Qur-an sura yaHapo sasa ngoja wafia dini waje na mapovu ,kuwepo kwa mungu ni story za kusadikika tuu ipo siku wataelewa tuu
Kwa mujibu wa mungu au kwa mujibu wa vitabu vilivyoandika habari za mungu?Kwanza hujaweza kujibu mpaka sasa kwa Mujibu wa Mungu mabaya ni yapi,badala yake na wewe unaanza kuleta hoja zingine na unasahau ninachotaka.
Kuendelea na maswali uliyouliza huku ukiwa hujajibu nilichouliza napoteza malengo hivyo nalazimika kutaka majibu kwanza juu ya ninachokidai.
Umeandika sana,umeng'amua sana lakini bado turudi pale pale hujajibu ,kwa Mujibu wa Mungu mwenyewe anaposema ubaya anakusudia nini ?
Sitaki useme wewe,wewe mnukuu Mungu alivyosema kwanza,ili ukipinga tuone kuwa umempinga kwa kweli na maanduko yake.
Kwa Mujibu wa Mungu mwenyewe anasema ubaya anaokusudia yeye ni upi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nacheka sana, swali gani sijajibu kijana, kwanza nimeonyesha maswali yako yote ya uongo. Pili, nikajujibu maswali yako.Kwa mujibu wako mungu muweza wa yote anauwezo wa kufanya lolote na hana sifa ya kushindwa it doesn't matter liwe baya au zuri
Hujajibu maswali yangu
Kwa uwezo wake wote alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya kuwepo? (Jibu lisiseme kifo ni sifa ya kiumbe maana kwa uwezo wote alionao hakuna lakumshinda)
Kama hafi basi si muweza wa yote kwasababu kuna mambo hayawezi kuyafanya yako nje ya uwezo wake
Kwa uwezo wake wote alionao anaweza kujiua?
Kwa uwezo wake wote alionao anaweza kuumba jiwe zito ambalo yeye hawezi kulibeba?
Huwaoni wenye upofu au wenye ulemavu au wenye ububu,unadhani walichagua kuwa vile ilhali wengine ni wazima?Thibitisha mungu yupo
Leo hii kuna mvua mpaka inakera,lakini hakuna anayethubutu kuizuia,Hata spiderman hachunguziki
Thibitisha mungu yupo
Kama maswali kuhusu udhaifu ni ya uongo iweje uhusishe ubaya umeumbwa na yeye huoni kwamba ubaya nao ni udhaifu?Nacheka sana, swali gani sijajibu kijana, kwanza nimeonyesha maswali yako yote ya uongo. Pili, nikajujibu maswali yako.
Tofautisha kati ya mtazamo wako na uhalisia, kitu unachokifanya wewe ni kutaka mitazamo iwe ukweli huu, ujinga nauona sana kwenu.
Unapoambiwa Allah ni muweza wa kila kitu, maswali yote kuhusu udhaifu ni ya uongo na hayaingii kwake, sasa sababu umezoea kujifariji endelea kujifariji kijana.
Mathalani, Mola wetu amejiharamishia kudhulumu, hili kwake halipo. Kinyume chake hakuna.
Nakukumbusha tu hujajibu maswali, yangu.
Upofu na ububu unaonesha huu ulimwengu aujaumbwa na mungu ambaye muweza wa yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote anayesimuliwa kwenye vitabu vya diniHuwaoni wenye upofu au wenye ulemavu au wenye ububu,unadhani walichagua kuwa vile ilhali wengine ni wazima?
Ninani basi aumbaye vile Tumboni mwa Mama?
Huyo ndo Mungu
Je wamjua mwengine wewe asiyekuwa yeye?
Kama maswali kuhusu udhaifu ni ya uongo iweje uhusishe ubaya umeumbwa na yeye huoni kwamba ubaya nao ni udhaifu?
Jangwani kuna mvua inayonyesha hadi inakera?Leo hii kuna mvua mpaka inakera,lakini hakuna anayethubutu kuizuia,
Ninani huyo anayeleta Mvua, na wakati mwingine Kuzuia mvua na Kusababisha Ukame?
Niambie huyo afanyae hivyo ninani?
Huyo ndo Mungu asiefananishwa na yeyote katika viumbe.
Ayubu alikuwa mtumishi mwaminifu sana kwa Mungu lakini aliruhusu ajaribiwe na shetani kwa maganjwa kwa kipindi kisichopungua miaka 17, hivyo sio lazima iwe ivyo unavyodhani wakati Mwingine Mungu uruhusu jambo litokee kama Corona kwa kusudi maalumPoleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?
Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?
Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.
Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?
Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.
Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.
Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.
Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya Yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but I ain't laughing?
Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.
Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?
Kwanini Mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?
Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?
Hivi kweli Mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?
Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?
====
Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
Dawa imeanza kukuingia umeanza ku-quote kakifungu kamoja unakokaona unaweza kukajibu ili kukwepa maswaliHaya ndio matatizo ya kutokujibu maswali unapo ulizwa. Ndio maana huwa nakutaka ujibu maswali yangu, nilikwambia Allah hana sifa ya ubaya mzee, umeandika nini hapa ?
Kuna mdau alikuuliza swali zuri sana, kwamba ubaya unauelewa vipi wewe.
Tusipoteze muda jibu maswali niliyo kuuliza, maana naona unauliza mambo ambayo hayapo.
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?
Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?
Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.
Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?
Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.
Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.
Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.
Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya Yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but I ain't laughing?
Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.
Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?
Kwanini Mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?
Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?
Hivi kweli Mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?
Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?
====
Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
ungu Huumba apendavyo yeye, sio kwa utakavyo wewe kiumbe.Kama maswali kuhusu udhaifu ni ya uongo iweje uhusishe ubaya umeumbwa na yeye huoni kwamba ubaya nao ni udhaifu?
Umesema mungu angeumba ulimwengu ambao hauna mabaya huyo mungu asingekua muweza wa yote
Inamaama huyo mungu alishindwa kuumba ulimwengu usio na mabaya na bado akawa muweza wa yote? Kama alishindwa basi bado si muweza wa yote maana angeweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kujadilika
Kufa kuwe ni kubaya au kuzuri kwa minaajili ya mungu ambaye anasifa ya ubaya na uzuri lazima jambo hili ahusike. Mungu anaweza kujiua?
Mungu anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?
Kama hawezi kuumba jiwe basi si muweza wa yote kwasababu kuna jiwe kashindwa kuliumba
Kama anaweza kuliumba bado si muweza wa yote kwasababu kuna jiwe kaliumba na hawezi kulibeba
Mungu ambaye alikua tayari kumla majipu ayubu ili apime imani yake huyo ni mungu asiye na ujuzi woteAyubu alikuwa mtumishi mwaminifu sana kwa Mungu lakini aliruhusu ajaribiwe na shetani kwa maganjwa kwa kipindi kisichopungua miaka 17, hivyo sio lazima iwe ivyo unavyodhani wakati Mwingine Mungu uruhusu jambo litokee kama Corona kwa kusudi maalum
Kwani wewe una dini gani?Sikia nikuambie ukweli....hizi dini Uislam na Ukristu ni za kutengenezwa tu na watu ili jamii iwe controlled. Baba Mtakatifu kafunga na kuombea kinga ipatikane wapi, juzi juzi tu huko Nigeria kuna msanii kajitokeza (TB Joshua) kwa kusema corona itakwisha by mwisho wa mwezi uliopita lakini wapi watu ndiyo kwanza wanaongezeka kufa tu kila kukicha. HAKUNA baba mtakatifu wala Shehe yeyote aliyewahi kuombea janga lisitokee na ikawa hivyo, ni usanii tu.Waafrika tunakosea hapa tu, kuacha imani zetu na kujiamisha upuuzi wa watu wengine usio na tija kwetu hata kidogo. Cha kusikitisha ni kwamba hatutaki kukubali ukweli wakati kila kitu kipo wazi. Utashangaa atakuja mpuuzi hapa na kusema mimi nimetenda dhambi kwa kusema haya wakati dhambi anayo yeye kujikana na kukumbatia dini za watu zisizomsaidia chochote.
Dawa imeanza kukuingia umeanza ku-quote kakifungu kamoja unakokaona unaweza kukajibu ili kukwepa maswali
Kama allah hana sifa ya ubaya unakubali kwa sifa hiyo hawezi kuumba ubaya?
Huyo Mungu unaye muhubiri wewe mbona ni wa kufikirika zaidi?Mungu ambaye alikua tayari kumla majipu ayubu ili apime imani yake huyo ni mungu asiye na ujuzi wote
Mungu mjuzi wa yote na upendo wote hawezi kumjaribu mtu kwasababu kwa ujuzi wake alikwisha kujua future ya kiumbe hafi hatma yake kabla hata hicho kiumbe hakijazaliwa
Mungu ambaye aliua watoto wa kiume ili kum-prove farao kua yeye ni muweza wa yote, hana sifa ya umungu bali ana inferior kama sisi tu na point nzima ya uwepo wake ni hoax tu
Thibitisha mungu yupo