Corona: Kenya waanza kulalamikia Tanzania kwa kuanza kulipiza kisasi

Corona: Kenya waanza kulalamikia Tanzania kwa kuanza kulipiza kisasi

Mtanzania gani anayelia?, mnaolia ni nyinyi mnaosema Magufuli hatiki kushirikiana na wenzake. Ukweli tusema, ni kitu gani kitakachowafanya watanzania kuvuka mipaka na kuingia Kenya katika kipindi hiki kigumu?.

Kenya inahitaji Chakula na raw materials toka Tanzania, Je Tanzania inahitaji kitu gani muhimu toka Kenya?. Ningekuwa Magufuli ningefunga huu mpaka japo kwa miezi mitatu ili kuwatia adabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
All drugs used in Tanzania are from Kenya. For raw materials, Uganda will forever be a good neighbor.
 
For your information, look at the picture in that tweet alafu kuniambia ni Kampuni gani ya Kenya iko na gari kama hizo? Hizo boxes za match sticks are only found in Tanzania.
Taja ni kampuni gani la Tanzania linafanya safari za Mombasa Tanga, kawaida ni Modern Coast na Tahmed.

Kuhusu hayo malori, yote yanakuja kuleta Chakula huko Kenya, tukiyazuia kuja huko, wakenya ndio watakufa njaa sio sisi. Tanzania baba lao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haujui kiswahili?

Taasisi ya habari ikiripoti tukio ni Tz wanalia?

Kwizera? Hakuna jina la kiTanzania la hivyo. Huyo ni mshkaji wa Rwanda akiripoti kilichopo.

MTanzania gani analia?

Hakikisheni mna mahindi ya kutosha. Yasijirudie ya njaa kali, na watu kufa njaa katika nchi yenu ya uchumi wa kati.
Uko na sukari ama unakunywa dubia?
 
Mwizi anakimbizwa kimyakimya ...

Magu sio mkwere nawakumbusha tu

#AKILI ZA HANDSHAKE
 
You just relax and see how the match will unfold. You to know right now every country in East Africa doesn't want to associate itself with Tanzania.
The same happened during "Coalition of the willing", do you remember how the game ended?, the same is going to happen. There is no country in this region can afford to isolate Tanzania, " The great".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taja ni kampuni gani la Tanzania linafanya safari za Mombasa Tanga, kawaida ni Modern Coast na Tahmed.

Kuhusu hayo malori, yote yanakuja kuleta Chakula huko Kenya, tukiyazuia kuja huko, wakenya ndio watakufa njaa sio sisi. Tanzania baba lao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna ukitoka Wala kuingia Mombasa. Sasa hizi modern Coast and Tahmeed zitatokaje Mombasa zifike lungalunga?
 
The same happened during "Coalition of the willing", do you remember how the game ended?, the same is going to happen. There is no country in this region can afford to isolate Tanzania, " The great".

Sent using Jamii Forums mobile app
During this corona time you alone my friend. In fact this disease has really exposed Magufuli's illiteracy.
 
All drugs used in Tanzania are from Kenya. For raw materials, Uganda will forever be a good neighbor.
Hahahaha, 99% of our drungs are from India, Kenya sells only "Metronidazole" and one or two antipains, tell me which medicine from Kenya is available in Tanzania?. Even in Kenya, more than 98% of drugs are from India.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haujui kiswahili?

Taasisi ya habari ikiripoti tukio ni Tz wanalia?

Kwizera? Hakuna jina la kiTanzania la hivyo. Huyo ni mshkaji wa Rwanda akiripoti kilichopo.

MTanzania gani analia?

Hakikisheni mna mahindi ya kutosha. Yasijirudie ya njaa kali, na watu kufa njaa katika nchi yenu ya uchumi wa kati.
Mkuu hawa jamaa wanachekesha,!
Wana majanga kama matatu yanawatoa kamasi.

1. Corona
2. Mafuriko
3. Nzige

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna ukitoka Wala kuingia Mombasa. Sasa hizi modern Coast and Tahmeed zitatokaje Mombasa zifike lungalunga?
Hilo swali unapaswa ajiulize aliyeweka hiyo post inayoonyesha abiria wakisubiri vipimo katika mpaka wa Lungalunga wakati anajua kwamba hakuna safari za kuingia na kutoka Mombasa, lengo lake lilikua ni lipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
During this corona time you alone my friend. In fact this disease has really exposed Magufuli's illiteracy.
Even during Coalition of the willing we were alone, but we won at the end. During liberation of Africa also we were alone, you were together with whites, but we managed to liberate all African countries, we never lose this type of competitions.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The same happened during "Coalition of the willing", do you remember how the game ended?, the same is going to happen. There is no country in this region can afford to isolate Tanzania, " The great".

Sent using Jamii Forums mobile app
Leo hii tumerudisha 25 drivers huko Tanzania. Hiyo ujinga wenyu bakini tu nayo Tanzania, we will be friends after Corona but not now.
 
Nasithiol
Clavex-625
Mertfomin
Zentel
Zefcolin etc
Out of more than 2000 drugs that are registered in Tanzania, remember also that, we have more than 12 drugs substitutes of these, so we actually don't need them, we are are using better Mertfomin from India which is also cheaper than the one from Kenya. There is no any item from Kenya which is necessary for Tanzanians.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyinyi endeleeni kupima mbuzi na mafuta wakati loads of people are dying in your country due to Cororna. Hata kama hamna vipimo tutawapimia, tushajitolea kuwasaidia.
Sisi tutaendelea kuwanyanyapaa mkuvuka mpaka na kuingia Tanzania, soon tutaanza kuwacharaza bakora tukiwakamata huku Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi tutaendelea kuwanyanyapaa mkuvuka mpaka na kuingia Tanzania, soon tutaanza kuwacharaza bakora tukiwakamata huku Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
The 25 positive people tumewatestia I think you can add to you national tally. What a good luck to have a better neighbor like that is even testing your citizens for you?
 
Back
Top Bottom