Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

I was talking about sugar not fish, what type of discussant are you?, why can't you finish one thing before you move to another point?.

Are you proud to tell people that Somali is exporting fishes to you despite the fact that Kenya has both Indian Ocean and big lakes like Victoria, Turkana and others?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya's demand for fish is higher than all East African countries combined. That's why we even import some from China. What can you say about Sugar you are importing from Uganda?
 
Tomorrow expect to see another 50+ Tanzanians drivers being denied entry into Kenyan soil. We don't give a fu-ck what the southern witch has to say about Kenya.
Nakupa wiki 1 tu, utashangaa utaratibu ni dereva asubmit vyeti vyenye vipimo negative na si kupimwa hapo.

U got no guts kutukazia kiasi hicho, wewe mwenyewe unajua.
 
Tatizo vipimo hivyo ni gharama ndungu, na ndo maana hatupimi mtu hadi aoneshe dalili, sasa tutawezaje kuwapima madereva raia wa nchi nyingine wakati tumeshindwa kuwapima watanzania?!
Mkuu,
Mh rais alisema we are donor country

Pili nchi hii ambayo inarasilimali zote ishindwe kununua mashine na kununua moja tu?
Tatu hiyo nilioni ngapi Cjui tuliyochangisha imeenda Wapi?

Nne kama hatuna uwezo kwann hatushirikiani na nchi nyingine ili uweze kupata Msaada?

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna ushindani wa kukomoana na wa wazi baina ya nchi na nchi ulio mwepesi. Hata kwa anayeibuka mshindi huwa kuna matokeo baada ya kumkomoa mwenzio, na matokeo ni lazima yakuumize sehemu flani.
kuna wakati maamuzi magumu ni ya msingi zaidi kuliko kingine, ili kulinda maslahi mapana ya taifa.

Bahati nzuri hatujaamua chochote katika hili, unajua kwanini?

Tutalaumiwa kwamba tumejibu vibaya sana, hii ni sawa na unapoamua kumuuma pia mbu aliyekuuma, hutaeleweka.
 
Haina haja ya kuwapima, mnawaweka karantini kwa gharama zao pale mpakani siku 14. Anaeonyesha dalili mnamrudisha kwao.
Mkuu Sawa unawaweka karantini lkn kuna ambao hawaonyeshi dalili kabisa... Yaani wanakorona lkn hawaonyeshi dalili

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Inashangaza sana Mkuu. Nchi chungu nzima duniani zimefunga mipaka yao ili kuwalinda raia wao kwa COVID tena Nchi nyingi ni kwa mara ya kwanza katika karne zaidi ya tatu hata zaidi, lakini Kenyatta kufunga mipaka ya Nchi yake kufuatia kuona Watanzania baadhi wana maambukizi ya COVID imekuwa NONGWA!!!
Baadhi ya Watanzania hawafikirii outside the BOX.

Watanzania wanashabikia mambo ya kijinga sana. Wanadhani hatua za mapambano ya Corona kule Kenya zimelenga watanzania na Tanzania, wanasahau kabisa hata huko Kenya kuna miji imefungwa kabisa, raia wa Kenya huwezi kuingia wala kutoka, na kuna wakenya wengi hilo linawaumiza.

Sasa itakuwaje kwa mgeni unayetoka kwenye nchi yenye maambukizi ya holela kama Tz uingie tu Kenya bila kuwekewa vikwazo?
 
nakupa wiki 1 tu,utashangaa utaratibu ni dereva asubmit vyeti vyenye vipimo negative na si kupimwa hapo.

u got no guts kutukazia matako kiasi hicho,wewe mwenyewe unajua.
Mnyonge anajipiga kifua mbele ya wanaume😂😂😂.
 
Not true, Tanzanians agricultural products have huge markets in Southern African countries and DRC, we can't even satisfy their demands, we don't need Kenyan market, that's why Government of Kenya sent their officials humbly on their knees to request for maize.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inakuaje sasa wakulima wa Tanzania ni masikini wa kutopea? Inafikia hatua wanajivika kwa nguo za kampeni za ccm.

Endelea kuota ila ukikiona choo ndotoni usikitumie.
 
Mkuu Sawa unawaweka karantini lkn kuna ambao hawaonyeshi dalili kabisa... Yaani wanakorona lkn hawaonyeshi dalili

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app

Unachanganya taaluma na siasa.
Mimi nipo kisiasa zaidi, kama wao wanawapaki watu wetu siku 3 border, sisi tunawapaki siku 14, tukisingizia kufuata muongozo wa WHO kikamilifu. ila lengo ni kukomoa tu.

Kimsingi sote tulitakiwa tuhamishe sehemu ya maabara zetu mipakani, ndani ya masaa 8 iwe tayari majibu, watu wanavuka na kuendelea na shughuli zao
 
Inakuaje sasa wakulima wa Tanzania ni masikini wa kutopea? Inafikia hatua wanajivika kwa nguo za kampeni za ccm.

Endelea kuota ila ukikiona choo ndotoni usikitumie.
Mbona hata wewe ni masikini tu, nawewe ni mkulima?
 
Kenya's demand for fish is higher than all East African countries combined. That's why we even import some from China. What can you say about Sugar you are importing from Uganda?
Because we don't produce enough sugar, we are working on that. It is very interesting to note that, Kenya has higher demand for fish than China that's why you import fish from China, Kenya has higher demand for Maize, that's why you import from Tanzania and Uganda, Kenya has higher demand for Rice, onion, Fruits, and Cotton that's why you import them from Tanzania, Nairobi has higher demand for water, that's why there is no enough water in Nairobi. Hahahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya's demand for fish is higher than all East African countries combined. That's why we even import some from China. What can you say about Sugar you are importing from Uganda?
so kuvua hamuwezi,na ziwa na bahari mnavyo[emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe uwe unafikiri kabla ya kujibu bana.
 
Mambo yangu na swaumu niachie mwenyewe, hapa tujadili mada.

Elewa Concept yangu katika kilimo na biashara. Wakulima wa Tz wako kufanya biashara na wakenya, sio kutoa msaada. Kama mkulima wa Tanzania anaweza kuuza mazao yake mpaka Kenya, maana yake Kenya kuna soko lenye faida kubwa kwake otherwise mkulima wa Tanzania asingepoteza muda wake kumuuzia Mkenya.

Fahamu hili, Mkulima huwa hakuangalii wewe ni nani, uraia wako hauna maana yoyote mbele ya mkulima, yeye anaangalia mfukoni una nini, ukiwa na pesa za kumpa faida mkulima yuko tayari kukuuzia hata mazao yakiwa shambani hayajakomaa.
 
Zambia walijaribu kutikisa kiberiti kikawalipukia

Wamefungua mpaka haraka bila masharti, kunyans should take homework
Kenya is not on the same league with Zambia and Tanzania. We can survive without those Yellow beens and onions. Naton Jr ⚽⚽

Mimi binafsi nakerwa Sana jinsi madereva wa magari ya mizigo wanavyoteseka nilitamani waanzishe hata mgomo japo wa wiki ili waheshimike au serikali ifunge boda ya namanga kwanza kwa Sasa mahitaji ya bidhaa Tanzania mengi hivyo vitu tutanunua wenyewe, kama Sasa hivi vitunguu vinepanda Sana Sasa haina haja ya kutafuta soko la nje wakati ndani vitu bado vinahitajika

🙂🙂Are you sure that Tanzania feeds Kenya with onions??
Nilikuwa nafikiri tunalishwa kwa vitu kama mahindi hivi
Mbolabilika

Wakenya bila food mtawezana?

Sent using Jamii Forums mobile app
mwenye shamba vitunguu vitunguu ni food? Kama ni maize it could be something else..but onions we can survive without them.😂
 
Back
Top Bottom