MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
Kwa hili nitafuata kwa sababu ya usalama wangu, ndugu zangu, marafiki zangu na familia yangu Ila sio sababu ya tamko lakeNawa mikono bwashee acha ubishi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hili nitafuata kwa sababu ya usalama wangu, ndugu zangu, marafiki zangu na familia yangu Ila sio sababu ya tamko lakeNawa mikono bwashee acha ubishi!
Dala dala zitatakiwa kupakia level seat bwashee!Tatizo kubwa ni mwendo kasi na dala dala, unasema watu wakae mita sita wakiwa wanongea wakati kwenye mwendokasi ni kita sifuri inaingia akilini kweli?
level seat ni mita ngapi mkuu kati ya bairia na abilia? tuwe realistic tusilete siasa kwenye mambo ya hatari, mmiliki gani wa daladala atakubali japo kupakia level seat? tusiwe na kauli nyepesi nyepesi za kujifurahishaDala dala zitatakiwa kupakia level seat bwashee!
Mbona Kenya yale matatu yanapakia level seat bwashee.level seat ni mita ngapi mkuu kati ya bairia na abilia? tuwe realistic tusilete siasa kwenye mambo ya hatari, mmiliki gani wa daladala atakubali japo kupakia level seat? tusiwe na kauli nyepesi nyepesi za kujifurahisha
Mkuu Jaribu ku reason basi sasa kama virusi viko kwenye mate na kamasi huoni kwa kupiga chafya na kukohoa kunaweza kupelekea kusambaa kwa ugonjwa?Hapana mkuu. Haiambukizwi kwa njoa ya hewa. Ujinga (kukosa maarifa) katika jambo hilo ni mkibwa sana. Sijui unafikiri mask inazuia hewa? Huyo alovaa anapumuaje sasa??
Vidudu vya corona vilo katika mate na kamasi. Ndio maana contact na vitu hivo inaambukiza
Vyote hivyo.
Kabla ya kupanda daladala unanawishwa mikono!
Futi sita kati ya mtu na mtu wakati wa maongezi..! hili linawezekana kweli??!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Futi sita kati ya mtu na mtu wakati wa maongezi..! hili linawezekana kweli??!!
Sent using Jamii Forums mobile app