
Back
Top Bottom