Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Usichanganye mambo,kuna ujinga na kuna itifaki,hivi ni vitu viwili kando. Naongelea itifaki za kielimu,na kuna ujinga katika mada husika.

Ndiyo maana nikajupa marejeo ya kitabu,na uongo wa hizo dini unaanzia katika misingi ya dini husika.

Unapokuwa huna hoja usiwe unajadiliana na mimi. Hili ulitakiwa uwe ushalijua tangu wiki iliyopita nilipokuwekea kile kitabu.

Pili,usiruke swali langu la msingi umedai kuna dini zaidi ya elfu 10. Nataka uniwekee ushahidi wa kuonyesha ya kuwa zipo dini ya zaidi ya elfu 10 na utuambie hizi habari umezipata wapi,yaani utupe marejeo.
Elimu ni pamoja na kujibu swali kikamilifu na sio kuacha viporo au kutoa jibu ambalo halijakidhi vigezo vya kutosheleza kwa swali

Marejeo gani uliyonipa ambayo yameeleza na kuwataja hao miungu wa hizo dini?

Hilo sio swali la msingi, kwasababu uthibitisho wa kwamba dini zipo zaidi ya 10k ni hiyo list ya miungu ambayo nimekuwekea kwa uchache tu inayoonesha hiyo miungu inaabudiwa na hizo dini.

Sasa kwasababu wewe umedai kua umesoma kila dini unatakiwa utuambie kwa mujibu wa source yako zipo dini ngapi?
 
Ndo maana nikakupa chance ya kunipa kosa lolote kwenye Qur'an ili kupinga maono yangu,, lakini mpaka sasa hujafanya hvo..

Hujajibu swali langu mpaka sasa
Unajuaje kwamba swali langu kuhusu ukweli wa kuran halitaonesha kosa?

Utajuaje na kuhakiki vipi kua hili ni kosa ilihali hujui ukweli wa hicho kitabu ni upi?

Jibu swali hili kwanza

Unajuaje kua kuran imsema ukweli?
 
Hebu tuwekee nakala from a reliable source inayoonesha hizo dini,,
Wewe hujaweza kujibu swali dogo hili " Unajuaje kua kuran ni kitabu kilichosema ukweli"?

Swali hilo hujalijibu ajabu umeanza kushupalia maswali aliyoulizwa mwenzako kwa kuyaona mepesi na kutaka kuyadandia. Jibu swali hilo kwanza kisha tuendelee na huo mjadala
 
Inakuwaje unakimbia maswali unayo ulizwa na unapotosha,unaulizwa umejuaje maana ni jambo haliwezekani sasa unachotakiwa wewe ni kuikosoa Qur'aan usipoteze muda.
Mimi ndo nimeuliza swali sio yeye. Yeye kaweka madai kua kuran haijawahi kosolewa ila cha ajabu swali langu kuhusu ukweli wa kuran ameujuaje hajui
 
Elimu ni pamoja na kujibu swali kikamilifu na sio kuacha viporo au kutoa jibu ambalo halijakidhi vigezo vya kutosheleza kwa
Jibu gani nililo toa ambalo halijajitosheleza ?
Marejeo gani uliyonipa ambayo yameeleza na kuwataja hao miungu wa hizo dini?
Hakuna kitabu nilicho upload humu katika mada fulani,kitabu kilikuwa volume 2 ? Kimeandikwa kwa lugha ya Kiarabu ?
Hilo sio swali la msingi, kwasababu uthibitisho wa kwamba dini zipo zaidi ya 10k ni hiyo list ya miungu ambayo nimekuwekea kwa uchache tu inayoonesha hiyo miungu inaabudiwa na hizo dini.
Haoa kijana hutoki,unajua kuhesabu vizuri ? Hiyo miungu uliyo iweka inafika elfu 10 ? Usilete utoto,uliposema miungu iko zaidi ya elfu 10, kiwango cha chini ya idadi ya miungu uliyotakiwa kuiweka hapa ni isiwe chini ya elfu 10. Sasa tuonyeshe mungu wa elfu kumi hapo ni nani katika hiyo list ? Ukiambiwa ni mgonjwq wa akili unakataa.

Sasa,kama hii ni kwa uchache,maana yake hujathibitisha ya kuwa ni zaidi ya elfu 10,yaani swali langu liko pale pale,naomba uthibitishe ya kuwa kuna miungu zaidi ya elfu 10.
Sasa kwasababu wewe umedai kua umesoma kila dini unatakiwa utuambie kwa mujibu wa source yako zipo dini ngapi?
Kwahiyo unakubali kwanza wewe ni muongo ? Kiri kwanza hili kisha tuendelee.
 
Mimi ndo nimeuliza swali sio yeye. Yeye kaweka madai kua kuran haijawahi kosolewa ila cha ajabu swali langu kuhusu ukweli wa kuran ameujuaje hajui
Nasubiri ithibati ya miungu zaidi ya elfu 10,ina maana hata marejeo huna kijana ?

Wewe huwa unajuaje uongo wa jambo fulani ? Maana hapa ulitakiwa uanze kuikosoa Qur'aan,inaonekana hujui kuisoma kadhalika. Ukijua na hoja ya Allah kutuumba kwa mfano wake,hoja dhaifu sana kuliko nyumba ya bui bui,nikakujibu,sasa nataka muendelezo wa wewe kuikosoa Qur'aan.
 
Kwanini unalazimisha nikujibu wakati wewe hujibu maswali yangu ?

This again shows your ignorance,, very unprofessional !!
Wewe hujauliza swali kabla yangu, wewe umeweka madai kabla yangu

Madai yenyewe ni kua kuran haijawi kukosolewa

Nimekuuliza unajuaje kuran imesema ukweli hujajibu, umeshindwa kabisa

Kwa mantiki hiyo kumbe sio kweli kua kuran haijawahi kosolewa kwasababu umeshindwa kuonesha ukweli wa kuran ulipo

Inawezekana watu wengine hawaangaiki kukosoa kwasababu inafahamika sio kitabu cha kweli na ndio maana hata wewe inakua ngumu kuthibitisha ukweli wake

Inawezekana huonk watu wakikosoa kuran kwasababu wengi wanajua kua haithibitishiki kua ni kitabu cha kweli hivyo kuweka mjadala zaidi kujadili yaliyomo ni kupoteza muda tu
 
Jibu gani nililo toa ambalo halijajitosheleza ?

Hakuna kitabu nilicho upload humu katika mada fulani,kitabu kilikuwa volume 2 ? Kimeandikwa kwa lugha ya Kiarabu ?

Haoa kijana hutoki,unajua kuhesabu vizuri ? Hiyo miungu uliyo iweka inafika elfu 10 ? Usilete utoto,uliposema miungu iko zaidi ya elfu 10, kiwango cha chini ya idadi ya miungu uliyotakiwa kuiweka hapa ni isiwe chini ya elfu 10. Sasa tuonyeshe mungu wa elfu kumi hapo ni nani katika hiyo list ? Ukiambiwa ni mgonjwq wa akili unakataa.

Sasa,kama hii ni kwa uchache,maana yake hujathibitisha ya kuwa ni zaidi ya elfu 10,yaani swali langu liko pale pale,naomba uthibitishe ya kuwa kuna miungu zaidi ya elfu 10.

Kwahiyo unakubali kwanza wewe ni muongo ? Kiri kwanza hili kisha tuendelee.
Kwani jibu bmgani ambalo umedai kuna mahala ulilijibu?

Well sikumbuki kua kuna kitabu cha kiarabu uliwahi kuki upload humu.

Kwani we unajua kusoma vizuri?

Hapo nimeandika kua hiyo list ni miungu yote ya hizo dini 10k?

Kabla hujaniita muongo nataka uniambie kama hiyo list umehesabu haijafika 10k niambie ni ipi idadi sahihi ya hao miungu?

Nataka jibu lako liwe exactly kabisa kumbuka hayo majina nimeyaweka kwenye excel
 
Unasema kwamba "... inasemekana kuwa Qur'an sio kitabu cha kweli..."

Umejuaje kwamba Qur'an sio kitabu cha kweli ?
Kwasababu swali hili halijajibiwa na inaonekana halijibiki, kama unaweza lijibu

Swali lenyewe hili

Unajuaje kua kuran imesema ukweli?
 
Nasubiri ithibati ya miungu zaidi ya elfu 10,ina maana hata marejeo huna kijana ?

Wewe huwa unajuaje uongo wa jambo fulani ? Maana hapa ulitakiwa uanze kuikosoa Qur'aan,inaonekana hujui kuisoma kadhalika. Ukijua na hoja ya Allah kutuumba kwa mfano wake,hoja dhaifu sana kuliko nyumba ya bui bui,nikakujibu,sasa nataka muendelezo wa wewe kuikosoa Qur'aan.
Ithibati ipo kwenye list ya miongoni wa miungu wanaoabudiwa na hizo dini

Nataka unipe idadi yako wewe kwa mujibu wa dini zote ambazo umezosima ziko ngapi?

Mimi nilikuambia sihitaji kusoma dini yako ili nijue kua ni uongo kama ambavyo wewe huhitaji kusoma dini zote ulimwenguni kujua kua uislam ndio dini ya kweli.

Lakini kwasababu wewe ulinpinga kua lazima usome basi nataka utuambie hizo dini za ulimwenguni kote ulizosoma mpaka ukajua ni za uongo ziko ngapi?
 
We unajuaje kama Qur'an haijasema ukweli ?
Kwasababu swali hili halijajibiwa na inaonekana halijibiki, kama unabisa unaweza lijibu hapa kuni disprove

Swali lenyewe ni hili

Unajuaje kua kuran imesema ukweli?
 
Kwani jibu bmgani ambalo umedai kuna mahala ulilijibu?
Sasw unauliza swali ambalo ulitakiwa uthibitishe wewe unae kanusha. Vipi kijana hujui kanuni za mijadala nini ? Wewe umesema jibu halijitoshelezi,maana yake umeliona ila unadsi halijitoshelezi,mimi ninekwwmbia nimejibu kikamilifu,wewe unatakiwa uonyeshe udhaifu wa jibu hilo.

Nasubiri uonyeshe hilo.
Well sikumbuki kua kuna kitabu cha kiarabu uliwahi kuki upload humu.
Sasa fatilia,na hapa nakupa marejeo mengine,huku nikisubiri marejeo yako.

Screenshot_20210417_010639_com.android.chrome.jpg


Screenshot_20210417_010647_com.android.chrome.jpg


Screenshot_20210417_010627_com.android.chrome.jpg


Screenshot_20210417_010701_com.android.chrome.jpg
 
Umeshindwa kujibu hili swali langu

Qur'an ni maandiko ya nani ?

Unashindwa kulijibu hili swali kwasababu ukweli unaujua !!
Irrelevant

Swali langu lilitangulia kabla yako na bahati mbaya hujalijibu

Swali lenyewe ni hili hapa chini

Unajuaje kua kuran imesema ukweli?
 
Hiyo list umeitoa wapi ? Una nakala ya uthibitisho from credible source ??
Unajuaje kua kuran imesema ukweli?

Omba tag kwa kibopa mwenzako akusaidie kulijibu sio mnajitesa kushinda na njaa tu kwa maandiko ambayo hamyajui ukweli wake
 
Hapo nimeandika kua hiyo list ni miungu yote ya hizo dini 10k?
Utawezaje kwanza hata kufikisha list ya miungu 2000, umekiri mwenyewe kwamba umeandika list ya miungu wa wachache,sasw ili uwe mkweli,tuwekee list ya kuanzia miungu elfu 10.

Usiwe unauliza maswali ambayo majibu unayaona na yako wazi.
Kwani we unajua kusoma vizuri?
Najua. Ndiyo maana nakukosoa.
Kabla hujaniita muongo nataka uniambie kama hiyo list umehesabu haijafika 10k niambie ni ipi idadi sahihi ya hao miungu?
Sasa wewe uliye iweka ulitakiwa utuonyeshe mungu wa elfu 10,au achilia mbali tu mungu wa 2101. Ili ujue kwamba nimehesabu au sijahesabu.

Unaniuliza tena mimi nikwambie idadi wakati ni jukumu lako kunionyesha mungu wa elfu kumi katika list yako ni nani ? Mimi nakufundisha wewe kwamba uache kuishi kwa dhana na kuokoteza mambo bila utafiti.
Nataka jibu lako liwe exactly kabisa kumbuka hayo majina nimeyaweka kwenye excel
Kijqna mbona unakuwa mjinga kiasi hicho na unapoteza muda ? Tuwekee page yako ya exel nataka nimuone mungu wa 3002 anaitwa nani ?
 
Sasw unauliza swali ambalo ulitakiwa uthibitishe wewe unae kanusha. Vipi kijana hujui kanuni za mijadala nini ? Wewe umesema jibu halijitoshelezi,maana yake umeliona ila unadsi halijitoshelezi,mimi ninekwwmbia nimejibu kikamilifu,wewe unatakiwa uonyeshe udhaifu wa jibu hilo.
Sio nahisi

pale pale ambapo unaona ulijibu basi majibu hayo ndio ambayo hayaku qualify mpaka ndio sababu swali hilo linajirudia tena hapa

Nasubiri uonyeshe hilo.

Sasa fatilia,na hapa nakupa marejeo mengine,huku nikisubiri marejeo yako.

View attachment 1754128

View attachment 1754129

View attachment 1754130

View attachment 1754131
Ebu nihakikishie kua ulichokifanya hapa sio utani?

Huto tu attachments tu nne ndio tume generalize vitabu vyote vya dini za ulimwenguni?
 
Ithibati ipo kwenye list ya miongoni wa miungu wanaoabudiwa na hizo dini

Nataka unipe idadi yako wewe kwa mujibu wa dini zote ambazo umezosima ziko ngapi?

Mimi nilikuambia sihitaji kusoma dini yako ili nijue kua ni uongo kama ambavyo wewe huhitaji kusoma dini zote ulimwenguni kujua kua uislam ndio dini ya kweli.

Lakini kwasababu wewe ulinpinga kua lazima usome basi nataka utuambie hizo dini za ulimwenguni kote ulizosoma mpaka ukajua ni za uongo ziko ngapi?
Kijana unajua umeingia katika mlango ambao huwezi kutoka kabisa,na usitufanye sisi wajinga kama wewe.

Sasa tuwekee hiyo list kamili,au tuonyeshe mungu wa 4121 ni nani ?

Kijana naona tunakudai majina ya miungu tu unarukaruka je nikikuuliza mungu 7124 dini yake inaitwaje hapo katika list yako si utarukaruka zaidi ?

Idadi ya hizo zijaidhibiti hili ni jambo lingine,ukitaka rejea mavitabu hayo niliyo kuwekea kisha uhesabu ziko ngapi.

Hili la uislamu kuwa ni dini ya kweli nilikupa maelezo yake na mifano nikakupa.
 
Sio nahisi

pale pale ambapo unaona ulijibu basi majibu hayo ndio ambayo hayaku qualify mpaka ndio sababu swali hilo linajirudia tena hapa


Ebu nihakikishie kua ulichokifanya hapa sio utani?

Huto tu attachments tu nne ndio tume generalize vitabu vyote vya dini za ulimwenguni?
Kwani hapo unaona kuna vitabu vingapi ? Kwanza umeona vitabu kijana ?

Hivi inakuwaje unauliza ujinga na vitabu unaviona ?

Wewe hao miungu zaidi ya elfu 10 marejeo yake yako wapi ? Hili huliwezi mpaka unakufa.

Kwani tunaongelea vitabu vya dini au tunaongelea dini ? Kijana una mawenge balaa.

Kitabu cha mara ya kwanza kukuwekea humu kama marejeo yangu,kilikuwa ni volume 2 na kila volume ina zaidi ya kurasa 700.


Mimi niko pale pale.
 
Back
Top Bottom