johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkuu wa mkoa wa DSM ametoa mwongozo rasmi wa kudhibiti uwezekano wa virusi vya Corona kuingia mkoani Dsm.
Mambo muhimu ni pamoja na vyombo vya usafiri kutojaza abiria kupita uwezi wake kisheria.
Vyombo vya kunawia kuwekwa katika stendi zote na majumbani
Kuepuka kusalimiana kwa mikono na kukumbatiana.
Pawapo na umbali wa futi 6 kati ya mtu na mtu wakati wa maongezi
Mh Makonda atafanya ukaguzi maalumu baada ya siku tatu kufuatilia utekelezaji wa maagizo yake
NB: Nitaweka tangazo la RC Makonda hapa.
Mambo muhimu ni pamoja na vyombo vya usafiri kutojaza abiria kupita uwezi wake kisheria.
Vyombo vya kunawia kuwekwa katika stendi zote na majumbani
Kuepuka kusalimiana kwa mikono na kukumbatiana.
Pawapo na umbali wa futi 6 kati ya mtu na mtu wakati wa maongezi
Mh Makonda atafanya ukaguzi maalumu baada ya siku tatu kufuatilia utekelezaji wa maagizo yake
NB: Nitaweka tangazo la RC Makonda hapa.