joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
- #161
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo vipimo hivyo ni gharama ndungu, na ndo maana hatupimi mtu hadi aoneshe dalili, sasa tutawezaje kuwapima madereva raia wa nchi nyingine wakati tumeshindwa kuwapima watanzania?!Mkuu
Vijana wengi wa lumumba humu ni wapumbavu. Yani wanafurahia Tz kuzuia magari ya hayo kwenda kenya Kisa kenya wanawapima korona.
Badala waishawishi serikali ya Tanzania nayo isiruhusu magari ya kenya kuingia nchini Bila Kupimwa corona
2015 tulikosea Sana.. Tena Sana..
Solution ni simple. Wenzetu wameamua kuwapima madereva wetu na sisi ni lazima tuwapime wa kwao.. Very simple logic
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Charcoal, sugar.
Somalia hakuna Sukari, sukari yao yote inatoka nje ya nchi.Charcoal, sugar.
Mwaka unaisha sasa unga wenu tumeususia, km hamtaki kuuza mahindi unga jiuzieni wenywe[emoji23][emoji23][emoji23]Mlikuwa mnatulaumu eti,si ndo kuliakulia huko, pigeni kazi wacheni uvivu ardhi kubwa sana mnayo.
You don't know anything about Somalia. They even export fish to Kenya.
Hahahaa!!yani eti nchi yakytutishia kufunga mipaka ni tanzania[emoji23][emoji23][emoji23]Today we have sent back 78 positive drivers back to Tanzania. We can't tolerate nonsense.
I can remember telling joto la jiwe the same thing. Kenya is not a country to be given directions by inferior countries like Tanzania.Mwaka unaisha sasa unga wenu tumeususia, km hamtaki kuuza mahindi unga jiuzieni wenywe[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaa!!sasa na nyinyi ambao hamategemei Kenya fungeni mipaka kabisa tuone[emoji23][emoji23]Bottas, Ufungaji gani huo unaoruhusu chakula?, ninyi njaa njaa sana, hamuwezi kuishi bila chakula cha Tanzania, kama kweli ninyi ni wanaume katazeni na "Cargo vehicles" tuone kama mtaweza.
Sent using Jamii Forums mobile app
And you're starving daily. Halafu sisi soko letu ni huko chini SADC..huko juu EAC ni maghumashi, kwanza hamna hata hela.Mwaka unaisha sasa unga wenu tumeususia, km hamtaki kuuza mahindi unga jiuzieni wenywe[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa, walifikiria eti tupo desperate sana waliposhtukizia jamaa mwaka unaisha na wala hatujajisumbua ku rudi hko.I can remember telling joto la jiwe the same thing. Kenya is not a country to be given directions by inferior countries like Tanzania.
Sio wote ni watz...halafu nyie ndo mmekuwa chief supplier wa #covid19 Uganda.Today we have sent back 78 positive drivers back to Tanzania. We can't tolerate nonsense.
Hatujanunua mahindi mwezi wa sita huu na bado watu wanadunda..mnafikiria nynyi pekeyenu ndio mnajua kulima dunia nzimaSi mlibaniwaga kuuziwa mahindi mkalialia mkasema mtafuata Mexico.
Nilimwambia Uganda is just an eye throw away. Even Mexico is there for us na cheap maize.Kabisa, walifikiria eti tupo desperate sana waliposhtukizia jamaa mwaka unaisha na wala hatujajisumbua ku rudi hko
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si mngefungia na mizigo😅😅...kama US walivyofungia bidhaa za China.I can remember telling joto la jiwe the same thing. Kenya is not a country to be given directions by inferior countries like Tanzania.
Unaezalia ukipenda. Tanzanian nationals were 76 and 2 Somalis. Juzi walikuwa 8 and the other day 23 Tanzanians were found with corona. Those numbers you can add to your national tally.Sio wote ni watz...halafu nyie ndo mmekuwa chief supplier wa #covid19 Uganda.
Umepata habari za madereva wenu leo wametimuliwa, hatuyumbishwi na kauli za wana lumumba.kauli yako hii ikisomwa na mumeo,unapewa talaka,hujui anaumia kiasi gani.
Uhuru sio mjinga kama yule Kinjeketile Ngwale. More Kenyan goods are crossing going to Tanzania as compared to the other way round. We are selling more goods to you as compared to what you are selling to us.Sasa si mngefungia na mizigo😅😅...kama US walivyofungia bidhaa za China.
Vipimo vyenu hatuviamini kwanza vilitofautiana na Uganda, halafu muache kwenda uganda mnaongeza maambukizi.Unaezalia ukipenda. Tanzanian nationals were 76 and 2 Somalis. Juzi walikuwa 8 and the other day 23 Tanzanians were found with corona. Those numbers you can add to your national tally.