mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Ilala boma tu Kuna nyomi shazi nje hapoIkibidi.........afya ni muhimu bwashee!
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilala boma tu Kuna nyomi shazi nje hapoIkibidi.........afya ni muhimu bwashee!
Watakuwa wamenawishwa mikono!
Mkuu wa mkoa wa DSM ametoa mwongozo rasmi wa kudhibiti uwezekano wa virusi vya Corona kuingia mkoani Dsm.
Mambo muhimu ni pamoja na vyombo vya usafiri kutojaza abiria kupita uwezi wake kisheria.
Vyombo vya kunawia kuwekwa katika stendi zote na majumbani
Kuepuka kusalimiana kwa mikono na kukumbatiana.
Pawapo na umbali wa futi 6 kati ya mtu na mtu wakati wa maongezi
Mh Makonda atafanya ukaguzi maalumu baada ya siku tatu kufuatilia utekelezaji wa maagizo yake
NB: Nitaweka tangazo la RC Makonda hapa.
Mkuu wa mkoa wa DSM ametoa mwongozo rasmi wa kudhibiti uwezekano wa virusi vya Corona kuingia mkoani Dsm.
Mambo muhimu ni pamoja na vyombo vya usafiri kutojaza abiria kupita uwezi wake kisheria.
Vyombo vya kunawia kuwekwa katika stendi zote na majumbani
Kuepuka kusalimiana kwa mikono na kukumbatiana.
Pawapo na umbali wa futi 6 kati ya mtu na mtu wakati wa maongezi
Mh Makonda atafanya ukaguzi maalumu baada ya siku tatu kufuatilia utekelezaji wa maagizo yake
NB: Nitaweka tangazo la RC Makonda hapa.
Kigwangalla hajawahi kupractice udaktari bwashee!Labda serikali yetu imefanya utafiti kuwa Tanzania hatuwezi kuathirika sana na gonjwa hilo kwa kutumia wataalamu wake wabobevu kina daktari kingwangala
Wakati wa dharura inawezekana bwashee!Futi sita kati ya mtu na mtu wakati wa maongezi..! hili linawezekana kweli??!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ndio la kulitazama,inabidi kila raia awetayari kujihadhari kisha ndiyo hizo juhudi zitakuwa na maana.Malengo ni mazuri. Je, watekelezaji (wakiwemo watumishi - raia ) watazingatia usafi kweli?
Unaweza kumlazimisha ng'ombe kwenda mtoni, lakini hauwezi kumlazimisha kunywa maji.Hilo ndio la kulitazama,inabidi kila raia awetayari kujihadhari kisha ndiyo hizo juhudi zitakuwa na maana.
Mi naamini kuna raia wengi ambao bado mitazamo yao ni kama huo ugonjwa ni wahukohuko tu,hivyo hawaoni umuhimu wa kuchukua tahadhari
Nawa mikono bwashee acha ubishi!Huyu jamaa huwa nadharau Sana matamko yake, sijawahi kumuamini