CORONA: RC Makonda atoa mwongozo kwa wananchi wa mkoa Dar es Salaam na wageni

Na Mwendokasi wao huo,hatari tupu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mwendokasi au mwendokaraha??
Kuuita mwendokasi ni kuupa hadhi isiyostahili..huu ni mwendokaraha...
Ilipaswa viongozi wote wa umma MaVX yapaki watumie huu usafiri...

Everyday is Saturday....................... 😎
 
Haina shida rc kwa hesabu yuko njema,hata pale msimbazi aliwahi kusema daraja litanyanyuliwa mita 300 kwenda juu.

So hio mambo za futi 6 kati ya mtu na mtu ni mambo ya kawaida hayo.
 
Upuuzi mtupu ugonjwa hauwez kuzuia kijinga eti kwa kuweka vifaa vya kunawia wakati hata kwa hewa tu unasambaa imagene wanaopanda daladala mbagala kkoo duh tuombe Mungu tu na kudhibiti mipaka hatuwez kupambana na huu ugonjwa ukiingia.

Bila shaka wewe hata elimu bure hakufanikiwa kupata.
 
Wewe pia kwa comment hii unapewa tiketi ya kuwa mwana ccm kama bado hujajiunga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ni mjinga kama polepole huo ushauri itakua kapewa na lemutuz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku Africa coronavirus ingefanya kuwatembelea wale wanaotoaga amri kutoka juu tu na wale wenye silaha za moto tu...corona kindly do us a favour tembelea hao tu raia tuache huru sisi hatuna ubaya na wewe mzee baba virus please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…