Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu wame panikishwa na kuiona Corona kama balaa kubwa la ajabu hivyo tuko kwenye chaos
Kule ni ulaya, Corona sio tropical diseases.kwa kinachoendelea Italia na Hispania haukupashwa kuandika hivi Mkuu wangu Your Majesty Mkuu sana P.
Unaijua hii nchi kweli?Wanabodi,
Kuna msemo wa Kiswahili usemao "Kufa Kufaana", wakati watu wanahangaika na janga la Corona, wengine wanaangazia namna ya kutumia changamoto kuzibadili kiwa fursa, yaani turning problems, obstacles, challenges or adversaries into opportunities.
Tangu dunia na taifa letu kukumbwa na janga la ugonjwa wa Corona, Tanzania kama Taifa, tumepanic, kila mtu ni mtaalam wa Corona, Viongozi wa serikali wakiwemo wataalamu wetu wa afya wanatoa contradictory statements kwenye media tena mbele ya Waziri wa Afya, elimu ya jinsi ya kujikinga inayotolewa ni elimu duni, hatuna vifaa vya usafi kwenye public places zetu ni mwendo wa vitisho na panic kwa kwenda mbele huku hakuna elimu yoyote proper inayotolewa na chombo chochote cha habari zaidi ya uhamasishaji wa kinga ili kuzuia.
Bandiko langu sio la kuelimisha umma kuhusu ugonjwa wa Corona au jinsi ya kujikinga, bali mimi naangazia fursa za Corona.
Kwenye kila changamoto, pia huwa kunajitokeza fursa. Concentration kubwa sasa ni kinga watu wame panikishwa na kuiona Corona kama balaa kubwa la ajabu hivyo tuko kwenye chaos hivyo kazi yangu mimi ni kuwatuliza na kuwapa michongo ya fursa mbalimbali zinazoletwa na janga hilo la Corona kwa hoja kuws japo Corona ni janga, lakini pia ni fursa, Watanzania tusiishie tuu ku concentrate kwenye janga la Corona tukajisahau kabisa na kushindwa kuziangazia fursa za Corona. Janga la Corona linaandamana na fursa mbalimbali, mfano tayari Benki ya Dunia, WB imemwaga mihela ya kufa mtu kwa ajili ya kufidia mdororo wa Kiuchumi unaosababishwa na Corona.
Kwavile tangu kulipuka kwa ugonjwa huu wa Corona, so far hakuna Mtanzania yoyote aliyeambukizwa virusi vya Corona akiwa nchini Tanzania, waathirika wote 6 waliogungulika Tanzania so far, hakuna hata mmoja aliyeambukizwa Corona nchini Tanzania, wote wameambukizwa virusi vya Corona huko waliko ambukizwa, na kuvileta hapa nchini lakini licha ya ku interact na watu wote walio changamana nao, hakuna hata Mtanzania mmoja aliyeambukizwa virusi vya Corona, hivyo at this moment naweza kusema, ugonjwa wa Corona ni ugonjwa wa wazungu huko huko nchi za ulaya zenye baridi na hata mgeni akija Tanzania na virusi vyake, atabaki navyo mwenyewe, Watanzania hatuambukiziki, hivyo sasa tupunguze panic ya ugonjwa wa Corona, lets compose ourselves tuchangamkie fursa mbalimbali zinazoletwa na ugonjwa huu wa Corona.
Fursa hizi ni za aina mbili, fursa za kitaifa kama Tanzania as nchi kuchangamkia fursa hii ya World Bank
World Bank Group Increases COVID-19 Response to $14 Billion To Help Sustain Economies, Protect Jobs
Fursa nyingine ni kama hizi
Hapa sasa naomba Watanzania wenzangu wenye jicho la kiangazia fursa mbalimbali
Kwa wale wa Ibada leo, Ijumaa Kareem,
- Fursa za uandaaji wa vipindi vya redio, television na online vya uelimishaji umma kuhusu ugonjwa wa Corona, yaani public information Programs, sasa ni kila mtu anasema lake, nilimshuhudia mtaalamu wa Afya, Daktari bingwa akiwa mbele ya Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, akizungumzia uvaaji wa mask, kiukweli alichemsha na analiingiza chaka taifa zima, hivyo nikaona hapa kuna fursa, kama hata Waziri wa Afya hajui kuhusu masks na anaingizwa chaka, vipi kuhusu sisi akina kajamba nani?.
Serikali inasisitiza kutumia running water lakini hatuna vifaa vya running water kwenye public places kama hivi- Hivyo ukitengeneza hivi na kuviuza, afisi zote, public palaces zote, maduka yote, vituo vyote vya mabasi, stendi zote, vituo vya dala dala, masokoni etc, what an opportunity?
- Watanzania tunahimizwa kutumia hand sanitizers, hatuna sanitizers za kutosha Watanzania wote. Hivyo hii ni fursa kwa simple home made sanitizers kutumika, the simplest ni maji ya chumvi, chumvi ya kawaida ina clorine, tengeneza maji ya chumvi, pack, piga pesa!.
- fursa ya watu kununua ma dumu makubwa ya real sanitizers na kuyapack kwenye vichupa vidogo na kuuzia watu, japo kwenye hili, huwezi zuia matapeli kujaza maji mengi na kuweka vitone tuu vya sanitizers kuweka harufu.
- Soon mtashuhudia wale wauza ukwaji wa Bhakresa wakiuza sanitizers.
- Tuendelee kuweka fursa mbalimbali nitakuwa nazi update hapa.
Kwa wale wenzangu na mimi, nawatakia Furahi Dei njema, sisi wa maji makali, Corona haituhusu!.
Paskali.
Mkuu Paskali,Kule ni ulaya, Corona sio tropical diseases.
Ni ugonjwa wa Wazungu. Uliisha wahi kusikia mswahili anakufa kwa mafua?.
P
Kule ni ulaya, Corona sio tropical diseases.
Ni ugonjwa wa Wazungu. Uliisha wahi kusikia mswahili anakufa kwa mafua?.
P
Mkuu Freddie Matuja, huyu jamaa alikuwa na tatizo jingine la kiafya, hivyo Corona ikawa ni kama kumpiga tuu teke chura. Sisi Watanzania umeisha wahi kusikia mtu kafa kwa mafua?.Mkuu Paskali,
kuna haja ya kuchukua tahadhari, maana Deputy President wa Bunge wa Bukinabe (Bukinafaso) katuacha kwa korona hii hii.
Burkina Faso reports Sub-Saharan Africa's first coronavirus death as WHO warns 'prepare for worst'
Kuna wengine kinga zao sio imara sana humu humu kwenye ngozi nyeusi yenye rutuba
Ukiwa mkweli kupindukia ni tatizo!. Kuna magonjwa ni tropical diseases yanaua watu kuliko Corona ikiwemo malaria, Corona sio tropical disease hivyo tuendelee kuchukua tahadhari lakini so far as of now, hakuna Mtanzania yoyote ameambukizwa Corona from within, hivyo I'm right mpaka itakavyo kuja kuwa proved otherwise wise.Hii sio sayansi ni ujinga. Mtu mzima kukumbatia ujinga proudly ni jambo la aibu, ingekuwa kwingine usinge jitambulisha kama mwandishi wa habari tena watu wakakusoma.
Mzungu asiye na elimu kama unayo wewe angesema publicly gonjwa X ni la weusi akimaanisha wasijihangaishe nalo, ungelia ubaguzi, rightfully. Lakini pamoja na elimu yako unajiwekea standard tofauti.
wewe hauwahurumii hao unaowaita wazungu?Kule ni ulaya, Corona sio tropical diseases.
Ni ugonjwa wa Wazungu. Uliisha wahi kusikia mswahili anakufa kwa mafua?.
P
Ukiwa mkweli kupindukia ni tatizo!. Kuna magonjwa ni tropical diseases yanaua watu kuliko Corona ikiwemo malaria, Corona sio tropical disease hivyo tuendelee kuchukua tahadhari lakini so far as of now, hakuna Mtanzania yoyote ameambukizwa Corona from within, hivyo I'm right mpaka itakavyo kuja kuwa proved otherwise wise.
Mimi ni mkweli daima regardless ukweli huo utamfurahisha nani na kumuudhi nani.
Pole.
P
P na wewe Ni mfatiliaji wa habari za Corona kweli au umeikurupukia tu upande wa fursa?Wote walio interact na yule first victim, wamechukuliwa sample na ikaletwa maabara Dar ikapimwa, so far bado hakuna maambukizi yoyote locally.
P
Najitahidi kuiona tofauti lakini so far sijaipata..kuifanya Corona fursa na kuiombea Corona ije!Tofautisha kuiombea Corona ije, na kuchangamkia fursa za Corona.
P
So imeisha hiyo maana vipimo tayari havionyeshi aliyeambukizwa?Kwenye mipaka yetu yote tunapima joto kila anayeingia, ukikutwa tuu na homa, unachukuliwa vipimo vya ziada. Hao wagonjwa wote 6 wamewekwa karantini, na watu wote waliokutana nao wamechukuliwa vipimo, hakuna aliyeambukizwa.
P
So habari ya vifo 450 kwa siku moja kutokana na Corona Ni propaganda za mabebero na washirika wao wanahabari eti?Ni kweli mkuu,Corona imekuwa blown out of proportion na vyombo vya habari,na sisi tumelibeba kama lilivyo.Hatujui au tumesahau kwamba wao wana agenda ya kuleta hofu.Hofu yenyewe ni silaha mbaya,kwa kuwa kwa hiyo unapata magonjwa na kwa hiyo you are easy to control and manipulate.