Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Nitajie maandiko matatu tu katika Quran yanaoelezea sayansi.
Pia hakuna anayeweza kuikosoa Qur'an,,
Hii inaonesha dhahiri Uislamu ndio dini ya haki.

Kuna maandiko katika Qur'an zaidi ya miaka 1400 iliyopita inaeleza sayansi,, wanasayansi ndo wamekuja kugundua juzi tu.. Hii inaonesha dhahiri kuwa Qur'an ni maandiko ya Allah kupitia mjumbe wake Muhammad ( SAW)
 
Ukiona swali limejirudia ujue mjadala nao umejirudia
Hoja siyo mjadala kujirudia hoja ni swali limeshajibiwa maana yake unapolirudia ni kwamba huna hoja tena,unapotezea watu muda.

Sababu kama ni mpana kimaarifa mjadala unaweza kujirudia ila ukapita katika mapito mengine katika kujenga hoja.
Ukiona mjadala umejirudia maana yake majibu yako hayakukata kiu la swali
Pili,si lengo la mjadala kukaa kiu yako ndiyo maana huwa napimaliza kazi yangu natulia nafanya mambo mengine na hivi ndivyo nilivyo mimi sababu tunajua ya kabisa kuna watu wana maradhi ya ujinga na hawaambiliki,mtu mwenye kuitafuta haki hoja moja tu au ushahidi mmoja tu humtosheleza ila mtu asiye taka haki akashikilia msimamo wa kijinga shaidi elfu moja hazifui dafu,na wewe umo humo,maana kwanza huna hoja pili hutaki kupokea ukweli. Haya maradhi makubwa mno kuliko hata maradhi ya kihisia.
Duniani kuna zaidi ya dini 10,000, Mpaka umeona uislamu ni dini ya kweli kuliko zingine niambie umesoma dini ngapi?
Hivi kile kitabu ulikisoma kijana sababu hili nilishalimaliza,kwanza tu jina la kitabu lenyewe linaonyesha kwamba limegusa dini zote,mathalani Uhindu na Ubudha asili yao ni moja. Sasa unapouliza swali ambalo hujui unauliza nini,na nikikumba ushahidi utashindwa kuonyesha ushahidi huo.

Mimi nimesoma dini ambazo zipo. Sasa sababu wewe ni mtu wa kuokoteza okoteza,naomba unithibitishie ya kuwa duniani kuna dini zaidi ya 10,000. Maana yake naona unaitaja Elfu 10 kama umelewa hivi.

Ukiweza kuthibitisha ya kuwa duniani kuna dini zaidi ya elfu 10. Sitajadiliana na wewe tena katika mjadala unao husu hizi kadhia. Kisha utaona tofauti yangu na wewe iko wapi.
 
that was my assumption kwasababu ulininyima ushirikiano kwa kunipa directly answer

Kama hukujua kwa njia hiyo ndo utueleze sasa

Kumbuka ulisema kama hujasoma dini, basi hustahili kusema dini ni ya uongo.

Duniani kuna zaidi ya dini 10,000, Mpaka umeona uislamu ni dini ya kweli kuliko zingine niambie umesoma dini ngapi?
Hivi kijana huwezi kujenga hoja bila kuweka "Assumption" huoni kama unakuwa mvivu wa kufikiri na kudumaza uwezo wa akili yako ? Maana ya "Assummption" ni shortcut na kushindwa kung'amua jambo husika. Yaani kwa ufupi ni UONGO.

Unao ushahidi unao onyesha duniani kuna dini zaidi ya 10,000 ?
 
Nimekupinga kwasababu criteria iliyokusudiwa katika hiyo ayah sio hio uliyotaja..

Kuna vitu vingi vya kuangalia mfano tabia, akili etc ,, lakini hio haibadilishi kusudio la ile ayah
Criteria hiyo imeelezwa kwenye kuran au ni fikra zako?

Wewe ulisema hakuna wakufanana na Allah

Nikakuambia Kuran imesema Allah alimuumba adam kwa mfano wake, ukisema hakuja wa kufanana na allah kwa tafsiri ya haraka ni kwamba unaikosoa kuran kua imepotosha

Umesema kuran imeandikwa kimafumbo kua haikumaanisha hivyo ila hujajibu kivipi unajua kwa hakika jibu lako liwe sahihi na sio kwamba umetafsiri vibaya andiko??
 
Free will ni hadithi kivipi,, ina maana hujui free will...

Haiwezi kuwa freewill kama itahusisha mazuri peke yake..

maamuzi ya Mungu kutupa freewill inaonesha dhahiri kuwa ni muweza wa yote,,
Malaika peke yao ndo hawajapewa freewill,, wao mda wote ni kumuabudu Allah, hakuna kufanya maovu... Aisee!! Hili ni darsa kubwa sana,, hebu nenda kasome utoe ujinga
Malaika wamewezaje kuishi bila freewill lakini isiwe hivyo kwa binadamu?

Kama hakuna freewill bila mabaya, vipi maisha ya huko peponi mtakapoenda kutakua na freewill?

Freewill ni hadithi kwasababu haipo

What if i choose to fly, will i fly?

Then utathubutuje kusema tumepewa uhuru wa kuchagua kama hata uhuru wa kuchagua ku-fly sina?
 
Hebu nikosolee hapa !!

Kwasababu mpaka leo sijaona uongo wowote.. Yaani kadri siku zinaenda ndo kwanza wanasayansi wanagundua vitu kupitia Qur'an.

Nikuulize swali,, Qur'an ni maandiko ya nani ?
Umesoma content yote na kujua inataka nini au umei-reply bila kuimaliza kuisoma?
 
Please usihamishe mada,, njia yoyote niloitumia haibadilishi ukweli
Appeal to force Fallacy

unalazimisha hata ya njia ya uongo ikubalike

Mpaka hapa quran yako imekosolewa na umeshindwa kui defend
 
Hoja siyo mjadala kujirudia hoja ni swali limeshajibiwa maana yake unapolirudia ni kwamba huna hoja tena,unapotezea watu muda.

Sababu kama ni mpana kimaarifa mjadala unaweza kujirudia ila ukapita katika mapito mengine katika kujenga hoja.

Pili,si lengo la mjadala kukaa kiu yako ndiyo maana huwa napimaliza kazi yangu natulia nafanya mambo mengine na hivi ndivyo nilivyo mimi sababu tunajua ya kabisa kuna watu wana maradhi ya ujinga na hawaambiliki,mtu mwenye kuitafuta haki hoja moja tu au ushahidi mmoja tu humtosheleza ila mtu asiye taka haki akashikilia msimamo wa kijinga shaidi elfu moja hazifui dafu,na wewe umo humo,maana kwanza huna hoja pili hutaki kupokea ukweli. Haya maradhi makubwa mno kuliko hata maradhi ya kihisia.

Hivi kile kitabu ulikisoma kijana sababu hili nilishalimaliza,kwanza tu jina la kitabu lenyewe linaonyesha kwamba limegusa dini zote,mathalani Uhindu na Ubudha asili yao ni moja. Sasa unapouliza swali ambalo hujui unauliza nini,na nikikumba ushahidi utashindwa kuonyesha ushahidi huo.

Mimi nimesoma dini ambazo zipo. Sasa sababu wewe ni mtu wa kuokoteza okoteza,naomba unithibitishie ya kuwa duniani kuna dini zaidi ya 10,000. Maana yake naona unaitaja Elfu 10 kama umelewa hivi.

Ukiweza kuthibitisha ya kuwa duniani kuna dini zaidi ya elfu 10. Sitajadiliana na wewe tena katika mjadala unao husu hizi kadhia. Kisha utaona tofauti yangu na wewe iko wapi.
Kama lengo la jibu sio kukata kiu ya swali basi usishtuke kuona swali hilo likiulizwa tena

Kama umesoma dini ambazo zipo basi ni sahihi kabisa kua hiyo list ya miungu kwa uchache niliyoiweka hapo juu utakua unawajua chimbuko lao.

Sasa nataka unithibitishie kila mungu kwenye hiyo list kua ni mungu wa uongo kwa majibu wa vitabu vyao vilivyowaelezea
 
Niletee hiyo ayah hapa kwanza ili twende sawa..

Narudia kukuuliza swali langu,, Qur'an ni maandiko ya nani ?? Mbona unalikimbia hili swali..
Mi tena nimekua wakukutafutia ayah?

Mwanzo ulivyokua unapinga kua andiko hilo halikumaanisha hivyo ulikua unazungumzia ayah gani?
 
Hii ni ayah ya Qur'an inayoelezea jinsi mtoto anayokua tangu akiwa tone la manii... Hii iliandikwa miaka zaidi ya 1400 iliyopita. Je, inawezekana miaka 1400 alikuwepo mtu wa kujua sayansi kama hii ambayo imegundulika juzi.. Surely maneno hayo ni lazima yawe yametoka kwa superbeing ( Almighty Allah )
Imagination really?

Kutokujua jibu maana yake ni kitu fulani ambacho huwezi kukithibitisha (superbeing) ndo kimesababisha?

Hiyo ni fallacy inaitwa "Loaded Question") Phrasing a question or statement in such as way as to imply another unproven statement is true without evidence
" We created man from an extract of clay. Then We made him as a drop in a place of settlement, firmly fixed. Then We made the drop into an alaqah (leech, suspended thing, and blood clot), then We made the alaqah into a mudghah (chewed substance)…” (Quran 23:12-14).

Hebu msikilize huyu profesa [emoji116]

Professor Emeritus Keith L. Moore (one of the world’s most prominent scientists in the fields of anatomy and embryology) : " It is clear to me that these statements must have come to Muhammad from God, because almost all of this knowledge was not discovered until many centuries later.

Swali langu kwako,, Qur'an imeandikwa na nani ? Kwasababu huamini uwepo wa Mungu,, hebu nijibu hapo twende Sawa !!
Maelezo yako hayajagusa hoja yangu ya msingi

Unajuaje kua kuran imesema ukweli?
 
Ndio nitafutie hio ayah umesoma wapi, ili nijue jinsi gani nikueleweshe.. Ilete kwanza hio ayah hapa ili tuendelee na mjadala..

Nakukumbusha swali langu hujanijibu,, nijibu kwanza,, otherwise itakuwa haina maana ya kuendelea na huu mjadala kwasababu nitachukulia kuwa umeamini Qur'an ni maneno ya Mwenyezi Mungu..
Kwani mwanzo ulivyokua unapinga kusema aya haijamaanisha hivyo ulikua unakusudia haijamaanisha hivyo ikiwa imeandikwa wapi?
 
"Kwasababu mpaka leo sijaona uongo wowote.. Yaani kadri siku zinaenda ndo kwanza wanasayansi wanagundua vitu kupitia Qur'an."

Nilikujibu hvo..
Unajuaje kwamba maono yako hayo si potofu?

Mkristo au mtu yeyote wa dini tofauti na yako akikuambia kitabu chake ni cha kweli kwasababu yeye mpaka leo hajaona uongo. Utakubali kua kitabu hicho ni cha kweli na kimeelezea habari za kweli?
 
Mbona hujajibu swali langu sasa !!
Kwasababu ni irellevant kwa hoja yangu uliyo i-reply lakini hata hivyo bado hujajibu swali langu

Unajuaje kua kuran imesema ukweli?

Unauthibitisho au huna?
 
Niletee kwanza hiyo ayah hapa ndo nitakwambia nilikuwa nakusudia ikiwa imeandikwa wapi!!
Niletee aya, kwani mwanzo ulikua unaitetea aya gani kua haikumaanisha kama ambavyo mimi nilikua nasema?

Mwisho utasema Niletee gwajima
 
We unajuaje kama Qur'an haijasema ukweli ?
Ebu twende kwa facts,, sio maneno tu... Nimekushushia vitu hapo,,
Hujajibu swali, hiyo pia ni dalili ya kuonesha kua kuran inakosolewa
 
Kama lengo la jibu sio kukata kiu ya swali basi usishtuke kuona swali hilo likiulizwa tena
Usichanganye mambo,kuna ujinga na kuna itifaki,hivi ni vitu viwili kando. Naongelea itifaki za kielimu,na kuna ujinga katika mada husika.
Kama umesoma dini ambazo zipo basi ni sahihi kabisa kua hiyo list ya miungu kwa uchache niliyoiweka hapo juu utakua unawajua chimbuko lao.
Ndiyo maana nikajupa marejeo ya kitabu,na uongo wa hizo dini unaanzia katika misingi ya dini husika.
Sasa nataka unithibitishie kila mungu kwenye hiyo list kua ni mungu wa uongo kwa majibu wa vitabu vyao vilivyowaelezea
Unapokuwa huna hoja usiwe unajadiliana na mimi. Hili ulitakiwa uwe ushalijua tangu wiki iliyopita nilipokuwekea kile kitabu.

Pili,usiruke swali langu la msingi umedai kuna dini zaidi ya elfu 10. Nataka uniwekee ushahidi wa kuonyesha ya kuwa zipo dini ya zaidi ya elfu 10 na utuambie hizi habari umezipata wapi,yaani utupe marejeo.
 
Kwanini uhoji najuaje kwamba maono yangu sio potofu ?
Nahoji kwasababu nataka kujua

Kupitia hoja yako umesema "kwasababu mpaka leo hujaona uongo wowote"

Unajuaje kua maono hayo si potofu

Mkristo au mtu mwingine wa dini tofauti na yako akikuambia dini yske na kitabu chake ni cha kweli kwasababu mpaka leo hajawahi kuona uongo wake. Utakubali?
 
Hujajibu swali, hiyo pia ni dalili ya kuonesha kua kuran inakosolewa
Inakuwaje unakimbia maswali unayo ulizwa na unapotosha,unaulizwa umejuaje maana ni jambo haliwezekani sasa unachotakiwa wewe ni kuikosoa Qur'aan usipoteze muda.
 
Back
Top Bottom