Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

Pia Tanzania ina 945,087 km² na kenya ina 580.367k km² kama nusu yetu ya ardhi ni mashamba na ndo tunamzalishia yeye na rai wake waweze kula pamoja na sisi.hi tofauti ni kubwa sana hana namna lazima afungue tu mapema iwezekanavo.japokuwa anaweza akaagiza chakula kwa ndege kama tulivockia kaagiza mahindi mexico sasa cjui ilikuwa kweli au porojo tuhttps://www.google.com/search?clien...hUKEwiHyr_SvLjpAhUSYcAKHS-eDSMQxA0wBHoECA8QBg
 
Bottas, Ufungaji gani huo unaoruhusu chakula?, ninyi njaa njaa sana, hamuwezi kuishi bila chakula cha Tanzania, kama kweli ninyi ni wanaume katazeni na "Cargo vehicles" tuone kama mtaweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, why "accept cargo vehicles?", kama kweli uchumi wa Kenya hautegemei Tanzania, fungeni huo mpaka msiruhusu hata Cargo vehicles kutoka Tanzania. Point ni kwamba Kenya haiwezi kusurvive bila bidhaa za Chakula na malighafi toka Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hawezi funga cargos kwa sababu ya magari yanayokwenda Rwanda na Uganda si magari yote ya mizigo yanaishia Kenya mengi yanaenda Uganda na Rwanda pia.
 
Kenya inefunga mpaka wake na korona, habari ndio hiyo!
 
Nadhani hawezi funga cargos kwa sababu ya magari yanayokwenda Rwanda na Uganda si magari yote ya mizigo yanaishia Kenya mengi yanaenda Uganda na Rwanda pia.
Hakuna Gari linalokwenda Rwanda na Uganda toka Tanzania yanayopita katika mpaka wa Kenya na Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teargass alafu uzi wenyewe huu ulikuwa wa kinafik tu. Mleta mada alijaribu kuwahadaa wasioelewa kiingereza kwamba wana mpango wa kuzuia bidhaa. Wakati huyo DC wao wa Longido alikuwa anatishia kwamba watakuwa wana'dump', yaani wanaacha, mizigo yao Namanga(upande wa Tz). [emoji1] "Tanzania has threatened to instruct
their drivers to start dumping goods destined for Kenya at the Namanga border. The regime in Dar es Salaam says if
their drivers will not be allowed entry to Kenya following the covid-19 testing at the Namanga border, they will bag
the goods at the border point and head back."
Haya basi joto la jiwe, Boda sasa imefungwa rasmi, sijui utawaambia wanakwaya nini.
What do you expect from that guy who can't do simple conversion maths.
 
Hahahaha, why "accept cargo vehicles?", kama kweli uchumi wa Kenya hautegemei Tanzania, fungeni huo mpaka msiruhusu hata Cargo vehicles kutoka Tanzania. Point ni kwamba Kenya haiwezi kusurvive bila bidhaa za Chakula na malighafi toka Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
We allow cargo vehicles with conditions. Only negative drivers will pass while positive ones tutarudisha Tanzania. Remember today we turned 78 drivers. You wanted the game, Kenya will play it very well.
 
joto la jiwe,

We hayawani umeona Kenya kashagunga mipaka na Tanzania sasa tuone mjanja. Wewe unawaza chakula unafikiri Tanzania tuu ndio inasupply chakula Dunia nzima . Wewe pimbi kweli. Na imewarudisha madereva 75 wa Tanzania wenye korona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We hayawani umeona Kenya kashagunga mipaka na Tanzania sasa tuone mjanja. Wewe unawaza chakula unafikiri Tanzania tuu ndio inasupply chakula Dunia nzima . Wewe pimbi kweli. Na imewarudisha madereva 75 wa Tanzania wenye korona

Sent using Jamii Forums mobile app
Pimbi wewe, sina sababu za kukujibu, poyoyo mkubwa wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pimbi wewe, sina sababu za kukujibu, poyoyo mkubwa wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Tanzania has become a laughing stock. Anadharuliwa na kila mtu😂😂😂

Capture 1.PNG
 
Mimi binafsi nakerwa Sana jinsi madereva wa magari ya mizigo wanavyoteseka nilitamani waanzishe hata mgomo japo wa wiki ili waheshimike au serikali ifunge boda ya namanga kwanza kwa Sasa mahitaji ya bidhaa Tanzania mengi hivyo vitu tutanunua wenyewe, kama Sasa hivi vitunguu vinepanda Sana Sasa haina haja ya kutafuta soko la nje wakati ndani vitu bado vinahitajika

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii comment yako imeonesha jinsi ulivyo na roho mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeambiwa ulete takwimu acha kubisha
Sijakataa kuhusu Uganda na Kenya kuwa na "volume of trade kubwa", sababu za kuwa Uganda na Kenya mnafanya biashara kubwa ni kwasababu hamna nchi zingine mnazofanya nazo biashara.

Tanzania hatutegemei sana soko la East Africa sana, zaidi tunategemea SADC ndio sababu volume of trade ni ndogo East Africa.

Ninachokataa ni kusema 70% ya mahindi inatoka Uganda. Kwa mwaka 2018 Kenya haijanunua mahindi toka Uganda kwa sababu hata Uganda ilikua na upungufu wa chakula. Sasa hivi Tanzania ndio inaongoza kwa uzalishaji chakula katika ukanda huu, sio Uganda.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom