Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Kijana naona uoga umezidi, sijasema kama umenijibu mimi, na hujamjibu ndio maana nimetilia mkazo tena swali la msingi. Unaruka ruka tu.
Umerukia treni kwa mbele, hujui huko tumetoka vipi mpaka tumefika hapo

Nataka kujua huyo mungu ambaye nimemzungumzia hapo unamkubali kua hana sifa ya ubaya ili tuendelee?
 
Hapo nilikua nakuonesha kwamba chochote kile cha kufikirika kinawezwa kuandikwa vitabuni na kujadilika lakini hakufanyi kitu hicho kuwepo.

Huo mfano wa spiderman nimeutumia kuvuruga hoja yako iliyojikita katika msingi potofu, kudhani kwamba kila kinachosomwa vitabuni lazima kiwepo.

Miongoni mwa hoja za kipumbavu kwenye uzi huu, hii pumba niliyoinukuu hapo chini kutoka kwenye post yako ndio kinara

"Sasa kama umemsoma humo kwenye hivyo vitabu, kipi kilicho kufanya ujue kwamba hayupo"

Kama unaweza kumuelezea spiderman hayupo basi jua katika hizo hizo njia ulizotumia pia zinauwezo wa kumuelezea mungu kua hayupo

Hayo maswali uliyoyauliza kuhusu mola yamemlenga mola mwenye sifa ya ubaya ambaye ulikua unamzungumzia mwanzo?
Mfano wa spiderman hauwiani sawia na jambo la Mola mzee, huwa nakwambia kila siku hua elimu ya mifano.
 
Umerukia treni kwa mbele, hujui huko tumetoka vipi mpaka tumefika hapo

Nataka kujua huyo mungu ambaye nimemzungumzia hapo unamkubali kua hana sifa ya ubaya ili tuendelee?
Ubaya unaosema huyo Mungu hana ni upi kwa mujibu wa yeye Mungu,usimsemee Mungu kwa fikra zako.

Tunataka tujue yeye mwenyewe anasemaje kwanza kuhusiana na makusudio ya ubaya ?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umerukia treni kwa mbele, hujui huko tumetoka vipi mpaka tumefika hapo

Nataka kujua huyo mungu ambaye nimemzungumzia hapo unamkubali kua hana sifa ya ubaya ili tuendelee?
Ohoo, kwa ufupi hujajibu maswali yetu.

Nakusaidia tu, Mola wetu hana sifa ya ubaya.
 
Hujafafanua.
jambo lolote ambalo liko kinyume na uzuri

Sitaki unavyokusudia wewe,nataka anavyokusudia Mungu mwenyewe ambae unamsemea sifa zake hizo kasemaje.
Bado hapa ni paradox, kwasababu mungu mwenyewe hajathibitishwa kua yupo halafu wewe unasema nikupe kama anavyokusudia mungu mwenyewe. Nadhani hapa ulipaswa kusema upewe kwa namna ambavyo vitabu vilivyoandika hadithi za mungu zimeelezeaje swala hilo na sio kwamba mungu

Kusema ubaya wowote ule hapo inaonesha unataka kuingiza mpaka mambo yako uyatie katika mabaya,kila ulitakalo utalitia katika ubaya kwa malengo yako wewe.
Kwani mambo yangu hayawezi kua sehemu ya mabaya?

Navyosema ulimwengu una mabaya kwanini nisijumuishe na yangu wakati niko ndani ya ulimwengu?

Ubaya unaousema ni upi kwa mujibu wa Mungu mwenyewe ?
Baya linaangaliwa kwa athari zake dhidi ya victim

Baya haliangaliwi kwa mujibu wa mungu, kuna wenzako humu wanasema corona imeletwa na mungu natuna ona watu wakisema kua hili ni gonjwa baya



Nataka uniambie kwa Mujibu wa huyo MUNGU ubaya ni nini na amekusudia nini kusema ubaya ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unanitatanisha Kwa mujibu wa mungu au vitabu vilivyoandika stori kuhusu mungu?
 
Ubaya unaosema huyo Mungu hana ni upi kwa mujibu wa yeye Mungu,usimsemee Mungu kwa fikra zako.

Tunataka tujue yeye mwenyewe anasemaje kwanza kuhusiana na makusudio ya ubaya ?



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mujibu wa vyanzo vilivyoandika hizo habari, zinhadithia kua mungu ni mwenye upendo wote na hana sifa ya ubaya
 
Ohoo, kwa ufupi hujajibu maswali yetu.

Nakusaidia tu, Mola wetu hana sifa ya ubaya.
Unakubali kua kwa sifa yake hiyo ya kutokua na ubaya hawezi kuumba ubaya?
 
jambo lolote ambalo liko kinyume na uzuri


Bado hapa ni paradox, kwasababu mungu mwenyewe hajathibitishwa kua yupo halafu wewe unasema nikupe kama anavyokusudia mungu mwenyewe. Nadhani hapa ulipaswa kusema upewe kwa namna ambavyo vitabu vilivyoandika hadithi za mungu zimeelezeaje swala hilo na sio kwamba mungu


Kwani mambo yangu hayawezi kua sehemu ya mabaya?

Navyosema ulimwengu una mabaya kwanini nisijumuishe na yangu wakati niko ndani ya ulimwengu?


Baya linaangaliwa kwa athari zake dhidi ya victim

Baya haliangaliwi kwa mujibu wa mungu, kuna wenzako humu wanasema corona imeletwa na mungu natuna ona watu wakisema kua hili ni gonjwa baya




Mbona unanitatanisha Kwa mujibu wa mungu au vitabu vilivyoandika stori kuhusu mungu?
Unaruka sana.

Nakuambia unipe maana ya ubaya kwa mujibu wa maelezo ya Mungu,wewe unadai hatujathibitisha kama yupo.

Sasa wewe unathibitisha vipi kama hayupo kama sio kupitia maandiko yake ambayo unayatia yaonekane kama yana contradictions kutimiza matakwa yako ya kumkana ?

Bas na sisi hapa tunataka kuthibitisha yupo kupitia maandiko kama ambayo wewe unampinga kupitia maandiko.

Kwa hivyo unapodai tuthibitishe kuwa yupo huko tunakoenda na ulichoulizwa ndo kinatupeleka kwenye kuthibitisha kama unavyotaka.

Alafu unaposema hata yako yanaweza kuwa mabaya hiyo bado haijawa kwa mujibu wa Mungu.

Kwa sababu wewe unaweza kuona jambo fulani baya na mwingine akaona zuri na yule akaona zuri pia.kwa hiyo jambo moja linaweza likawa na mitazamo mbali mbali.

Lakini hapa tunamzungumzia huyu Mungu unaesema ana sifa ya ubaya.

Huu ubaya tukisema tuufasiri kwa kila mmoja anaivyoona bado haitakuwa sawa kwa sababu wapo watakaoona kuwa huu ubaya na wapo watakaoona kuwa huu ni uzuri,kwa hiyo haiwezekani mtazamo wako binafsi ukaunasibosha na makusudio ya Mungu.

Nataka uniambie kwanza kwa mujibu wa huyo Mungu ameeleza vipi juu ya makusudio ya ubaya yeye mwenyewe ?

Nataka Mungu huyo unayempinga kasemaje kwanza,maelezo yako yatakuja baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mujibu wa vyanzo vilivyoandika hizo habari, zinhadithia kua mungu ni mwenye upendo wote na hana sifa ya ubaya
Sifa ya ubaya ubaya iokusudiwa ni upi ?

Hata mwanadamu kwenda haja kubwa mtu anaweza kusema ni ubaya hivyo akasema hakuna Mungu na mtu hajaumbwa na Mungu kwa sababu mtu ana ubaya wa kwenda haja kubwa na Mungu hana sifa ya ubaya.

Na mwingine atasema lake pia itakuwa tafrani tu.

Sasa tuondoe utata je kwa mujibu wa huyo Mungu mwenyewe anatafsiri ubaya anakusudia nini ?

Au neno ubaya amesema kuwa anawaachia watu wenyewe waangalie watie watakalo kuwa nia baya na wasilotaka wasilitie katika ubaya ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakubali kua kwa sifa yake hiyo ya kutokua na ubaya hawezi kuumba ubaya?
Ubaya anaokusudia Mungu ni upi ?

Usiseme ubaya unaokusudia wewe,hapa tunamjadili Mungu hatukujadili wewe,kwa hiyo sema kama alivyosema huyo Mungu unaempinga usilete maneno yako.

Ili uoneshe udhaifu wa kitu fulani lazima ukijjue na utoe kasoro,sasa wewe pengine hujamsoma huyo Mungu unaempinga alafu unataka kuleta ujuaji wa kimtaani wa kumsemea mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaruka sana.

Nakuambia unipe maana ya ubaya kwa mujibu wa maelezo ya Mungu,wewe unadai hatujathibitisha kama yupo.
Ulisema kwa mujibu wa mungu hukusema kwa munibu wa maelezo ya kuhusu mungu, see the differ

Sasa wewe unathibitisha vipi kama hayupo kama sio kupitia maandiko yake ambayo unayatia yaonekane kama yana contradictions kutimiza matakwa yako ya kumkana ?
Kwani spiderman utamthibitishaje kua hayupo nje ya masimulizi yake?

Namna ambayo unaweza kupinga kua spiderman hayupo ndio hiyo hiyo ambayo unaweza kuitumka kupinga kua mungu hayupo

Ni kama nikuambie kua kuna post ya 5000 kwenye huu uzi, vigezo utavyotumia kupinga kua post hiyo kwenye hu haupo unaweza kuzitumia kuonesha mungu na spiderman hawapo

Bas na sisi hapa tunataka kuthibitisha yupo kupitia maandiko kama ambayo wewe unampinga kupitia maandiko.
Utakubali kua apiderman yupo kupitia maandiko ambayo wewe na mwenzako mmepinga kua hawezekani kuwepo?

Kwa hivyo unapodai tuthibitishe kuwa yupo huko tunakoenda na ulichoulizwa ndo kinatupeleka kwenye kuthibitisha kama unavyotaka.
Mnakoenda wapi?


Alafu unaposema hata yako yanaweza kuwa mabaya hiyo bado haijawa kwa mujibu wa Mungu.
Hapa umerudia kosa tena lile lile ambalo umekua ukikosea

Ulitakiwa useme kwa mujibu wa habari zilizoandika kuhusu mungu, na sio kwamba kwa mujibu wa mungu.

Nimekujibu kwa mujibu wa ulimwengu ambao umeelezwa na vitabu kua umeumbwa na mungu ambao na mimi niko ndani yake, sasa ukisema hayo mabaya ni kwa mujibu wako inatakiwa ujue kua niko ndani ya ulimwengu ambao haukutakiwa kua na mabaya.


Kwa sababu wewe unaweza kuona jambo fulani baya na mwingine akaona zuri na yule akaona zuri pia.kwa hiyo jambo moja linaweza likawa na mitazamo mbali mbali.
Sawasawa cha msingi pointi ya ubaya bado ipo, mtu akiona jambo fulani baya halafu mwingine akiona jambo fulani ni zuri huwezi kusema ulimwengu hauna mabaya.


Lakini hapa tunamzungumzia huyu Mungu unaesema ana sifa ya ubaya.

Huu ubaya tukisema tuufasiri kwa kila mmoja anaivyoona bado haitakuwa sawa kwa sababu wapo watakaoona kuwa huu ubaya na wapo watakaoona kuwa huu ni uzuri,kwa hiyo haiwezekani mtazamo wako binafsi ukaunasibosha na makusudio ya Mungu.
Katika ulimwengu ambao ungeumbwa na mungu ambaye hana sifa ya ubaya ambaye hawezi kuumba ulimwengu wenye mabaya, kusingekua na jambo lolote ambalo lingeonekana ni baya hata kama maelfu ya watu wataliona zuri ila endapo kuna mmoja kati yao akaliona jambo hilo ni baya tu kunafanya ulimwengu huo uwe na ubaya

Watu fulani fulani kutofautina kimtazamo kati ya ubaya na uzuri hata kwa uchache huo huo tu kunatosha kuthibitisha kua mabaya yapo

Nataka uniambie kwanza kwa mujibu wa huyo Mungu ameeleza vipi juu ya makusudio ya ubaya yeye mwenyewe ?
Kwanza usirudie tena kusema kwa mujibu wa mungu, ulitakiwa kusema kwa.mujibu wa vitabu vya mungu vimeelezea vipi

Vitabu vilivyoandika habari za mungu hazijaeleza kimantiki kwanini mungu mjuzi wa yote, mwenye uoendo wote na uwezo wote asiye na sifa ya ubaya kaumba ulimwengu wenye kuruhusu mabaya

Unaweza kujibu hilo swali hapo juu?

Nataka Mungu huyo unayempinga kasemaje kwanza,maelezo yako yatakuja baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mahali mungu huyo kasema chochote, bali vitabu ndio vimeandika habari kwa ku-refer mungu kama ilivyo spiderman book na finctional characters wengine ambao hawathibitishiki kihalisia
 
Sikubali sababu hiyo sifa inayomfanya asifanye anachotaka. Sababu yeye ni muweza wa yote.
Kwaiyo mungu kwasababu anauwezo wote alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya?

Mbona bado anaonekana dhaifu?

Mungu huyo kwasababu anauwezo wote je anaweza kujiua?

Mungu huyo kwasababu anauwezo wote anauwezo wa kuumba jiwe ambalo yeye hawezi kulibeba?

Akiweza, atakua hana uwezo wote kwasababu kuna jiwe hawezi kulibeba

Akishindwa kuliumba, atakua hana uwezo wote kwasababu kashindwa kuliumba jiwe ambalo hawezi kulibeba
 
Ubaya anaokusudia Mungu ni upi?

Usiseme ubaya unaokusudia wewe,hapa tunamjadili Mungu hatukujadili wewe,kwa hiyo sema kama alivyosema huyo Mungu unaempinga usilete maneno yako.

Ili uoneshe udhaifu wa kitu fulani lazima ukijjue na utoe kasoro,sasa wewe pengine hujamsoma huyo Mungu unaempinga alafu unataka kuleta ujuaji wa kimtaani wa kumsemea mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ubaya wowote ule
 
Fanya Toba. Mungu hachunguziki. Kwanza wewe ni kama nani? Kuhoji uwezo wa Mungu? Yaan ata aibu Haya na soni umekosa kweli? Amaa kweli kizazi cha laana
 
Kwaiyo mungu kwasababu anauwezo wote alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya?

Muweza wa yote hana sifa ya kushindwa mzee, huelewi kilicho andikwa hapo ?
Kwa maana hiyo swali lako ni "invalid".

Kutokuumba unavyotaka wewe au kinyume chake, kwake hakuitwi kushindwa bali hajataka, kwani anaumba vilivyo bora na akili yako haina uwezo wa kujua usahihi wa jambo bila msaada wa ala fulani.
Mbona bado anaonekana dhaifu?

Dhaifu ni wewe ulieshindwa kung'amua maana ya "Muweza wa yote", mpaka Ukauliza swali la uongo. Kwamba ameshindwa kufanya jambo fulani, wakati yeye ni muweza wa yote, hili haliyumkiniki kwake. Uwe unafikiria mambo kwa usahihi wake.
Mungu huyo kwasababu anauwezo wote je anaweza kujiua?
Kifo ni sifa ya kiumbe,yaani kilichoumbwa na ni sifa ya upungufu, kwahiyo Allah ametakasika na sifa zenye mapungufu, hafi, wala hashikwi na usingizi mzee, yeye ndio kaumba umauti vipi ajiue, kwahiyo pia ni swali la uongo, linaonyesha kwa jinsi gani unafikiri jambo kitoto na kwa jinsi gani humjui Allah aliye umba.
Mungu huyo kwasababu anauwezo wote anauwezo wa kuumba jiwe ambalo yeye hawezi kulibeba?
Naona umeamua kuuliza maswali ya uongo na kudhihirisha kwa jinsi gani humjui Allah aliye juu.

Hakuna kinachozidi uwezo na nguvu zake.
Akiweza, atakua hana uwezo wote kwasababu kuna jiwe hawezi kulibeba

Akishindwa kuliumba, atakua hana uwezo wote kwasababu kashindwa kuliumba jiwe ambalo hawezi kulibeba

Naona umeishiwa maswali, na kuandika vitu ambavya havipo.
 
Kwanza hujaweza kujibu mpaka sasa kwa Mujibu wa Mungu mabaya ni yapi,badala yake na wewe unaanza kuleta hoja zingine na unasahau ninachotaka.

Kuendelea na maswali uliyouliza huku ukiwa hujajibu nilichouliza napoteza malengo hivyo nalazimika kutaka majibu kwanza juu ya ninachokidai.

Umeandika sana,umeng'amua sana lakini bado turudi pale pale hujajibu ,kwa Mujibu wa Mungu mwenyewe anaposema ubaya anakusudia nini ?

Sitaki useme wewe,wewe mnukuu Mungu alivyosema kwanza,ili ukipinga tuone kuwa umempinga kwa kweli na maanduko yake.

Kwa Mujibu wa Mungu mwenyewe anasema ubaya anaokusudia yeye ni upi ?
Ulisema kwa mujibu wa mungu hukusema kwa munibu wa maelezo ya kuhusu mungu, see the differ


Kwani spiderman utamthibitishaje kua hayupo nje ya masimulizi yake?

Namna ambayo unaweza kupinga kua spiderman hayupo ndio hiyo hiyo ambayo unaweza kuitumka kupinga kua mungu hayupo

Ni kama nikuambie kua kuna post ya 5000 kwenye huu uzi, vigezo utavyotumia kupinga kua post hiyo kwenye hu haupo unaweza kuzitumia kuonesha mungu na spiderman hawapo


Utakubali kua apiderman yupo kupitia maandiko ambayo wewe na mwenzako mmepinga kua hawezekani kuwepo?


Mnakoenda wapi?



Hapa umerudia kosa tena lile lile ambalo umekua ukikosea

Ulitakiwa useme kwa mujibu wa habari zilizoandika kuhusu mungu, na sio kwamba kwa mujibu wa mungu.

Nimekujibu kwa mujibu wa ulimwengu ambao umeelezwa na vitabu kua umeumbwa na mungu ambao na mimi niko ndani yake, sasa ukisema hayo mabaya ni kwa mujibu wako inatakiwa ujue kua niko ndani ya ulimwengu ambao haukutakiwa kua na mabaya.



Sawasawa cha msingi pointi ya ubaya bado ipo, mtu akiona jambo fulani baya halafu mwingine akiona jambo fulani ni zuri huwezi kusema ulimwengu hauna mabaya.



Katika ulimwengu ambao ungeumbwa na mungu ambaye hana sifa ya ubaya ambaye hawezi kuumba ulimwengu wenye mabaya, kusingekua na jambo lolote ambalo lingeonekana ni baya hata kama maelfu ya watu wataliona zuri ila endapo kuna mmoja kati yao akaliona jambo hilo ni baya tu kunafanya ulimwengu huo uwe na ubaya

Watu fulani fulani kutofautina kimtazamo kati ya ubaya na uzuri hata kwa uchache huo huo tu kunatosha kuthibitisha kua mabaya yapo


Kwanza usirudie tena kusema kwa mujibu wa mungu, ulitakiwa kusema kwa.mujibu wa vitabu vya mungu vimeelezea vipi

Vitabu vilivyoandika habari za mungu hazijaeleza kimantiki kwanini mungu mjuzi wa yote, mwenye uoendo wote na uwezo wote asiye na sifa ya ubaya kaumba ulimwengu wenye kuruhusu mabaya

Unaweza kujibu hilo swali hapo juu?


Hakuna mahali mungu huyo kasema chochote, bali vitabu ndio vimeandika habari kwa ku-refer mungu kama ilivyo spiderman book na finctional characters wengine ambao hawathibitishiki kihalisia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muweza wa yote hana sifa ya kushindwa mzee, huelewi kilicho andikwa hapo ?
Kwa maana hiyo swali lako ni "invalid".

Kutokuumba unavyotaka wewe au kinyume chake, kwake hakuitwi kushindwa bali hajataka, kwani anaumba vilivyo bora na akili yako haina uwezo wa kujua usahihi wa jambo bila msaada wa ala fulani.


Dhaifu ni wewe ulieshindwa kung'amua maana ya "Muweza wa yote", mpaka Ukauliza swali la uongo. Kwamba ameshindwa kufanya jambo fulani, wakati yeye ni muweza wa yote, hili haliyumkiniki kwake. Uwe unafikiria mambo kwa usahihi wake.

Kifo ni sifa ya kiumbe,yaani kilichoumbwa na ni sifa ya upungufu, kwahiyo Allah ametakasika na sifa zenye mapungufu, hafi, wala hashikwi na usingizi mzee, yeye ndio kaumba umauti vipi ajiue, kwahiyo pia ni swali la uongo, linaonyesha kwa jinsi gani unafikiri jambo kitoto na kwa jinsi gani humjui Allah aliye umba.

Naona umeamua kuuliza maswali ya uongo na kudhihirisha kwa jinsi gani humjui Allah aliye juu.

Hakuna kinachozidi uwezo na nguvu zake.


Naona umeishiwa maswali, na kuandika vitu ambavya havipo.
Kwa mujibu wako mungu muweza wa yote anauwezo wa kufanya lolote na hana sifa ya kushindwa it doesn't matter liwe baya au zuri

Hujajibu maswali yangu

Kwa uwezo wake wote alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya kuwepo? (Jibu lisiseme kifo ni sifa ya kiumbe maana kwa uwezo wote alionao hakuna lakumshinda)

Kama hafi basi si muweza wa yote kwasababu kuna mambo hayawezi kuyafanya yako nje ya uwezo wake

Kwa uwezo wake wote alionao anaweza kujiua?

Kwa uwezo wake wote alionao anaweza kuumba jiwe zito ambalo yeye hawezi kulibeba?
 
Back
Top Bottom