Mwana tuliaWewe ndio hauna akili unafikiri ni Vizuri kuzuia kupeleka bidhaa kama chakula nje ya nchi. Nchi inatafuta foreign currency wewe unasema eti kuzuia kuuza chakula nje ya nchi. Kwa akili yako unafikiri Tanzania inazalisha chakula kingi zaidi duniani bila kujua bado tunalima kizamani na poor technology
Sent using Jamii Forums mobile app
Jpm atakapokuja na sera za walimu wote wanaotoka nje ya Tanzania, work permit fee yao ni $4000,kwa miezi 6 ndio akili itawakaa sawaMbna wengi wenu ni mihemko tu na ujinga? Ni asilimia ngapi ya chakula cha Tanzania kinatumika kenya? Tuletee takwimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Comment zingine za ajabu, duhKwanza mmeitangazia dunia kua vyakula vyenu vina corona.....ujue kua ukufanya hivo na kwa jinsi dunia inavomchkulua huyu mhuni aliyejichimbiaa chato basi dunia inaweza kuungana na kususia vyetu vingi alafu wao wakashirikiana....
Mfano ikitokea maana yake korosho watanunua na wanajeshi wetu? Kahawa utamuuzia nani.? Madini yetu watasema yana corona ...hajuna kuuza samaki nje. Haya yakitokea wala sio shida kwa magufuli na ccm bali ni shida kwa wakulima na watz....
Is that all you have to say witch?
Tutafungua border tukijiskia, sawa?
That coward president is the one you are talking about?😂😂😂Jpm atakapokuja na sera za walimu wote wanaotoka nje ya Tanzania, permit work fee yao ni $4000,kwa miezi 6 ndio akili itawakaa sawa
Tanzanians are the known thugs, thieves and drug lords in Africa. Kule China and South Africa you are known for trafficking drugs and raping children.And you export to us, Corruption, thieves, majambazi and jobless youths
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kushindwa kuprove your earlier statement sasa umeshift gear....so predictableJpm atakapokuja na sera za walimu wote wanaotoka nje ya Tanzania, permit work fee yao ni $4000,kwa miezi 6 ndio akili itawakaa sawa
Magufuli is coward haezifanya kitu.
Hivi wewe unajua kinachoendelea dunia hii?, 70% ya pamba inayotumika katika viwanda vya nguo Kenya inatoka Tanzania, watapata wapi Pamba?
Kuhusu Chakula cha Tanzania, Soko la chakula cha Tanzania ni kubwa kuliko uwezo wa Tanzania kukidhi mahitaji ya hizo nchi, ungekua unalijua hilo, usingeandika hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, Kenya wana import kila kitu, hivi karibuni wata import "MAJI" toka China kwa sababu ya Upungufu wa MAJI katika jiji la Nairobi, pia UMEME ni shida itabidi wa import toka India kwasababu sio mbali na Kenya.Na hizi takwimu za uongo ulizoweka hapa umetoa wapi?
Nani kakwambia pamba ya viwanda vya Kenya ni 70% from TZ?Weka proof ya link au andiko hapa!
Na either way,huko wanakochukua hiyo remaining 30% ni wapi?Wanaweza chukua 100% huko huko wakiamua
India ndio biggest cotton producer in the world,not even close,nafatiwa na USA nusu ya tonnage zake!
Kutoka Punjab kupitia bandari ya Mumbai kupitia ghuba ya Uajemi kuja Mombasa sio mbali kiivyo wakiamua waende that route!
Tanzania haipo kwenye list,Africa inayoongoza ni Burkina Fasso kwa tonnage ndogo sana 185 Thousand Metric Tonnes,Tanzania hata metric tonnage hatujafikia.
Infact mtu mmoja akiamua anunia vipamba vyote huko Shinyanga ni one minute tu.Na pamba yenyewe ubora ni wa hovyo wanajaza maji na mawe eti uzito uongezeke!
What a shame!
Chakula ni very easy,Chakula cha TZ hakitoshi popote,Kenya wanaweza kata order anytime
Kama ulikua hujui biggest exporter wa maize to Kenya ni Uganda,na bado haitoshi wana import kutoka Brazil
Sukari haitoshi,wana import kutoka nje,hadi samaki wananunua toka China,Kenya wakiamua kukata ties na TZ hawaathiriki chochote,wao hua wana import regardless
Hii kiburi sijui tunaipata wapi wakati dunia inapambana kutafuta masoko,sisi tunajifanya hatutaki soko fulani sababu mawe kasema who infact thinking is not his strength at all.
Hiyo ndio itakayofuata,hatuwezi kumkaribisha tena jirani mnafikiKwa kushindwa kuprove your earlier statement sasa umeshift gear....so predictable
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitakachofuata ndio iko,waambieni ndugu zenu wajiandae kisaikolojia kupoteza ajira zaoThat coward president is the one you are talking about?😂😂😂
The writing is on the wall
wewe ni mweupe buda kubali[emoji23][emoji23][emoji1] [emoji1] [emoji1] Naongeza msistizo never argue with a fool, mpakani wakulima wapo wanaoweza leta bidhaa zao sokoni.si lazima nchi nzima ilime ndio watuuzie,think [emoji848]
Ukosefu wa maji nairobi kila mtu anajua ulitokana na mafuriko na landslides kuadhiri mabomba ya maji na nadhani yasharekebishwa sasa.....muranga ndo inachangia part kubwa ya maji yanayotumika Nairobi na gatuzi hilo limeadhirika sana na landslidesHahahaha, Kenya wana import kila kitu, hivi karibuni wata import "MAJI" toka China kwa sababu ya Upungufu wa MAJI katika jiji la Nairobi, pia UMEME ni shida itabidi wa import toka India kwasababu sio mbali na Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Because we don't produce enough sugar, we are working on that. It is very interesting to note that, Kenya has higher demand for fish than China that's why you import fish from China, Kenya has higher demand for Maize, that's why you import from Tanzania and Uganda, Kenya has higher demand for Rice, onion, Fruits, and Cotton that's why you import them from Tanzania, Nairobi has higher demand for water, that's why there is no enough water in Nairobi. Hahahaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
achana na mwezi mchanga huo,dishi limeyumba.Hahahaha, Kenya wana import kila kitu, hivi karibuni wata import "MAJI" toka China kwa sababu ya Upungufu wa MAJI katika jiji la Nairobi, pia UMEME ni shida itabidi wa import toka India kwasababu sio mbali na Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, Kenya wana import kila kitu, hivi karibuni wata import "MAJI" toka China kwa sababu ya Upungufu wa MAJI katika jiji la Nairobi, pia UMEME ni shida itabidi wa import toka India kwasababu sio mbali na Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app