Corona: Japo ni janga, pia ni fursa. Tanzania bado hakuna maambukizi, tupunguze panic, tuongeze Elimu. WB kumwaga mihela, tuchangamkie fursa

Hii misaada si ndio mtaigeuza kama ile ya kule Bukoba.. na baadae tutaambiwa " kwani mi ndiye nimeleta corona"
 
Wakuu nianze kwa kusema hivi ugonjwa huu inaweza kuwa season disease, nadiyo rahisi kumshsmbulia mtu mweusi kwa maans immunity ya black people ni strong. Kulingana na factor ya ukuaji. Nin maana yangu
Inaweza ikawa world economic crisis. Ila kwa sababu na sis waafrika tupo duniani tujiadhari tuu. Ila issues ya COVID- 19
Siyo kwa ajili ya mwaafrika. Otherwise hyo mwasfrika hawe na gane za watu weupe
Nawasilisha hoja wazeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa kinachoendelea Italia na Hispania haukupashwa kuandika hivi Mkuu wangu Your Majesty Mkuu sana P.
Kule ni ulaya, Corona sio tropical diseases.
Ni ugonjwa wa Wazungu. Uliisha wahi kusikia mswahili anakufa kwa mafua?.
P
 
Unaijua hii nchi kweli?
Wewe na ppr yako mpaka sasa umetulia,
Utatengeneza na serikali inaweza pata hela na isinunue wkazipeleka kujenga nyerere power plant

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paschal hatuna mswada mpaka sasa nawakati naigeri na south tayar wamepitisha Jana,
Unaenda kuomba huna wazo mezani, tayar Zanzibar hawapati fedha za utalii je tunawasaidiaje?


Taasisi za utalii zimeathirika tutalinda vipi ajira? Tunasubir kamati za kawaida ziendelee kukaa badala ya bunge zima,

Labda tumuulize Mpango kamati yake imemaliza tathimini? Na hili litakuwa sehemu ya pendekezo lao?

Hizi ni baadhi ya hoja tuone kama tunaweza pata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kule ni ulaya, Corona sio tropical diseases.
Ni ugonjwa wa Wazungu. Uliisha wahi kusikia mswahili anakufa kwa mafua?.
P

Hii sio sayansi ni ujinga. Mtu mzima kukumbatia ujinga proudly ni jambo la aibu, ingekuwa kwingine usinge jitambulisha kama mwandishi wa habari tena watu wakakusoma.
Mzungu asiye na elimu kama unayo wewe angesema publicly gonjwa X ni la weusi akimaanisha wasijihangaishe nalo, ungelia ubaguzi, rightfully. Lakini pamoja na elimu yako unajiwekea standard tofauti.
 
Mkuu Freddie Matuja, huyu jamaa alikuwa na tatizo jingine la kiafya, hivyo Corona ikawa ni kama kumpiga tuu teke chura. Sisi Watanzania umeisha wahi kusikia mtu kafa kwa mafua?.
P
 
Ukiwa mkweli kupindukia ni tatizo!. Kuna magonjwa ni tropical diseases yanaua watu kuliko Corona ikiwemo malaria, Corona sio tropical disease hivyo tuendelee kuchukua tahadhari lakini so far as of now, hakuna Mtanzania yoyote ameambukizwa Corona from within, hivyo I'm right mpaka itakavyo kuja kuwa proved otherwise wise.
Mimi ni mkweli daima regardless ukweli huo utamfurahisha nani na kumuudhi nani.
Pole.
P
 

You are an educated fool.
Kusema hamna mtu aliyeambukizwa ni jambo moja, kusema hauambukizi watu wetu ndani ni wehu na sijui una nia gani.
 
Wote walio interact na yule first victim, wamechukuliwa sample na ikaletwa maabara Dar ikapimwa, so far bado hakuna maambukizi yoyote locally.
P
P na wewe Ni mfatiliaji wa habari za Corona kweli au umeikurupukia tu upande wa fursa?

Habari za Corona tunazozisikia Ni kuwa vipimo vinaweza kudetect virus baada ya mtu kuwa exposed 1-14 days, Sasa hata siku 7 bado tayari unavimba kifua hakuna contact aliyeambukizwa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tofautisha kuiombea Corona ije, na kuchangamkia fursa za Corona.
P
Najitahidi kuiona tofauti lakini so far sijaipata..kuifanya Corona fursa na kuiombea Corona ije!

Hembu tupe reference ya bandiko lako la nyuma linaloelezea tofauti labda nitakuelewa mkuu paskali..

Kama Corona Ni fursa then si Ni sahihi kuiombea fursa ije??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hero, Chief Salute umeongea point kubwa..
Nadhani Kuna mahali blabla za bwana huyu zinaweza kufaa lakini sio kwenye maswala haya ya afya yenye kuhusisha zaidi uhai wa watu..

Leo siku ya 5 tu tayari mwanahabari huyu Mwenye utaalamu wa Mambo ya afya anatuambua huu ugonjwa sio wa watanzania maana hakuna mtanazania aliyeambukizwa Tanzania. Daah..

Paskali this is too low of you

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujiliwaza kuwa watu wasipaniki ni ujinga. Nchi zilizoendelea zinaadhirika sana kwa sababu watu wanaopanda ndege kwenda na kutoka oversees ni wengi, chukulia mfano wilaya ya kinondoni ni wangapi kwa mwezi mmoja wametua na kuruka oversees linganisha na wilaya kama hii Roma au Madrid utaona Kyle ni wengi na hapa ni wachache! Uwezekano wa waambukizi ni mkubwa Kyle kuliko nchi zetu, hasa Africa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So habari ya vifo 450 kwa siku moja kutokana na Corona Ni propaganda za mabebero na washirika wao wanahabari eti?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…