Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Wanasayansi nao ni wanadini,washabiki wa michezo siasa muziki n.k
Unafikiri ni kwanini hutumia sayansi kutafuta suluhu na sio dini wakati maombi yanaponesha kama wao wanavyoamini?

It's Scars
 
Wewe Mungu umemjulia mwenzetu? Maana wengi wetu tumezalia na kukuta dini na ndiyo tumemjulia Mungu huko,je wewe hivyo umjuavyo wewe ulimjulia wapi?
Wewe kumbe hujui kua mungu yupo ila unafata mkumbo?

It's Scars
 
Ajabu ni kwamba hiyo maana ya imani aliyoiandika imetafsiriwa na hao hao waliopiga ban safari za kwenda makwao kwa hofu ya corona

It's Scars
.
millardayo_B-BMGO4A-aJ.jpeg
 
Hiyo maana yako wewe ya neno "dini" ni ya kijinga kupita mfano.

Kumbe huwa mnajiandikia vitu hata maana ya hicho mnachoandika hamuelewi.

"shehe" ndiyo nini?

Lazima iwe ya kijinga kwasababu inazungumzia ujinga uliopitiliza(dini)



It's Scars
 
Nilikujibu "Poa" kwa kuwa nilikupuuza, haiwezekani unajibiwa maswali kisha unarudia kile kile ulichojibiwa, nikaona napoteza muda.

Sasa nimerudi baada ya kuona unajinadi kwamba hujajibiwa maswali yako. Huku ni kujidanganya kwa wazi kabisa.


Sasa vipi nikawaulize "Masheikh" wakati jambo dogo sana hilo na nimeshalimaliza, kufanya hivyo nikuwakosea adabu "Masheikh".

Sababu umeona UONGO ni sifa yenye kupendeza. Nasema hivi : "KAMA KUNA SWALI HATA MOJA SIJAJIBU ONYESHA, UKIONYESHA SWALI HILO, NAACHA KUTUKIA HII ID". Hatulei wajinga na watu WAONGO.

Onyesha swali ambalo sijakujibu.
Wapi ulipojibu maswali halafu nikarudia tena kukuuliza maswali hayo hayo?

It's Scars
 
Nani katangaza hizo zama? Kwa ufahamu wako finyu unadhani hizi hoja dhaifu zimeanza na wewe mwenye uelewa MKUBWA!? Do yourself a favour, nenda kasome hisstoria kwanza usijejiona una hekima kuliko waliotangulia. Hoja zako ni dhaifu mno na hazifikirishi. Ndii maana sihangaiki hata kujibu

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Kwanza nashukuru kwa kuzitambua kua ni "hoja dhaifu" ajabu ni kwamba pamoja udhaifu wake zimekushinda kuzijibu.

Vipi ukiletewa zisizo dhaifu utaziweza, kama hizi dhaifu zimekushinda?



It's Scars
 
Uwepo wa dunia na vyote vilivyomo
Uwepo wa dunia na vilivyomo unathibitishaje kua yupo?

Unaelewa jibu hilo linakufanya uonekane mbahatishaji, unaweza kuthibitisha uwepo wa dunia na vilivyomo ni uwepo wa mungu?

It's Scars
 
Humakiniki na nicho kiandika ndo maana unaoata wenge

Hapo kwenye sheikh au mchungaji unaweza kuweka mtu yeyote yule na bado kauli yangu ikawa imelenga pale pale nilipopakusudia

Kuondoka kwa hilo tatizo hapa ndipo tatizo liliko

Unajuaje kua tatizo hilo limeondolewa kwa dua/maombi na sio kwamba ni drama tu imechezwa ili kukuteka kiakili uamini majini na mapepo ni vitu vya uhalisia?

It's Scars
Aisee dogo unapenda ubishi halafu uelewa mdogo.

Hebu niambie hiyo michezo anacheza nani sasa? Maana nimekwambia dua huomba muumini yeyote na si suala la watu maalumu ila umekazania watu wanacheza michezo!
Tunashuhudia watu wetu wa karibu ndugu zetu wenye hayo matatizo wakitibiwa kwa hizo dua ila wewe umeshika kisimu chako huko unatype tu kuwa ni michezo ya watu njoo huku mitaani ujionee.
 
Daah umeeandika mauza uza matupu ni lini ulisikia mashekhe wakisema wanaponya maradhi na kuponyesha vilema na kufukua misukule?...jiangalie weeh jamaa hujielewi unataka uamini nini kama Mungu yupo ilhali unaishi dunia yenye mbingu haina nguzo?unataka ishara gani ya uwepo wa mungu?au nani kakuambia ukitoa sadaka basi utaishi bila tatizo?Sasa mungu ndo anaonyesha ukubwa wake bila kubagua kwa haya maradhi utoe sadaka usitoe ushinde kwny ibada uwe tajiri yeye ndo keshafanya yake
Mbingu ni nini?

Au anga ndio unaliita mbingu?

Sasa kwa akili ya kawaida hivi unajiona mzima kweli, yani unataka anga liwe na nguzo inamaana hujui anga ni nini?

Ukosefu wa elimu ya kujua anga ni nini ndio iliyokufanya uamini mungu yupo kwasababu ulitaka kuona nguzo zimeashikilia??

Kwaiyo akili yako imetafsiri kua kutokuwepo kwa nguzo zakushikilia anga ambazo na wewe ungeziona ni muujiza wa kuonesha mungu yupo??



It's Scars
 
Nimependezewa na Hojaji zako za Kuonesha kuwa Mungu unayemjuwa wewe si wa kweli na hayupo.
Ila Ujuwe kuwa Mungu wa Uislamu Yupo na hashindwi na jambo lolote.
Lakini pia ujuwe hili janga limesababishwa na Maasia yetu wanadamu ,na ndo maana yeye Mungu analeta kama angalizo la kutuzindua ili tukumbuke kuwa sisi ni waumbwa(viumbe)
Ikiwa Kiumbe MinuteAsiyeonekana kwa macho ( Corona virus ) ameweza kusimamisha shughuli zote duniani na kutuletea taharuki, na binadamu tayari kashashindwa na la kufanya, Vipi Hasira za Muumba Mwenyewe?
Unadhani tunaweza sisi kuishi kwa masharti hayo yaliyowekwa na watu wa afya kwa siku zote ?
Ikiwa hatutatakiwi kukusanyika,kugusana,na kutoka nje ovyo unadhani huyu mdudu akiendelea kuwepo kwa mwaka mmoja,kuna maisha kweli tena hapa duniani?
Ikiwa Muungu Kaamua kutupa Adabu kwa kumkosea ,na kwa hakika sisis wote ni wakosefu sana mbele zake, utashindaje bila ya kuungama na kuomba msaada wake?
Uislamu unatufunza
Quran Tukufu sura ya pili Mstari wa 155 [Hapana shaka tutakujaribuni kwa chembe ya khofu, na njaa, na upungufu wa mali na watu na matunda. Na wabashirie wanao subiri ]
Thibitisha kwanza huyo mungu wa ukweli unayemkusudia wewe yupo

It's Scars
 
Uwepo wa dunia na vilivyomo unathibitishaje kua yupo?

Unaelewa jibu hilo linakufanya uonekane mbahatishaji, unaweza kuthibitisha uwepo wa dunia na vilivyomo ni uwepo wa mungu?

It's Scars
Naweza kuthibitisha pale nitakapo jua ww baba yako anaitwa Nani? Na unaaminije kuwa huyo ni baba yako?
 
Huku mtaani kwenye ibada ya leo unaambiwa ukifika mlangoni unaulizwa mara mbili "ulinawa na sabuni unavyotoka kwako" ukisema ndio wanakupa sabuni unawe ndio uanze misa

Halafu mwisho wa ibada mhasibu wa kanisa alivalia gloves anapoenda kuchukua sadaka ili akazihesabu

It's Scars
Atoke shehe au padri au mchungaji aombee wagonjwa wa corona wapone tuone
Wanasubiri sayansi ivumbue ndio waje kimbelembele
 
Hebu pitia table hiyo hapo chini uone nchi zilizo athirika zaidi duniani.
Utajifunza kitu hapo.
Saudi arabia hakuna kifo kilichoripotiwa hata kimoja.
Lakini Vatikan ndo inaongoza kwa vifo.
Huu ni mpango wake Mumba ,si ujanja wala elimu.
Hata china ,tayari hali ime anza kubadilika,lakini zuio la kutoka nje bado liko pale plae.
Mungu anataka Kuonesha uwezo wake ili watu watubu na Kuacha uovu wao.
Confirmed Cases and Deaths by Country, Territory, or Conveyance
The coronavirus COVID-19 is affecting 188 countries and territories around the world and 1 international conveyance (the Diamond Princess cruise ship harbored in Yokohama, Japan). The day is reset after midnight GMT+0.


Report coronavirus cases
Search:

Country,
Other
Total
Cases
New
Cases
Total
Deaths
New
Deaths
Total
Recovered
Active
Cases
Serious,
Critical
Tot Cases/
1M pop
China81,054+463,261+672,4405,3531,84556
Italy53,5784,8256,07242,6812,857886
Spain28,572+3,0761,725+3442,12524,7221,785611
USA26,905+2,698348+4617826,37970881
Germany23,129+76593+920922,8272276
Iran21,638+1,0281,685+1297,63512,318258
France14,4595621,58712,3101,525222
S. Korea8,897+98104+22,9095,88459174
Switzerland7,225+362801317,014141835
UK5,018240+7934,6852074
Netherlands3,63113623,493354212
Belgium3,401+58675+82633,063288293
Austria3,026+349+193,00815336
Norway2,244+80762,23128414
Sweden1,77021+1161,73368175
Portugal1,600+32014+251,58126157
Denmark1,395+691311,38142241
Canada1,331+320+1141,297135
Malaysia1,306+12310+21141,1822640
Australia1,286+2147461,233250
Brazil1,201+231821,181186
Japan1,05436215803558
Czechia1,047+5261,041798
Turkey9472192611
Israel945+6213790720109
Luxembourg798+1288678431,275
Ireland7853577713159
Pakistan730+853137143
Diamond Princess712856713715
Finland626+1031106152113
Thailand599+18814455479
Iceland568+951556211,665
Poland563+277+213543315
Chile53718528728
Ecuador53273522230
Greece53013194981851
Indonesia514+6448+10294372
Qatar481274546167
Romania433+662+2643671423
Singapore43221402901474
Saudi Arabia3921637611
Slovenia383138212184
Philippines380+7325+61534013
India360+287+2243290.3
Bahrain332+2211491824195
Estonia326+2043222246
Peru31851312510
Russia3061162892
Egypt29410422423
Hong Kong2744100170437
Mexico251+482424512
Lebanon248+1848236436
Panama24531241757
South Africa24022384
Croatia235+2915229557
Iraq233+1920+3571566
Argentina225+674271945
Colombia210+141+132064
Armenia190+302188264
Serbia188+1712185422
Kuwait188+1227161544
Slovakia1787171233
San Marino175+15204151135,158
Bulgaria174+1133168325
Taiwan169+162281397
UAE153238113215
Algeria1391565593
Latvia139+15113874
Uruguay135+25135239
Hungary131+286+216109614
Costa Rica11722113223
North Macedonia114+291113155
Dominican Republic112310910
Morocco108+123310213
Lithuania105+611103139
Jordan10019910
Vietnam99+5178221
Bosnia and Herzegovina931290128
Faeroe Islands923891,883
Albania89+132285231
Andorra881+118621,139
Cyprus841380370
Brunei831822190
Sri Lanka82+537924
Moldova801178320
Belarus7615618
Tunisia75+153+217176
Malta732711165
Venezuela70155522
New Zealand66+146614
Burkina Faso6435563
Palestine59+6174212
Guadeloupe561554140
Senegal565513
Oman55+3134211
Georgia54+5153114
Kazakhstan54543
Azerbaijan53111415
Cambodia532513
Trinidad and Tobago494935
Ukraine4731431
Réunion474752
Uzbekistan42+1421
Cameroon402382
Martinique37136799
Liechtenstein3737970
Afghanistan34+101330.9
Channel Islands3232184
Bangladesh27+323220.2
Guam27+121+126160
Nigeria26+41250.1
Honduras26+2263
DRC231220.3
Puerto Rico23+21228
Paraguay2212113
Cuba211202
Ghana211200.7
Macao20+1101031
Jamaica1912166
Bolivia19192
Guyana1811723
Mauritius18+411714
Monaco18117459
French Guiana181860
Guatemala171160.9
Rwanda17171
Montenegro161625
Togo16162
French Polynesia151553
Barbados141449
Ivory Coast141130.5
Kyrgyzstan14142
Maldives1331024
Tanzania12+6120.2
Ethiopia11+2110.10
Mayotte111140
Gibraltar1028297
Mongolia10103
Aruba8+31775
Kenya770.1
Seychelles7771
Equatorial Guinea664
U.S. Virgin Islands6657
Gabon5142
Isle of Man5+3559
Saint Martin55129
Suriname559
Bahamas4410
New Caledonia4414
Eswatini4+343
Cayman Islands31246
Curaçao31218
Cabo Verde335
CAR330.6
Congo330.5
El Salvador330.5
Liberia330.6
Madagascar330.1
Namibia331
St. Barth33304
Zimbabwe330.2
Sudan2110.05
Angola220.06
Benin220.2
Bermuda2232
Bhutan223
Fiji222
Greenland2235
Guinea220.2
Haiti220.2
Mauritania220.4
Nicaragua220.3
Saint Lucia2211
Zambia220.1
Nepal1100.03
Antigua and Barbuda1110
Chad110.06
Djibouti111
Eritrea110.3
Gambia110.4
Vatican City111,248
Montserrat11200
Niger110.04
Papua New Guinea110.1
St. Vincent Grenadines119
Sint Maarten1123
Somalia110.06
Timor-Leste110.8
Uganda110.02
Total:316,06111,07113,59759095,892206,57210,12640.5
Highlighted in green
= all cases have recovered from the infection
Highlighted in grey
= all cases have had an outcome (there are no active cases)
The "New" columns for China display the previous day changes (as China reports after the day is over). For all other countries, the "New" columns display the changes for the current day while still in progress.

Mekka kutolipoti kifo baada ya jitihada zao za kuhakikisha nyie hamuendi kwao kwa hofu ya kufa kwa corona, hiyo nayo ni muujiza wa mungu??

Hahaha kijana sikukuu yenu ya wajinga ni wiki ijayo nashangaa umeanza kusherekea leo

It's Scars
 
Afrika tumewekeza sana kwenye uchawi, uganga na dini! Haya basi hiyo dini ituokoe kipindi hiki kigumu!
Mkuu Mungu yupo tena yu hai, tatizo linakuja kwa waamini kuwa na imani haba. Hatuna muda wa kutosha katika kutaka kumjua bali tunaweka shida zetu mbele.

Ndio wanatokea ma opportunist wa imani kama mitume na manabii wa kisasa.

Binafsi namwamini Mungu na katika kadhia hii na nyingine yeyote, Imeandikwa, "mwenye haki ataishi kwa imani."

Hivyo hatupaswi waamini kuishi kwa hofu yeyote. Hivyo tu mkuu

Mimi ni mgeni humu, na hii ni first comment yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afrika tumewekeza sana kwenye uchawi, uganga na dini! Haya basi hiyo dini ituokoe kipindi hiki kigumu!
Mkuu Mungu yupo tena yu hai, tatizo linakuja kwa waamini kuwa na imani haba. Hatuna muda wa kutosha katika kutaka kumjua bali tunaweka shida zetu mbele.

Ndio wanatokea ma opportunist wa imani kama mitume na manabii wa kisasa.

Binafsi namwamini Mungu na katika kadhia hii na nyingine yeyote, Imeandikwa, "mwenye haki ataishi kwa imani."

Hivyo hatupaswi waamini kuishi kwa hofu yeyote. Hivyo tu mkuu

Mimi ni mgeni humu, na hii ni first comment yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpumbavu ni wewe usiyemwamini mungu, acha kiburi cha uzima ndugu uhai wako kwa mungu ni Kama utando wa buibui.
Acha kumuita mwenzako mpumbavu over something stupid

Kuamini mungu muweza wa yote,.mjuzi wa yote na mwenye upendo wote katika kipindi hiki cha janga hili ni zaidi ya ujinga

It's Scars
 
Back
Top Bottom