johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Kutoka wapi bwashee??Huku ndege zinaingia kila siku!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka wapi bwashee??Huku ndege zinaingia kila siku!!!
wewe na wewe pumba tuUpuuzi mtupu ugonjwa hauwez kuzuia kijinga eti kwa kuweka vifaa vya kunawia wakati hata kwa hewa tu unasambaa imagene wanaopanda daladala mbagala kkoo duh tuombe Mungu tu na kudhibiti mipaka hatuwez kupambana na huu ugonjwa ukiingia.
Duh mbona hatari mkuu mana futi 6 ni shimo la choo kabisa kasoro futi 6 itimie futi 12 shimo la choo kamilifuti 6 kwenye maongezi ya mtu na mtu…[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwendokasi au mwendokaraha??Na Mwendokasi wao huo,hatari tupu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sasa DAB yeye na hesabu ni. mbingu na nchi mtaa wa Congo k'koo lazima mgusane na mtu.futi 6 kwenye maongezi ya mtu na mtu…[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huku ndege zinaingia kila siku!!!
Mask kwa ajili ya wale waliohathirika na virusi
Kwa alivyo na sifa za kutokea kwenye macamera angerudisha tungemuona tu
Tunaambiwa huo ugonjwa kwa afrika haiuwezi kutokea maana nchi nyingi nyuzi joto ni zaidi ya 27.
Upuuzi mtupu ugonjwa hauwez kuzuia kijinga eti kwa kuweka vifaa vya kunawia wakati hata kwa hewa tu unasambaa imagene wanaopanda daladala mbagala kkoo duh tuombe Mungu tu na kudhibiti mipaka hatuwez kupambana na huu ugonjwa ukiingia.
Mambo ya bashite magumu sana.umenichekesha sana,hahaaaaa sijui kwenye daladala itakuwaje na hizo tape measure..hahaaa
Wewe pia kwa comment hii unapewa tiketi ya kuwa mwana ccm kama bado hujajiungaHapana mkuu. Haiambukizwi kwa njoa ya hewa. Ujinga (kukosa maarifa) katika jambo hilo ni mkibwa sana. Sijui unafikiri mask inazuia hewa? Huyo alovaa anapumuaje sasa??
Vidudu vya corona vilo katika mate na kamasi. Ndio maana contact na vitu hivo inaambukiza
Shida imo ndani ya mabasi na vihiacefuti 6 kwenye maongezi ya mtu na mtu…🤣🤣🤣🤣🤣
Shida imo ndani ya mabasi na vihiace
Huyo ni mjinga kama polepole huo ushauri itakua kapewa na lemutuzMkuu wa mkoa wa DSM ametoa mwongozo rasmi wa kudhibiti uwezekano wa virusi vya Corona kuingia mkoani Dsm.
Mambo muhimu ni pamoja na vyombo vya usafiri kutojaza abiria kupita uwezi wake kisheria.
Vyombo vya kunawia kuwekwa katika stendi zote na majumbani
Kuepuka kusalimiana kwa mikono na kukumbatiana.
Pawapo na umbali wa futi 6 kati ya mtu na mtu wakati wa maongezi
Mh Makonda atafanya ukaguzi maalumu baada ya siku tatu kufuatilia utekelezaji wa maagizo yake
NB: Nitaweka tangazo la RC Makonda hapa.
Wamekuja navyo mzee hope havita spread kama italy au iranMbona Kenya na Rwanda upo meku?!