Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

Wewe ndio hauna akili unafikiri ni Vizuri kuzuia kupeleka bidhaa kama chakula nje ya nchi. Nchi inatafuta foreign currency wewe unasema eti kuzuia kuuza chakula nje ya nchi. Kwa akili yako unafikiri Tanzania inazalisha chakula kingi zaidi duniani bila kujua bado tunalima kizamani na poor technology

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwana tulia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza mmeitangazia dunia kua vyakula vyenu vina corona.....ujue kua ukufanya hivo na kwa jinsi dunia inavomchkulua huyu mhuni aliyejichimbiaa chato basi dunia inaweza kuungana na kususia vyetu vingi alafu wao wakashirikiana....
Mfano ikitokea maana yake korosho watanunua na wanajeshi wetu? Kahawa utamuuzia nani.? Madini yetu watasema yana corona ...hajuna kuuza samaki nje. Haya yakitokea wala sio shida kwa magufuli na ccm bali ni shida kwa wakulima na watz....
Comment zingine za ajabu, duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wewe unajua kinachoendelea dunia hii?, 70% ya pamba inayotumika katika viwanda vya nguo Kenya inatoka Tanzania, watapata wapi Pamba?

Kuhusu Chakula cha Tanzania, Soko la chakula cha Tanzania ni kubwa kuliko uwezo wa Tanzania kukidhi mahitaji ya hizo nchi, ungekua unalijua hilo, usingeandika hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Na hizi takwimu za uongo ulizoweka hapa umetoa wapi?

Nani kakwambia pamba ya viwanda vya Kenya ni 70% from TZ?Weka proof ya link au andiko hapa!

Na either way,huko wanakochukua hiyo remaining 30% ni wapi?Wanaweza chukua 100% huko huko wakiamua

India ndio biggest cotton producer in the world,not even close,nafatiwa na USA nusu ya tonnage zake!

Kutoka Punjab kupitia bandari ya Mumbai kupitia ghuba ya Uajemi kuja Mombasa sio mbali kiivyo wakiamua waende that route!

Tanzania haipo kwenye list,Africa inayoongoza ni Burkina Fasso kwa tonnage ndogo sana 185 Thousand Metric Tonnes,Tanzania hata metric tonnage hatujafikia.

Infact mtu mmoja akiamua anunia vipamba vyote huko Shinyanga ni one minute tu.Na pamba yenyewe ubora ni wa hovyo wanajaza maji na mawe eti uzito uongezeke!

What a shame!

Chakula ni very easy,Chakula cha TZ hakitoshi popote,Kenya wanaweza kata order anytime

Kama ulikua hujui biggest exporter wa maize to Kenya ni Uganda,na bado haitoshi wana import kutoka Brazil

Sukari haitoshi,wana import kutoka nje,hadi samaki wananunua toka China,Kenya wakiamua kukata ties na TZ hawaathiriki chochote,wao hua wana import regardless

Hii kiburi sijui tunaipata wapi wakati dunia inapambana kutafuta masoko,sisi tunajifanya hatutaki soko fulani sababu mawe kasema who infact thinking is not his strength at all.
 
Na hizi takwimu za uongo ulizoweka hapa umetoa wapi?

Nani kakwambia pamba ya viwanda vya Kenya ni 70% from TZ?Weka proof ya link au andiko hapa!

Na either way,huko wanakochukua hiyo remaining 30% ni wapi?Wanaweza chukua 100% huko huko wakiamua

India ndio biggest cotton producer in the world,not even close,nafatiwa na USA nusu ya tonnage zake!

Kutoka Punjab kupitia bandari ya Mumbai kupitia ghuba ya Uajemi kuja Mombasa sio mbali kiivyo wakiamua waende that route!

Tanzania haipo kwenye list,Africa inayoongoza ni Burkina Fasso kwa tonnage ndogo sana 185 Thousand Metric Tonnes,Tanzania hata metric tonnage hatujafikia.

Infact mtu mmoja akiamua anunia vipamba vyote huko Shinyanga ni one minute tu.Na pamba yenyewe ubora ni wa hovyo wanajaza maji na mawe eti uzito uongezeke!

What a shame!

Chakula ni very easy,Chakula cha TZ hakitoshi popote,Kenya wanaweza kata order anytime

Kama ulikua hujui biggest exporter wa maize to Kenya ni Uganda,na bado haitoshi wana import kutoka Brazil

Sukari haitoshi,wana import kutoka nje,hadi samaki wananunua toka China,Kenya wakiamua kukata ties na TZ hawaathiriki chochote,wao hua wana import regardless

Hii kiburi sijui tunaipata wapi wakati dunia inapambana kutafuta masoko,sisi tunajifanya hatutaki soko fulani sababu mawe kasema who infact thinking is not his strength at all.
Hahahaha, Kenya wana import kila kitu, hivi karibuni wata import "MAJI" toka China kwa sababu ya Upungufu wa MAJI katika jiji la Nairobi, pia UMEME ni shida itabidi wa import toka India kwasababu sio mbali na Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Naongeza msistizo never argue with a fool, mpakani wakulima wapo wanaoweza leta bidhaa zao sokoni.si lazima nchi nzima ilime ndio watuuzie,think [emoji848]
wewe ni mweupe buda kubali[emoji23][emoji23]
 
Hahahaha, Kenya wana import kila kitu, hivi karibuni wata import "MAJI" toka China kwa sababu ya Upungufu wa MAJI katika jiji la Nairobi, pia UMEME ni shida itabidi wa import toka India kwasababu sio mbali na Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukosefu wa maji nairobi kila mtu anajua ulitokana na mafuriko na landslides kuadhiri mabomba ya maji na nadhani yasharekebishwa sasa.....muranga ndo inachangia part kubwa ya maji yanayotumika Nairobi na gatuzi hilo limeadhirika sana na landslides

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Because we don't produce enough sugar, we are working on that. It is very interesting to note that, Kenya has higher demand for fish than China that's why you import fish from China, Kenya has higher demand for Maize, that's why you import from Tanzania and Uganda, Kenya has higher demand for Rice, onion, Fruits, and Cotton that's why you import them from Tanzania, Nairobi has higher demand for water, that's why there is no enough water in Nairobi. Hahahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Naona unamjenga kijana, maana hajui hata anaandika nini! [emoji3]
 
Hahahaha, Kenya wana import kila kitu, hivi karibuni wata import "MAJI" toka China kwa sababu ya Upungufu wa MAJI katika jiji la Nairobi, pia UMEME ni shida itabidi wa import toka India kwasababu sio mbali na Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
achana na mwezi mchanga huo,dishi limeyumba.


hata asipokula kwa siku anaamini magu kasababisha.
 
Hahahaha, Kenya wana import kila kitu, hivi karibuni wata import "MAJI" toka China kwa sababu ya Upungufu wa MAJI katika jiji la Nairobi, pia UMEME ni shida itabidi wa import toka India kwasababu sio mbali na Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app

Fact ni pale pale

GDP yao imetuzunguka mara mbili

Hatujui kujenga GDP,wao wanajua,wanajua kuzalisha

Sisi hatujui,on top of that eti tunaringa ku-export eti “kuikomoa” Kenya,thats nonsense aisee!

Utajengaje GDP bila ku export na kuzalisha kwa msuli?

Tutazidi kufeli tusipogeuka real cut throat capitalists kama Kenyans and beyond

We will never learn
 
Ushabiki sio mzuri juu ya hili janga
 
Back
Top Bottom