Mimi binafsi nakerwa Sana jinsi madereva wa magari ya mizigo wanavyoteseka nilitamani waanzishe hata mgomo japo wa wiki ili waheshimike au serikali ifunge boda ya namanga kwanza kwa Sasa mahitaji ya bidhaa Tanzania mengi hivyo vitu tutanunua wenyewe, kama Sasa hivi vitunguu vinepanda Sana Sasa haina haja ya kutafuta soko la nje wakati ndani vitu bado vinahitajika
Sent using Jamii Forums mobile app
Onyesha bei za Kenya ulinganishe na Zimbabwe, Msumbiji na WFP, Kenya ndio wananunua kwa bei ndogo kuliko nchi zote kati ya hizo, kama unabisha, weka ushahidi tuone.Nchi gani ya SADC unauza chakula expensive kuliko Kenya!!
Unacompare kuuza food nchi kama Zimbabwe sijui Mozambique na KENYA,
Wakulima wenu wanaprefer Kenya juu ya high prices,
PERIOD.
Zuka hilo[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ama ni mtoto au ni mpumbavu. Baada ya EAC ya mwanzo kuvunjika mpaka wa Kenya na Tanzania ulifungwa kwa zaidi ya miaka mitatu, Wakenya waliishije?
WFP ndio wanunuzi wakubwa na wenye bei nzuri, lakini nchi zote zinazoizunguka Tanzania ni wanunuzi wakubwa wa mazao yetu, sio Kenya.Mtavipeleka wapi hivyo vyakula?
Na wanaotaka kuuza wataishije?
Jamaa anachoandika Kama alikufa miaka mingi kwahiyo kafufuka eti America na Asia eti wachukue soka la Kenya wakati kila mwaka wanawasaidia chakula Kama mchele na unga bureee. Hajielewi kweli huyu. Alishawahi sikia Tanzania imepewa msaada wa unga na china
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikoa yenye kuzalisha chakula Tanzania ipo kusini mwa Tanzania, mazao yao yote wanauzia kusini mwa Afrika, Kenya sio miongoni mwa soko muhimu kwa chakula cha Tanzania ukilinganisha na DRC, Zambia, Malawi na Zimbabwe.Zuka hilo[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata ukimuuliza mkulima bongo km rac atachagua kuuza wapi bidhaa zake kw asilimia kubwa watasema kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
WFP ndio wanunuzi wakubwa na wenye bei nzuri, lakini nchi zote zinazoizunguka Tanzania ni wanunuzi wakubwa wa mazao yetu, sio Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa!!nenda kw exports na imports lenya and tanzania[emoji23][emoji23]LOL funniest ever
Kenya inazalisha kipi kupeleka nje ya nchi zaidi ya maua na chai yote mashamba ya wazungu?
We mgeni humu eeh?
Usije kichwa kichwa basi.
Boda kati ya Kenya na Tz ilifungwa kwa miaka saba, na uchumi wa Kenya haukutikisika. Kumbuka waganda ndio wanauza bidhaa nyingi Kenya, zaidi ya watz.Wewe ama ni mtoto au ni mpumbavu. Baada ya EAC ya mwanzo kuvunjika mpaka wa Kenya na Tanzania ulifungwa kwa zaidi ya miaka mitatu, Wakenya waliishije?
WFP ndio wanunuzi wakubwa na wenye bei nzuri, lakini nchi zote zinazoizunguka Tanzania ni wanunuzi wakubwa wa mazao yetu, sio Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui kitu wewe kula kulala.Akili za Lumumba shida. Kenya soko la uhakika mazao ya biashara . Mkulima wa Tanzania ndiye mfaidika mkuu. Siyo bure buku saba zinawarusha akili.
Ipo kusini na bado wakulima wanaleta vyakula kenya...Mikoa yenye kuzalisha chakula Tanzania ipo kusini mwa Tanzania, mazao yao yote wanauzia kusini mwa Afrika, Kenya sio miongoni mwa soko muhimu kwa chakula cha Tanzania ukilinganisha na DRC, Zambia, Malawi na Zimbabwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mmeshapewa masharti sasa uamuzi uko kwenu kusuka ama kunyoa! Na sisi watz hatubembeleziBoda kati ya Kenya na Tz ilifungwa kwa miaka saba, na uchumi wa Kenya haukutikisika. Kumbuka waganda ndio wanauza bidhaa nyingi Kenya, zaidi ya watz.
Jamaa wanajaribu mbinu zote waonekane km wao ndio wanalima pekwyao lkn bado ywaangukia puaBoda kati ya Kenya na Tz ilifungwa kwa miaka saba, na uchumi wa Kenya haukutikisika. Kumbuka waganda ndio wanauza bidhaa nyingi Kenya, zaidi ya watz.
Tutakula wenyewe na tutauza SADC ndiko soko letu kubwaMkuu sasa sisi tukibaki na mavyakula yetu uchumi ndiyo utapanda? Yatakuozea na kuingia hasara tu
Kwasababu hujui dunia inavyokwenda, chakula cha Tanzania kwa muda mrefu kimekua kikiuzwa zaidi DRC na nchi za kusini mwa Africa, WFP walikua hawanunua kwa sababu hatukua na kiwango cha kutosha wanachohitaji, kumbuka Mara kwa Mara Serikali yetu ilikua ikipiga marufuku uuzaji wa chakula nje ya nchi ili kukabiliana na upungufu wa chakula, hicho chakula ulichokua unakiona kikienda Kenya, ni sehemu ndogo sana ya kinachokwenda kusini mwa Africa.Kwa nini hamkuwa mnawauzia WFP kiwango chote siku zote kabla mpaka haujafungwa?
Kwa nini mmekuwa mnawauzia Wakenya badala ya WFP?
Mmeshapewa masharti sasa uamuzi ni wenu.Jamaa wanajaribu mbinu zote waonekane km wao ndio wanalima pekwyao lkn bado ywaangukia pua
Sent using Jamii Forums mobile app