battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,712
- 2,577
Qur-an sura yaHapo sasa ngoja wafia dini waje na mapovu ,kuwepo kwa mungu ni story za kusadikika tuu ipo siku wataelewa tuu
16:22. Mungu wenu ni Mungu Mmoja. Lakini wasio iamini Akhera(siku ya kiama) nyoyo zao zinakataa, nao wanajivuna.
Wewe ni kipi kinachokupa kusema hivyo kuwa Mungu ni story za kusadikika?