Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Uzima ndio unaokupa kiburi.
Hata mtoto mpumbavu akiwa na kiburi anaweza akamwambia mama yake usinisumbue hata Mimi ningetangulia ningekuzaa.

Umewahi kujiuliza maswali haya :-
Kwa nini sio kila mtu ni Daktari?
Kwa nini sio kila MTU ni Mchawi ?
Kwa nini sio kila MTU ni mwanamziki au Mchezaji au Mwana Sarakasi ?
Kwa nini sio kila MTU ni Mwanamazingaumbwe?
Kwa nini kila MTU sio Mwanajeshi au kwa nini sio kila mwanajeshi ni Komandoo?
Kwa nini wote hatuna akili sawa?
Kwa nini wengine ni Magenius na wengine sio?

Huoni tu kuwa kuna Mwenye Maarifa makubwa aliyewaumba hawa watu na kuwapa vipaji kwa kazi na wakati wakati wake?

Kama binadam ametengeneza magari ya aina tofauti na kila moja na ubora wake kama vile Benz ,Toyota, Mitsubishi, Nissan, Land Rover n.k. Kichaa na mpumbavu ndiye anayeweza akasema hayo magari yamejitengeneza yenyewe.
Binadam wameumbwa na kupewa akili ya kujisimamia .

Engineer wa Umeme akishawasha umeme anaondoka zake umeme unaendelea kuwaka kwa kiwango alichoweka. Ukikatika hata vishoka wanaweza kuunga tena.

Mungu ana Mambo Mengi na kazi kubwa ya kupambana na muasi Shetani sio kuhangaika na Korona walizozitafuta wafuasi wa Shetani kwa tamaa zao za kutajirika na kumiliki uchumi na madaraka ya dunia.

Dawa zinatoka kwa Mungu kama haujui.
Ndugu yako Shetani amekua akidanganya watu sana lakini ujanja wote wa dawa unatoka kwa Mungu ndio maana hata alama ya tiba dunia nzima ni Nyoka aliyejisokota kwenye mti.

Waganga wote wa asili wanarithishwa kwa imani ya mizimu namna ya kutambua miti ya dawa. Hii pia ni dini.

Waitali wameasi na kukufuru sana mana Makanisa mengi wameyageuza kumbi za starehe na club za Pombe na kufanya kila aina ya ufuska kwenye majengo ya Makanisa. Sasa Mungu ameamua kuudhihirisha ulimwengu kuwa kazi za mikono yao haziwezi kuwaokoa bila kutii amri zake.

Bado wewe zamu yako inakuja. Utamheshimu Mungu tu kabla hujafa.
Mana kama sio Corona itakupiga Sukari na kama sio sukari itakupiga Presha,kama sio Presha utakupiga Ukimwi na kama sio ukimwi utapigwa na ajali na kama sio ajali utapigwa na Kansa na kama sio kansa utapigwa na Mpafu na kama sio mapafu utapigwa na vidonda vya tumbo.
Utamkumbuka tuu aliyekuumba na kukupa pumzi na akili na sasa unasema hayupo . Utakapokuwa unachungulia kaburi utawaza kuwa mada haiwezi kuharibiwa lakini inaweza kubadilika kutoka hali moja kwenda nyingine. Utaona unavyokaribia kubadilika kwenda kwenye hali usiyoijua ndipo utakapomkumbuka Mungu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hii michambo mixer vitisho ilikua inaweza kuleta impact katika zama za ujinga tu ambao watu wakipindi hicho walikua tayari kukubali chochote kwa dhana ya vitisho



It's Scars
 
Nimepitia baadhi ya maneno yalioandikwa huku nimechekea sana watu wanavo defend vitabu vilivoletwa na Mashua kupitia bahari ya Hindi na kutua Kilwa Kivinje na Bagamoyo.

If you know your history well, you’ll know where your coming from.

Babu yako alieishi mwaka 1750 alikua dini gani?
Mtu anakuambia "wewe ni mjinga kwasababu humuamini mungu wa wana waisrael"



It's Scars
 
Hayo maelezo hayajajibu swali hili

Unajuaje kua kuran imesema ukweli?

It's Scars
Hakuna maelezo hapo, kuna challenge kwako. Soma tena...

Challenge imekuwa nzito kwako? Kitu ambacho unasema si kweli kinakushinda? Soma...

Usipate shida Qur'an yenyewe inakupa jibu...

Qur'an 2:


2_23.gif



23. Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli. 23


2_24.gif

24. Na mkitofanya - na wala hamtofanya kamwe - basi uogopeni moto ambao kuni zake ni watu na mawe walio andaliwa hao wanao kanusha. 24





Haya tunasubiri utimize hiyo "challenge". Miaka zaidi ya 1400 imetolewa , mpaka.leo hajatokea hata mmoja aliyeweza, jaribu bahati yako tRNA washirikishe na makafiri wenzako wote.


Hahaha unaongelea "spider"? Kuna sura nzima ndani ya Qur'an inabeba jina Hilo, imeshushwa zaidi ya miaka 1400 nyuma. Kwi kwi kwi teh teh teh, wewe ndio leo unamjuwa? Ulilala usingizi mzito sana.
 
Infact ni kwamba hakuna sector yeyote ambayo muafrika anafanya kwa weledi bila kukosea kama sector ya ujinga

Muafrika kwenye ujinga ndo anaplay part vizuri kuliko sector yeyote unayoijua wewe
Kasoro wewe tu?
Mbona
na wewe ni walewale tu.
Wewe kwa maandiko yako tu unajidhihirisha kuwa "you are simply an uneducated fool from an uneducated school'.
 
Wote wako chaka wanaskilizia madaktari watoe jibu la hitimisho maana wao tayari wamejipanga na majibu yao mfukoni mwao

Ikitokea madaktari wametoa dawa, tutawaskia wakisema maombi yao ndio yamewezesha wanasayansi kupata dawa.

Na ikitokea hakuna dawa iliyotengenezwa na wanasayansi watasema kua mungu katupa corona ili kutujaribu na kutupima imani au watasema mungu hujibu maombi kwa wakati wake
Na hayo yote uliyasomea wapi?
 
Weka wewe halafu niambie wapi hujaelewa

It's Scars
Ambapo sijaelewa ni kwamba ulikuwa unataka watu wanaoamini Mungu wasifanye kazi kwamba wawe wanaomba dua tu kwa sababu wanadini? Au wananadini wenye taaluma zao wasishughulike na taaluma zao wao waombe dua tu?
 
Wapi nimesema mimi ni msemaji wa mungu?

Halafu leo hii unataka kupinga kua vitabu vyenu havijasema kua binadamu mnamapungufu?



It's Scars
Sasa kama sio msemaji wa Mungu mbona unasema kuwa Mungu hawezi kuumba kiumbe chenye mapungufu hii kauli ni ya kwako au umemsikia Mungu akisema hivi ?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nacheka sana, kushindwa hoja kuzuri sana, yaani hata kuelezea jambo unashindwa.

Post namba 13 inaelezea upande wa Allah, post ile ya 120 inaelezea hasa upande wetu.

Haya mambo yanahitaji elimu na utulivu wa hali ya juu. Ndio maana nilipo rudi jana au juzi nikawa najiuliza hii mada mbona ishaisha inakuwaje inakimbia mpaka leo hii, nilipoingia naona unadai hujajibiwa.

Nakupa miala kumi uonyeshe hukumu ninayo jihukumu katika post namba 13 dhidi ya zile nyingine. Ukiweza kuonyesha hilo naacha kutumia hii "Id" nilikwambia hili na nakariri tena na tena.

Ahsante.
Wewe nae Kausome Uislam wako vizuri. Muislam hatakiwi kucheka cheka hovyo. Kamsome Ibn Majah kuhusu kujichekesha hovyo.

Hususan sehemu kama hizi unajadiliana na kafir huyo halafu unajichekesha chekesha hovyo. Jifunze adabu za Kiislam usilete ujinga wako humu.
 
Wewe nae Kaisome Uislam wako vizuri. Muislam hatskiei kucheka cheka hovyo. Kamsome Ibn Majah kuhusu kujichekesha hovyo.

Hususan sehemu kama hizi unajadiliana na kafir huyo halafu unajichekesha chekesha hovyo. Jifunze adabu za Kiislam usilete ujinga wako humu.
Wewe mama wapi kwenye Qurani tumeambiwa tusicheke ?

Ibn majah huyo unaamini maneno yake yamekuwa Qurani ?

Au maneno ya ibn majah nayo ni Quraani ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mama wapi kwenye Qurani tumeambiwa tusicheke ?

Ibn majah huyo unaamini maneno yake yamekuwa Qurani ?

Au maneno ya ibn majah nayo ni Quraani ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nae Kausome Uislam wako vizuri. Muislam hatakiwi kucheka cheka hovyo. Kamsome Ibn Majah kuhusu kujichekesha hovyo.

Hususan sehemu kama hizi unajadiliana na kafir huyo halafu unajichekesha chekesha hovyo. Jifunze adabu za Kiislam usilete ujinga wako humu.
We punguani, Huwa hamuelewi mnachokisoma. Nani alikudanganya kuwa maneno ya Ibn Majah ni Qur'an? Nnakushauri, usifanye upuuzi na ujinga wa kuihusisha Qur'an na Binadam.

Kujichekesha chekesha hovyo ni mambo ya kikafir hayo. Soma Qur'an...

إِنَّهُ كَانَ فَرِيقٌ مِّنْ عِبَادِي يَقُولُونَ رَبَّنَا آمَنَّا فَاغْفِرْ لَنَا وَارْحَمْنَا وَأَنتَ خَيْرُ الرَّاحِمِينَ - 23:109

فَاتَّخَذْتُمُوهُمْ سِخْرِيًّا حَتَّىٰ أَنسَوْكُمْ ذِكْرِي وَكُنتُم مِّنْهُمْ تَضْحَكُونَ - 23:110



Kijana, wewe inabidi unisome upate kujifunza kutoka kwangu, wewe upo finyu sana, bado kabisa hujafikia "caliber" ya kushindana na yeyote kwenye masuala ya elimu yoyote Ile.
 
Wewe unajifanya unafata Qurani tu,huyo ibn majah kwa nini umtumie kumkataza Mtu kucheka anapojadili ?

Mbona usitumie Qurani tu kukataza jambo lako ?

Wapi Qurani imekataza kucheka ?

Aya ulotoa haijataja kucheka hapo

إِنَّهُ كَانَ فَرِيقٌ مِّنْ عِبَادِي يَقُولُونَ رَبَّنَا آمَنَّا فَاغْفِرْ لَنَا وَارْحَمْنَا وَأَنتَ خَيْرُ الرَّاحِمِينَ

(AL - MUUMINUN - 109)
Bila ya shaka lilikuwapo kundi katika waja wangu likisema: Mola wetu Mlezi! Tumeamini; basi tusamehe na uturehemu, nawe ndiwe Mbora wa wanao rehemu.

فَاتَّخَذْتُمُوهُمْ سِخْرِيًّا حَتَّىٰ أَنسَوْكُمْ ذِكْرِي وَكُنتُم مِّنْهُمْ تَضْحَكُونَ

(AL - MUUMINUN - 110)
Lakini nyinyi mliwakejeli hata wakakusahaulisheni kunikumbuka, na mlikuwa mkiwacheka.

Wapi Qurani imekataza Mtu kucheka akiwa anajadili na kafiri ?
We punguani, Huwa hamuelewi mnachokisoma. Nani alikudanganya kuwa maneno ya Ibn Majah ni Qur'an? Nnakushauri, usifanye upuuzi na ujinga wa kuihusisha Qur'an na Binadam.

Kujichekesha chekesha hovyo ni mambo ya kikafir hayo. Soma Qur'an...

إِنَّهُ كَانَ فَرِيقٌ مِّنْ عِبَادِي يَقُولُونَ رَبَّنَا آمَنَّا فَاغْفِرْ لَنَا وَارْحَمْنَا وَأَنتَ خَيْرُ الرَّاحِمِينَ - 23:109

فَاتَّخَذْتُمُوهُمْ سِخْرِيًّا حَتَّىٰ أَنسَوْكُمْ ذِكْرِي وَكُنتُم مِّنْهُمْ تَضْحَكُونَ - 23:110



Kijana, wewe inabidi unisome upate kujifunza kutoka kwangu, wewe upo finyu sana, bado kabisa hujafikia "caliber" ya kushindana na yeyote kwenye masuala ya elimu yoyote Ile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nae Kausome Uislam wako vizuri. Muislam hatskiei kucheka cheka hovyo. Kamsome Ibn Majah kuhusu kujichekesha hovyo.

Naona umeni miss sio ?

Imaam Ibn Majah Allah amrehemu nionyeshe nikamsome wapi ? Maana ni mwanazuoni wa Hadithi huyu, bila shaka kwenye kitabu chake cha Hadithi, au vitabu vya Ruwat navyo vina husu hadithi.
Hususan sehemu kama hizi unajadiliana na kafir huyo halafu unajichekesha chekesha hovyo. Jifunze adabu za Kiislam usilete ujinga wako humu.

Nacheka sana, adabu za Kiislamu nazipata wapi embu tuonyeshe nikazisome.

Pili, kuna tofauti kati ya kujichekesha na kucheka sana. Mimi nacheka sana, nikikwambia uthibitishe kama najichekesha hutaweza.
 
Magonjwa yanathibitisha hilo

Hakuna muda maalumu wa seli kuchoka bali kulingana na mazingira yakiwa rafiki basi zitaweza kudumu bila kuchoka kwa kipindi kirefu lakini ikiwa kama si mazingira rafiki itakua ni kinyume

It's Scars
Wanao kufa katika ajali na majanga mbali mbali wao wanaingia wapi ?
 
Hujajibu ndio maana nalirudia kwa kuweka msisitizo

Hujajibu swali hili

Unajuaje kwamba waandishi wa dini hawakutumia spirit hiyo ili uongo wao kuhusu dhana ya uwepo wa mungu ufanikiwe?

It's Scars
Kurudia kwako maswali ni kukosa hoja na hili linajulikana na hakumaanishi kwamba kweli hujajibiwa maswali.
 
Aisee hii kasheshe

Kwaiyo hata ulichokikubali nacho hukijui?





It's Scars
Najua kila nukta niliyo iandika ndio maana nakuhiji hivyo, na nina weza kukuwekea wazi nukta zangu zote na hazipingani hata moja.

Kwahiyo nakuuliza hivyo ili ujihukumu mwenyewe kama ulivyo jinadi hujajibiwa maswali lakini ukweli uko dhidi yako na umeshindwa kuonyesha hilo zaidi kubabatiza nukta.
.
 
Back
Top Bottom