Corona: Kenya hali ni mbaya sana. Serikali huenda ikasalimu amri hivi karibuni

Kwani kumekuwaje?

Huku kwetu hatutangazi ndio maana hatujui linaloendelea. Corona ipo kila mahali ni wewe halijakufika lakini vifo ni vingi hata huku kwetu.

Usifurahie wanayopitia jirani zetu nadhani tuwahurumie na kuwa support. Shida jirani zetu slums nyingi
 
Usikariri ya kuambiwa. Slums nyingi unajua unachoongea?
 
Tatizo walituombea tupukutike sana, walituita Italy ya East Africa, sasa watu kama hao unataka tuwahurumie?.

Wewe hiyo ya watu kufa upo maeneo gani ya Tanzania?, kama vyuoni na mashuleni hakuna taarifa za watu kufa, wala wachezaji wa mpira wanaocheza ligi ya EPL hakuna hata mmoja anayeunwa, au hata timu za ligi kuu pia zinaficha?
 
Usikariri ya kuambiwa. Slums nyingi unajua unachoongea?
Huo ndio ukweli, nchi nyingi zenye slums inakua vigumu sana kuthibiti maambukizi ya "Communicable diseases". South Africa, Nigeria, Kenya, DRC, BukinaFaso, Ghana Ethiopia, hizi nchi zitashuhudia ongezeko kubwa sana la maambukizi.
 
Juzi watu wamezika Kibaha Mlandizi na Bagamoyo
Ukielekea mitaa ya kusini kusini Mafinga na jirani zao huko ni hatari
Morogoro he?
Watu wanakufa buana acha ubishi
Likikufika uje ukanushe
Corona ni ya kila mmoja tusijuvune kama vile kwetu kuko salama

Ukristu wangu unanituma kuwahurumia sijui wewe imani yako inakufundisha nini
 
Yep yep nakijua. Kwani uongo?

Kenya na Nigeria zinaongoza kwa slums ikifuatia Filipino sasa unakataaa nini?
Jisumbue kusoma na kufuatilia yaliyopo ulimwenguni
Kenya imeshinda India kwa idadi ya watu wanaoishi kwa slums?
 
Kenya imeshinda India kwa idadi ya watu wanaoishi kwa slums?
Mkuu changanya ubongo wako kha
Kenya ni mojawapo ya nchi zenye slums zenye ukubwa ukiunganisha na India Nigeria etc shida iko wapi hapa?
 
Mkuu changanya ubongo wako kha
Kenya ni mojawapo ya nchi zenye slums zenye ukubwa ukiunganisha na India Nigeria etc shida iko wapi hapa?
Naona unefurahia sana habari ya Kenya kuwa na slums. Haya basi jifurahishe. Raha jipe mwenyewe.
 
Kwa hiyo Tanzania Corona inachagua sio?, sehemu zenye mikusanyiko kama mashuleni na vyuoni, au kwenye michezo yenye mikusanyiko kama wachezaji wa mipira, huko imeamua kutokwenda, badala yake imeamua kuwavamia huko unakosema, hatusemi imekwisha, lakini imepungua sana kiasi cha kuruhusu shughuli ziendelee.

Sasa kama watu hawapimwi, wewe umejuaje kama hao wanaokufa huko ni Corona, au unatembea na kipimo?
 
Mungu kawaumbua, kawaonyesha kuwa waache unafiki ili wawe majirani wazuri.
Wanavuna matunda ya upumbavu wao; heri wangekuwa wajinga elimu ingewasaidia kuondoa ujinga; na hao wala siyo wajinga, wameelimika sana lakini ni wapumbavu!! Upumbavu ni roho, ni zaidi ya ujinga; watapata taabu sana kuanzia walioko BBC Swahili, mpaka NRB. Najua Zuhra Yunus na Salim Kikeke wanafanya kazi kwenye mazingira magumu sana, maana timu kubwa BBC Swahili ni wa-K, wapendwa wa mabeberu.
Nilimsikia mwenye duka mmoja jijini NRB akihojiwa na redio moja ya kwao; anadiriki kusema kwamba, wenye maduka jijini humo wanafunga maduka yao na kukimbia wanapogundua kuwa kuna mtanzania ameingia dukani mwao!!
Mwisho wa ubaya ni aibu!!
 
Tetesi?.... Hilo neno tu limejibu kila kitu, kama kweli Kenya mnaweza kujilinganisha na Tanzania, jaribuni kufungua vyuo na shule muone kama vyuoni wanafunzi hawatokimbia na kurudi nyumbani kwao, au ruhusuni michezo iendelee kama Tanzania, muone kama wachezaji hawatokufa kama wadudu, Kahata yupo Dar akiwa na amani tele. Lazima mkubali ukweli kwamba Tanzania tumefanikiwa kuudhibiti kwa kiwango kikubwa sana
 
Bado nitaendelea kuwaambia, hii ni biashara kenya wanafanya. Hz data ni za kupikwa ili wapewe pesa za misaada hasa baada ya kusikia imf watawapa pesa watanzania kwa ajili ya corona.
Wanataka wafikie idadi ya who wanayosema, wakisema mwezi july maambukizi yatafikia 1000, basi ni lazima wayafikie. Mark my word.
Hizi kama ikiendelea kwa let say miaka 4, wataendelea kutangaza hivihivi? na nina hisi Uhuru atahgairisha uchaguzi ili aendelee kuongoza , coz hamna jitihada yoyote inayotangazwa ya kuondoa huu ugonjwa zaidi ya kusema idadi tu.
 
kwani nani anaye reveal takwimu officially Tanzania?
kwa kufanya hivyo tafsiri yake wameruhusu watu watafute taarifa wenyewe na kuzipa majina kama "tetesi", nk and you can't blame them!
 
Naona umekasirika sana kuhusu huyo mkenya anayejifanya mtanzania
 
Hatufanya kisa tanzania wamefanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…