Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Mungu si kitu katika vitu,
Na hafanani na chochote katika vile uvijuavyo.
Hata hivyo yupo anona na Anasikia.
Ni yeye peke ya anyeanzisha vitu bila ya chanzo,
Tuliobaki hatuwezi hayo,ni lazima tuwe na chanzo.
UKITAKA KUMJUWA ZAIDI ,TAZAMA KAZI ZAKE.
JE WAZIJUA KAZI ZA MUNGU?

Ni kweli mungu sio kitu kwasababu hayupo katika uhalisia zaidi ya hadithi tu



It's Scars
 
Mawazo kama haya hayawezi kukaa kwenye kichwa cha mwanaume anae simamisha Kwa sababu ukhanithi huwa Una anzia kwenye akili.

Ushauri wangu kwako, nenda katibiwe ukhanithi Kwanza.

Akili za kikhanithi kabisa hizi.


Hello my fellow atheist


Matusi haya yanaonesha hata wewe unakubali kua mungu hayupo

kama dini zenu zinawafundisha kua mue na hofu ya mungu kwa kutotukana matusi halafu tunakuona unatukana bila hofu, niwazi kua unakubali kua mungu hayupo ila hutaki tu kuweka wazi.


It's Scars
 
We need scientific knowledge to fight CORONA not FAITH

Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
I think this is beyond human knowledge people are dead daily
I think faith is beyond human knowledge
We need FAITH HERE NOT SCIENTIFIC KNOWLEDGE AGAIN
 
Upo sahihi hakuna ambacho si kazi kila kitendo ni kazi. Na dini haijasema watu wasijiepushe na maafa wala kujali afya zao hivyo saudia walichofanya ni mafundisho ya kiongozi wao wa dini.
Sasa mwanzo ulikua unakataa nini kua kuomba dua sio kazi halafu hapa unakiri kua hakuna kisicho kazi??



It's Scars
 
Ni kweli mungu sio kitu kwasababu hayupo katika uhalisia zaidi ya hadithi tu



It's Scars
kwa upeo wa akili yako kwa kila ksicho onekana hakipo,si sahihi.
Kuna gesi ya Oxygen tunajuwa kuwa ipo kwa ishara na dlili zake.lakini hatuioni.
Hivyo hivyo, Nyerere alikuwepo kwa kuwa kuna waliomuona akiwa hai,na zipo habari zake.
Upepo hua hatuuoni,lakini tunapata dalili zake.
So ukisema hivy
Hata Mungu Hatumuoni,lakini Zipo dalili na ushahidi wa kuwepo kwake.
Kazi za Mungu hakuna Aliyeweza kuzifanya.
Na walikuja watu maalumu waliotumwa Na mungu kutupa ufahamu kuhusu yeye.
 
kwa upeo wa akili yako kwa kila ksicho onekana hakipo,si sahihi.
Kuna gesi ya Oxygen tunajuwa kuwa ipo kwa ishara na dlili zake.lakini hatuioni.
Hivyo hivyo, Nyerere alikuwepo kwa kuwa kuna waliomuona akiwa hai,na zipo habari zake.
Upepo hua hatuuoni,lakini tunapata dalili zake.
So ukisema hivy
Hata Mungu Hatumuoni,lakini Zipo dalili na ushahidi wa kuwepo kwake.
Kazi za Mungu hakuna Aliyeweza kuzifanya.
Na walikuja watu maalumu waliotumwa Na mungu kutupa ufahamu kuhusu yeye.
Unaweza kunionesha mahali nilposema "kisicho onekana hakipo"

It's Scars
 
Nilikuuliza mwanzo, Mule tumboni kwa Mwanmke,ni nani anaye shughulika na zile mbegu za uzazi ili kupatikana Mtu
Hukuja na Jibu
Nakuuliza tena
Unapopanda mbegu Ardhini,ni vipiinaota hadi kutowa mazao?
Nani anyeiotesha ile/
Hebu kamwage mbegu zako za Kiume kwenye Udongo utazame kuwa utapata mtu pale.
Huu ndio ushahidi tosha wamfumo wa MUngu wa Kuumba.
Na kwa dalili kama hizo
Mungu yupo na anatutumikia kila uchao.
 
Ni kweli mungu sio kitu kwasababu hayupo katika uhalisia zaidi ya hadithi tu



It's Scars
Ni kweli Mungu si kitu kw sababu vitu huwa vimeumbwa.
Mungu anbaki kuwa Mungu tuu.Huwezi kumfananisha na kiumbe chochote ukijuacho wewe.
Lakini yupo na halisi kwa umbile lake la kiungu.
Walio muamini Humuona.na Huzungumza nae kihalisia kabisa.
Wasiomuamini,Huonana na shetani ,na ndiyo huyo mwalimu wako wa kumkana Mungu ilhali amekuumba.wewe na wazazi wako.
Wamekuwezesha kuona kusikia na akili,lakini unadhani umevipata kwa nguu zako hivyo?
Hukutani na vipofu mitaani,
Hukutani na Viziwi, na wendawzimu.
Bado hujui kuwa wewe Umependelewa kuliko wenzio?

natamani unngelikuwa Mwanamke Ukawa unalaliwa na kutiwa Mimba.
Labda ungelimjua nani Muweza wa Mimba yako uliyopata kwa Raha.
 
MIAKA MINGI ILIYOPITA MJUMBE WA MUNGU ELLEN G WHITE ALISHAANDIKA KUHUSU CORONA VIRUS NA HUNTER VIRUS ILIYO GUNDULIKA CHINA JUZI.

Ni katika kitabu kinachoitwa "Natural Remedies Encyclopedia" uk 745.

Hichi kitabu kinapatikana kwenye maduka yote ya vitabu vya waadventista wa sabato Duniani kote na pia kinauzwa na wainjilisti wa vitabu mtaani kwako.

MUNGU anasema hivi

""......Akiwapo nabii kati yenu, Mimi, BWANA, nitajifunua kwake katika maono, Nitasema naye katika ndoto"".Hesabu 12:6

Hakika Bwana MUNGU hatafanya neno lo lote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake .Amos 3:7
FB_IMG_1585155265862.jpeg
FB_IMG_1585155263059.jpeg
FB_IMG_1585155258495.jpeg
 
Ni kweli Mungu si kitu kw sababu vitu huwa vimeumbwa.
Mungu anbaki kuwa Mungu tuu.Huwezi kumfananisha na kiumbe chochote ukijuacho wewe.
Lakini yupo na halisi kwa umbile lake la kiungu.
Walio muamini Humuona.na Huzungumza nae kihalisia kabisa.
Wasiomuamini,Huonana na shetani ,na ndiyo huyo mwalimu wako wa kumkana Mungu ilhali amekuumba.wewe na wazazi wako.
Wamekuwezesha kuona kusikia na akili,lakini unadhani umevipata kwa nguu zako hivyo?
Hukutani na vipofu mitaani,
Hukutani na Viziwi, na wendawzimu.
Bado hujui kuwa wewe Umependelewa kuliko wenzio?

natamani unngelikuwa Mwanamke Ukawa unalaliwa na kutiwa Mimba.
Labda ungelimjua nani Muweza wa Mimba yako uliyopata kwa Raha.
Anabaki kua mungu katika dhana ya kufikirika na sio uhalisia

Ni sawa na mtu anayesema spiderman anabaki kua spiderman kusema kwake huko hakufanyi spiderman awepo kihalisia

It's Scars
 
Nilikuuliza mwanzo, Mule tumboni kwa Mwanmke,ni nani anaye shughulika na zile mbegu za uzazi ili kupatikana Mtu
Hukuja na Jibu
Nakuuliza tena
Unapopanda mbegu Ardhini,ni vipiinaota hadi kutowa mazao?
Nani anyeiotesha ile/
Hebu kamwage mbegu zako za Kiume kwenye Udongo utazame kuwa utapata mtu pale.
Huu ndio ushahidi tosha wamfumo wa MUngu wa Kuumba.
Na kwa dalili kama hizo
Mungu yupo na anatutumikia kila uchao.
Hujui hata kuuliza swali

Kwanini unauliza swali kwa minaajili ya "nani" na sio "nini" katika jambo usilolijua?



It's Scars
 
MIAKA MINGI ILIYOPITA MJUMBE WA MUNGU ELLEN G WHITE ALISHAANDIKA KUHUSU CORONA VIRUS NA HUNTER VIRUS ILIYO GUNDULIKA CHINA JUZI.

Ni katika kitabu kinachoitwa "Natural Remedies Encyclopedia" uk 745.

Hichi kitabu kinapatikana kwenye maduka yote ya vitabu vya waadventista wa sabato Duniani kote na pia kinauzwa na wainjilisti wa vitabu mtaani kwako.

MUNGU anasema hivi

""......Akiwapo nabii kati yenu, Mimi, BWANA, nitajifunua kwake katika maono, Nitasema naye katika ndoto"".Hesabu 12:6

Hakika Bwana MUNGU hatafanya neno lo lote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake .Amos 3:7View attachment 1399301View attachment 1399303View attachment 1399304
Watu kutabiri kitu fulani halafu kitu hicho kutokea hakuthibitishi mungu yupo

Watabiri wa hali ya hewa wanaifanya hiyo kazi kila siku

Thibitisha mungu yupo

It's Scars
 
Mbona ishara zipo nyingi tuu kuliko hizo za wana wa Israili,
Nimempa huyo jama ishra ya Mbegu ya uzazi akitiwa yeye badala ya mwanamke anweza kutupatia mtoto?
Si karuka swali,
Mimi nadhani angelisema bora Nimjaribu ili tuthibitishe kuwa inawezekana hata kwa mwanamume,
lakini karuka kimanga.
Kumbe anajuwa kuwa Mungu ndie aliyepangilia mambo na si binadmu.
Lakini angenikubalia nikamwagia mbegu kisha tukasubiri mimba ,hapo angeliona ishara kamili.
Binti usinitege, sina huruma ntakuchapa hata kama nyege

It's Scars
 
Back
Top Bottom