Unaona wakenya mwenyewe wamenyamaza kimya hata like hawa thubutu kutoa kwa wajinga kama wewe maana wanajua moto wa tz kufunga mpaka na kuzuia chakula Kenya lazima jubilii ipigwe chini.Sio huenda, Tanzania ndio itakayoumia zaidi. Hizi mburula za lumumba zinadhani Kenya hawana alternative.
Sijakataa kuhusu Uganda na Kenya kuwa na "volume of trade kubwa", sababu za kuwa Uganda na Kenya mnafanya biashara kubwa ni kwasababu hamna nchi zingine mnazofanya nazo biashara.Leta takwimu, nimekupa link ya kusupport nilichozungumzia. Kama unabisha kwamba Uganda wanauza bidhaa nyingi Kenya zaidi ya Tz na kwamba 70% ya mahindi ambayo Kenya inaagiza kutoka nje yanatoka Uganda tupia ushahidi. Kumbuka kwamba % hiyo ya mahindi sio yale ambaye wakenya wanatumia bali ni deficit(pengo), ambalo linawachwa baada ya mahindi ambayo yanakuzwa na wakulima wa Kenya kutumika.
Si mlibaniwaga kuuziwa mahindi mkalialia mkasema mtafuata Mexico.Msiviweke boader, rudini navyo dar haswa mkavigawe muone km wakulima watakubali[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesikia lini watu wamelia!!!Si mlibaniwaga kuuziwa mahindi mkalialia mkasema mtafuata Mexico
Mlikuwa mnatulaumu eti,si ndo kuliakulia huko, pigeni kazi wacheni uvivu ardhi kubwa sana mnayo.Umesikia lini watu wamelia. Km mnataka kuuza unga jiuzieni wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida wao hawataki kushirikiana na sisi, wanajifanya wamevurugwa wakati huku nako tumevurugwa.Duh! Watanzania tuache roho mbaya, tuache ukaidi, tushirikiane na wenzetu kukabiliana na virusi vya korona
Kama huna takwimu baki kimya tu. Chochote ambacho nakueleza ninaweza nikadhibitisha. 70% ya mahindi ambayo Kenya inaagiza kutoka nje yanatoka Uganda, upende usipende. >>>Ten Kenya’s largest trading partners Alafu utasemaje Kenya hatufanyi biashara na nchi zingine? Unaumwa wewe, kwenye hiyo link utaona pia nchi kumi top ambazo zinafanya biashara kwa wingi na Kenya, Tz haipo.Sijakataa kuhusu Uganda na Kenya kuwa na "volume of trade kubwa", sababu za kuwa Uganda na Kenya mnafanya biashara kubwa ni kwasababu hamna nchi zingine mnazofanya nazo biashara.
Tanzania hatutegemei sana soko la East Africa sana, zaidi tunategemea SADC ndio sababu volume of trade ni ndogo East Africa.
Ninachokataa ni kusema 70% ya mahindi inatoka Uganda. Kwa mwaka 2018 Kenya haijanunua mahindi toka Uganda kwa sababu hata Uganda ilikua na upungufu wa chakula.
Asante mkuu. Kama hajaelewa basi tena.Habari za Chake chake sheikh?, samahani sheikh ninaomba kukuomba kipindi hiki cha mwezi mtukufu usichangie hapa JF kwasababu ya swaumu akili yako haijakaa sawa.
Hivi hujui kwenye uchumi kuna neno " Demand & Supply?", kwamba Supply ikiwa kubwa bei inashuka?. Sasa hivi Tanzania bei ya vitunguu ipo juu sana bila hata kuwepo wageni kutokana na uzalishaji wa vitunguu kuwa Chini?.
Wakulima wetu wanazalisha chakula kingi kuliko mahitaji yetu ndio sababu bei inashuka kwahiyo lazima tuongeze demand kwa kutafuta masoko ktk nchi za Jirani.
Kitu kimoja unachopaswa kutambua ni kwamba, zaidi ya 75% ya chakula kinachozalishwa Tanzania hutoka mikoa ya kusini mwa Tanzania, ambayo masoko yao ni nchi za DRC, Zambia, Zimbabwe, Malawi na Botswana, Tanzania haitegemei soko la Kenya, tunaweza tukazuia chakula kwenda Kenya na kusiwepo na athari yoyote kwa wakulima WETU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaona wakenya mwenyewe wamenyamaza kimya hata like hawa thubutu kutoa kwa wajinga kama wewe maana wanajua moto wa tz kufunga mpaka na kuzuia chakula Kenya lazima jubilii ipigwe chini.
Send by APOLO 1
@Teargas alafu uzi wenyewe huu ulikuwa wa kinafik tu. Mleta mada akijaribu kuwahadaa wasioelewa kiingereza kwamba wana mpango wa kuzuia bidhaa. Wakati huyo DC wao wa Longido alikuwa anatishia kwamba watakuwa wana'dump', yaani wanaacha, mizigo yao Namanga(upande wa Tz). [emoji1] "Tanzania has threatened to instruct
their drivers to start dumping goods
destined for Kenya at the Namanga
border.
The regime in Dar es Salaam says if
their drivers will not be allowed entry to Kenya following the covid-19 testing
at the Namanga border, they will bag
the goods at the border point and head
back." Haya basi joto la jiwe, boda sasa imefungwa rasmi, sijui utawaambia wanakwaya nini.
@Teargas alafu uzi wenyewe huu ulikuwa wa kinafik tu. Mleta mada akijaribu kuwahadaa wasioelewa kiingereza kwamba wana mpango wa kuzuia bidhaa. Wakati huyo DC wao wa Longido alikuwa anatishia kwamba watakuwa wana'dump', yaani wanaacha, mizigo yao Namanga(upande wa Tz). [emoji1] "Tanzania has threatened to instruct
their drivers to start dumping goods
destined for Kenya at the Namanga
border.
The regime in Dar es Salaam says if
their drivers will not be allowed entry to Kenya following the covid-19 testing
at the Namanga border, they will bag
the goods at the border point and head
back." Haya basi joto la jiwe, boda sasa imefungwa rasmi, sijui utawaambia wanakwaya nini.
kipi bora ufe kwa njaa au uumie kiuchumiHizi ni akili fupi sana.
Suala la kupeleka chakula Kenya ni suala la kibiashara (Nipe chakula nikupe pesa), sio suala la msaada.
Ukiona mkulima wa Tanzania anauza mazao yake Kenya na kuacha kuuza hapa hapa Tanzania basi ujue bei ya kuuzia Kenya ni kubwa na yenye faida kwa mkulima.
Hivyo katikati ya mivutano ya namna hii, huenda watanzania tukaumia zaidi kiuchumi kuliko hata Kenya.
Wakulima wetu hawategemei soko la Kenya pekee, tunatrade na sadc zaidi ya eac. Ug wanafanya zaidi na nyinyi sababu Kenya ndio jirani yake pekee mwenye soko kubwa la uhakika.Uganda ndio wanauza bidhaa nyingi nchini Kenya hapa AM zaidi ya Tz, sanasana mazao ya wakulima. 70% ya mahindi ambayo Kenya inaagiza kutoka nje yanatoka Uganda. Mtawatesa wakulima wenu bure kwa kupenda sifa za kijinga, hamna leverage yeyote dhidi ya Kenya. Uganda Becomes Kenya's Biggest Partner Within EAC
Hahahaha, why "accept cargo vehicles?", kama kweli uchumi wa Kenya hautegemei Tanzania, fungeni huo mpaka msiruhusu hata Cargo vehicles kutoka Tanzania. Point ni kwamba Kenya haiwezi kusurvive bila bidhaa za Chakula na malighafi toka Tanzania.Teargass alafu uzi wenyewe huu ulikuwa wa kinafik tu. Mleta mada alijaribu kuwahadaa wasioelewa kiingereza kwamba wana mpango wa kuzuia bidhaa. Wakati huyo DC wao wa Longido alikuwa anatishia kwamba watakuwa wana'dump', yaani wanaacha, mizigo yao Namanga(upande wa Tz). [emoji1] "Tanzania has threatened to instruct
their drivers to start dumping goods
destined for Kenya at the Namanga
border.
The regime in Dar es Salaam says if
their drivers will not be allowed entry to Kenya following the covid-19 testing
at the Namanga border, they will bag
the goods at the border point and head
back." Haya basi joto la jiwe, boda sasa imefungwa rasmi, sijui utawaambia wanakwaya nini.