Lyaule Kitundu
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 758
- 1,029
Time will tell tunaambiwa italia nao waliipuuza kwa style hii hii mnayoihamasisha na Pascal. Watu wakaendelea na starehe zao lakini Sasa wanatangaza vifo 450 then huku kwetu na sie tunahamasisha kuwa Corona is overratedSure thing
Corona in Tz is overrated
haiwezi kukusaidia,Acha ni-commit logical fallacy.
Kama mpaka SWOT analysis unaifahamu lakini hufahamu kuwa "chakula" sio "chakura" ni ajabu lakini ndio ukweli.
Sihitaji inisaidie mimi kwasababu sihitaji msaada. Ila inaweza kuwa enlight ambao hawajui.haiwezi kukusaidia,
kizazi cha blabla, maneno matupu! uswahili!Sihitaji inisaidie mimi kwasababu sihitaji msaada. Ila inaweza kuwa enlight ambao hawajui.
Yeah? Soma tena kuanzia ulipoanza kuni quote mpaka hapa kisha utagundua nani mswahili. Adios.kizazi cha blabla, maneno matupu! uswahili!
idiot, useless! low thinking capacity mnashida sana, hapa hatushindani kuandika, hapa tunawasilisha ujumbe husika, kima wewe!Yeah? Soma tena kuanzia ulipoanza kuni quote mpaka hapa kisha utagundua nani mswahili. Adios.
Mkuu kwa ulivoongea angekuwa karibu nadhani ungempiga bonge la kibaoWewe si ulimtuhumu technically na ukamwita Shetani baada ya kuona Corona ni fursa kisiasa, so wewe sio shetani kwa kuona ni fursa kiuchumi?!
Wewe ni kilaza sana, I was respecting you a lot but as for now you are stupid baboon#
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasa, hapa ni unaangalia tarehe ya bandiko hili, unaangalia tulishauri nini, na lini, kisha unatembelea hapa,Fursa hizi ni za aina mbili, fursa za kimataifa kwa Tanzania kama nchi kuchangamkia fursa hii ya World Bank
World Bank Group Increases COVID-19 Response to $14 Billion To Help Sustain Economies, Protect Jobs
P.
Hii ni fursa.
This is "A stich in time saves nine!".
Mkuu Michael Makene, asante nimekisikia, na karibu mitaa hii....wewe ndg nilikua nakukubali Sana kwenye uchambuzi na kuusema ukweli bila kumungunya maneno lakini tokea uende kwenye kamati ya job umekua muoga balaa....simama katika ukweli itetee nchi yako washauri watawala bila kuogopa Kama watanuna hii taifa ni lakwetu sote mlipuko ukizidi tutaumia sote....waandishi nguri Kama wewe ndio wakati wenu wakupaza sauti mliponye taifa Kama mnashindwa kukemea muonapo kusua sua kwa wenye dhamana basi toeni elimu kwa jamii namna ya kujikinga na maambukizi