KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,511
- 3,313
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Four dead, I think you are doing very well, hahahaha, hahahaha.The 25 positive people tumewatestia I think you can add to you national tally. What a good luck to have a better neighbor like that is even testing your citizens for you?
But you can't survive without Tanzania, that's why we have too much pettiness.
At least sisi tuko na only 40 death as compared to more than 300 in Tanzania.
Kenya mpo na 600 deaths (by Miguna Miguna)At least sisi tuko na only 40 death as compared to 300 in Tanzania.
Hohoho, and you believed in someone who is in Canada. Ask Miguna to breakdown the deaths per county so that we can at least believe him for once.
Hellooo
Haujui kiswahili?
Taasisi ya habari ikiripoti tukio ni Tz wanalia?
Kwizera? Hakuna jina la kiTanzania la hivyo. Huyo ni mshkaji wa Rwanda akiripoti kilichopo.
MTanzania gani analia?
Hakikisheni mna mahindi ya kutosha. Yasijirudie ya njaa kali, na watu kufa njaa katika nchi yenu ya uchumi wa kati.
Wanalia lia na hawataki kufunga mipaka,[emoji38][emoji38][emoji38]na watakoma, TZ tunampango wa kublock boda zinazotumika kusafirisha chakula kwa magendo .harafu tatizo la wakenya wanazani matatizo wakiwa wanayo wao anazani Nchi zote lazima wawe nayo kumbe sivyo. Kuna yule pimbi anaejiita mk254 kipindi corona inaanza anajitapa humu eti serikali inajiandaa inanunua chakula Cha kutosha Sasa anasahau kua huko serikali yake inanunua chakula kipo kingi ndio maana wanauziwa wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Giant eti?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaeni na upuzi wenu tu.,Hahahaha, na bado, tutawatandika kama watoto wa chekechea, hamna uwezo wa kucheza na Tanzania ninyi. Tanzania is the Giant of East Africa.
Sent using Jamii Forums mobile app
But you believe in Mange Kimambi and Kigogo both are not in Tanzania, isn't?Hohoho, and you believed in someone who is in Canada. Ask Miguna to breakdown the deaths per county so that we can at least believe him for once.
Nilitaka nimuulize hivyo pia 😂But you believe in Mange Kimambi and Kigogo both are not in Tanzania, isn't?
Sent using Jamii Forums mobile app
This is Kigogo doesn't stay in Tanzania, do you believe him?, but when Miguna Miguna says that almost 600 Kenyans have died, you don't believe because he is not in Kenya, hahahaha, hahahaha.Hellooo
Post Miguna`s` covid deaths breakdown venye Kigogo amefanya. Kigogo has clearly stated that those numbers are from ministry of health insiders and the rests are from the deceased.But you believe in Mange Kimambi and Kigogo both are not in Tanzania, isn't?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes Miguna is in Canada, Kigogo ako wapi if not Tanzania? Ama ni juu anatumia picha ya bendera ya Kenya you think that ako Kenya?This is Kigogo doesn't stay in Tanzania, do you believe him?, but when Miguna Miguna says that almost 600 Kenyans have died, you don't believe because he is not in Kenya, hahahaha, hahahaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maybe giant wa kusambaza corona 😂 😂 😂Giant eti?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaeni na upuzi wenu tu.,
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingependeza zaidi kama mngelipiza kisasi dhidi ya "kaugonjwa kadogo ka Corona". Maanake hamna mtu yeyote ambaye ana tatizo na watz, tashwishi lipo kwenye response ya Jiwe kuhusu maambukizi ya kirusi cha COVID-19. Hata mkilipiza kisasi dhidi ya majirani zenu wote tatizo la uongozi dhaifu litabaki pale pale.