Corona: Ugonjwa unaoua, uliogeuzwa fursa ya kisiasa Tanzania

Corona: Ugonjwa unaoua, uliogeuzwa fursa ya kisiasa Tanzania

ASHAKUM SI MATUSI.

Umeandika kwa hisia sana ila bado umeandika ujinga, na unatumia hisia zako ili ueleweke katika upuuzi wako.

NB: mimi naamini hao mabeberu wangekua wana nia ya kutusaidia wangeleta hiyo chanjo bure, maana here we are talking about the survival of the human race!, hiyo chanjo nyi mnaisikia tu lakini ni very expensive! refere SOUTH AFRICA,.

Pia kisa tulipokea chanjo zingine haimaanishi ndo tupokee zote, nadhani katika huu ugonjwa(corona) umekaa kisiasa na maslahi sana ndo maana hata raisi amechukua maamuzi magumu katika matamko aliyoyatoa(sio kazi rahisi kua raisi) .

MUAMAR GADDAFI AMEWAHI KUYATABIRI HAYA YOTE, kipindi cha uhai wake! kua yatakuja magonjwa ya virusi na tutauziwa chanjo zaidi na zaidi!

USISAHAU KUNAWA MIKONO KWA MAJI TIRIRIKA, KUVAA BARAKOA NA KUJITAKASA MIKONO YAKO KWA SANITAIZA, pia fanya mazoezi na kula matunda kuboresha kinga ya mwili, Huku ukiendelea kuchapa kazi kukuza kipato chako kwa ajili ya wanao na taifa kiujumla!

kumbuka:- Afya yako ni jukumu lako namba moja, usiibebeshe serikali kwa asilimia kubwa!.


Sent using Jamii Forums mobile app

Bure? Taifa tajiri tupewe Dawa bure?
 
Bure? Taifa tajiri tupewe Dawa bure?

Hizo ndizo akili bora kabisa za mataga. Dawa tupewe bure. Sisi tununue madege, tujenge chattle, ma SGR, ma Stiggler's Gorge nk.

Hayo ndiyo yaliyo ya muhimu zaidi kuliko maisha ya watu.
 
Mabibi na mabwana tumwogope mola aliyetuumba sisi na wote wanaoitwa binadamu. Misahafu ya kikristo inatambua:

"Kumpenda jirani yako kama nafsi yako."

kuwa ndiyo amri iliyo kuu.

Hivi tutajibu nini Akhera sisi kwa udhalimu tunaowatendea wengine?

Leo tumefikia mahali pa kutumia nguvu kuhalalisha vifo vya wengine hata kama vinatokana na ugonjwa huu. Kutumia ulaghai kuhakikisha kujivua uwajibikaji wowote kwa wahanga hata kama majukumu yetu ya kwanza kabisa yalikuwa ni kuwahami wengine na dharura kama hizi.

Leo hii pana makada wa vyama fulani wanataka kutuaminisha kuwa eti wao ndiyo walio waumini wazuri zaidi kuliko hata viongozi wa madhehebu waliko wao kiimani.

Itamwingia vipi akilini mtu awaye yote ya kuwa yupo mtu angependa kutuaminisha ya kuwa yeye ni mkatoloki zaidi ya mapadre, maparoko, maaskofu na kuliko hata Papa huko Roman kwenyewe?

Jamani tuna mafikira ya kuwa watanzania watakuwa ni majuha kiasi hicho kweli?

Leo hii kuna makada wanataka kujifanya ni wa maana mno kuliko hata kina Bill Gates. Wakijishasha na vi propaganda uchwara visivyo na mashiko kuwa wao ni bora zaidi. Kwa lipi hilo jema ambalo majuha hawa waliloifanyia jamii ipi?

Ni vizuri makada uchwara hawa wakajua kina Bill Gates wameifanyia mema sana dunia hii na katu hata 0.1% yake wao hawataweza.

Jitihada za kina Gates kuisukuma mbele dunia hii kiteknologia yahitaji zezeta kutokuzifahamu.

Jitihada za kina Gates kupigana na maradhi ambayo hata kwao yalikuwa wala si issue; duniani kote, hazina kipimo.

Hivi makada hawa ambao hata kodi tu hapa nyumbani wengi wao hawalipi au zilizostahiki hawalipi, wanadhani nani aliyeelimika hata kidogo tu anaweza kuununua ulaghai uchwara wao huu?

Label za Chanjo za corona zilizoelekezwa Africa kwa kutambua ufadhili uliomo ili kutuwezesha na kina sisi kutufikia, eti imekuwa nayo ni agenda yao nyingine ya upotoshaji.

Hivi mbona umeme wa REA ni mahsusi vijijini kwa gharama za kuunganishwa na hata tarrifs?

Makada hawa wanataka leo kutuamimisha kuwa Hakuna usawa kwenye chanjo hii. Vinginevyo eti basi sisi tupewe zenye label ya Ulaya na Marekani na zile zenye ya Africa iende huko! 😂😂😂😂!

Ikumbukwe makada hawa na kina sisi tukiwamo wala hatuna mchango wowote katika utengezwaji na hata upatikanaji wa chanjo hiyo. Si kwa utaalamu wala kwa mchango wowote. Yaani ni mitoto mikaidi tu.

Yaani ni sawa na wale wajuaji wa vijijini kuukataa umeme wa REA kigharama na ki-tariff. Watake ule wa mjini na huu wa REA uende huko mijini. Ebooo! Hii ni akili au ni yale mananihii?

Haya si ndiyo maajabu ya Mussa mwenyewe basi?

Leo mataga wanadai mh. Rais kaeleweka, kuwa corona ipo ila tuchukue tahadhari. Jambo la kheri kabisa. Tuvae barakoa, tunawe na maji tiririka tuepuke misongamano. Wazee wabakie ndani:


Kwamba ghafla Magufuli si m-bia wa afya zetu! Tumwogopeni mola enyi kina mzee mwanakijiji. Kuweni japo hata na aibu kidogo hata kama utu nao hamna.

Wana thubutu kusema ukitemgemea Magufuli kuhusu huu ugonjwa, wafa na itakuwa imekula kwako na wapendwa wako.

Cha kujiuliza huyu Magufuli hana wajibu wowote kwenye hili?

Hao wanaoepuka misongamano, uchumi wao unakuwa je ukizingatia kodi zinaongezwa viwango na hata kwa wigo kila uchao?

Vipi kuhusu miradi ya serikali? Hiyo iko pale pale? Inaendelea tu?

Hivi, kweli tunauguliwa katika familia. Utekelezaji wa miradi ya maendeleo ikiwamo kama ujenzi wa nyumba mpya unaendelea tu? Aaaah Wapi!

Au hata je, serikali inaitambua dharura hii na athari zake kwetu?

Haya yakiendelea, pia wakijifanya kuwa ni wasemaji wakuu wa kuihusu hii chanjo, hali wao labda kwa kujua au kutojua si sehemu ya wanaoihitaji chanjo hii kwa sasa:


Ninawasilisha.
nadhani hii inawahusu CHADEMA ndio wanatumia Corona kujikuza kisiasa na hili halina ubishi lakini Mungu atawaadhibu tu hamna namna.
 
nadhani hii inawahusu CHADEMA ndio wanatumia Corona kujikuza kisiasa na hili halina ubishi lakini Mungu atawaadhibu tu hamna namna.

Kabisa mkuu. Na huu ndiyo ulio ukweli mchungu:

CHADEMA ndiyo wameonyesha bila aibu kuwa maaskofu na mapadre katoliki ni wapiga dili tu isipokuwa wao.

CHADEMA ndiyo walioonyesha kuwa kufa ni kufa tu hata kama ni kwa Corona nayo ni halali tu. Ya kwamba halipo jipya hapo.

CHADEMA ndiyo wanaoshinikiza kodi ili wahanga hawa wa Corona wajazane kwenye masoko, ma ferry, magulio nk kutafuta kodi ya kaisari iliyo boreshwa ambayo kaisari mwenyewe halipo hata ndururu.

CHADEMA ndiyo wanaopambana kuonyesha serikali na hata jiwe hawana wajibu wowote kwa wahanga wa janga hawa. Kuwa kama ni kufa wahanga na wafe tu.

CHADEMA ndiyo walio poka kilio cha chanjo kwa ajili ya wale walio hatarini na kueneza upotoshaji usiokuwa na mbele wala nyuma.

CHADEMA hao hao ndiyo wanaoendelea na wanayoita utenzi wa miradi ya maendeleo huku watu wakifa.

Kwa hakika CHADEMA hawa hawatufai kabisa. Wanaturudisha sana nyuma!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Corona ilivyokaa tuu imeundwa ki fursa, ni chaguo tuu la kuwa mnufaika au victim,kuwanusuru wananchi wako au kuwatoa sadaka kwa maslai fulani,wewe tuu?
 
Hahaaahaa ha ha. Umesahau swali lako lilikuwa lipi?

Umekuja na mapya eeh? Taabu ni kuwa hamna hoja!

Actually ling'ombe ni wewe na mataga wenzio ambao hadi sasa tunao ushahidi huu:

1. Mmejitahidi kutuonyesha kuwa mu waumini zaidi kuliko viongozi wenu wa dini.
2. Mmejitahidi kutuonyesha kuwa mu bora sana kuliko wafadhili wa dunia hii ambao aghalabu ni wana credibility zao.
3. Mmejitahidi kugombelezea kuwa serikali haina wajibu wowote kwa raia kwenye gonjwa kama hili linalotukabili sasa.
4. Mmejitahidi kuonyesha chanjo ya ugonjwa huu haina nia njema kwetu. Mkipoka sauti za walio wahanga wa wazi wenye uhitaji mkubwa nayo.

Kama ming'ombe hamna hoja na majiribio yenu yote yamegonga mwamba.

Mapya ya January uliyokuja nayo rejea nayo Lumumba unaweza jipatia buku 7 huko.

Huu ndiyo ulio ukweli mchungu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Mkuu nenda kachanjwe hujakatazwa. Ila watanzania tulio wengi tupo pamoja na Rais Magufuli.
Tena mmeboreshewa na vipimo vya corona unaenda kinyumenyume af wanaingiza ka paip ka inch 2.
Natumaini utainjoy Sana.
 
Mabibi na mabwana tumwogope mola aliyetuumba sisi na wote wanaoitwa binadamu. Misahafu ya kikristo inatambua:

"Kumpenda jirani yako kama nafsi yako."

kuwa ndiyo amri iliyo kuu.

Hivi tutajibu nini Akhera sisi kwa udhalimu tunaowatendea wengine?

Leo tumefikia mahali pa kutumia nguvu kuhalalisha vifo vya wengine hata kama vinatokana na ugonjwa huu. Kutumia ulaghai kuhakikisha kujivua uwajibikaji wowote kwa wahanga hata kama majukumu yetu ya kwanza kabisa yalikuwa ni kuwahami wengine na dharura kama hizi.

Leo hii pana makada wa vyama fulani wanataka kutuaminisha kuwa eti wao ndiyo walio waumini wazuri zaidi kuliko hata viongozi wa madhehebu waliko wao kiimani.

Itamwingia vipi akilini mtu awaye yote ya kuwa yupo mtu angependa kutuaminisha ya kuwa yeye ni mkatoloki zaidi ya mapadre, maparoko, maaskofu na kuliko hata Papa huko Roman kwenyewe?

Jamani tuna mafikira ya kuwa watanzania watakuwa ni majuha kiasi hicho kweli?

Leo hii kuna makada wanataka kujifanya ni wa maana mno kuliko hata kina Bill Gates. Wakijishasha na vi propaganda uchwara visivyo na mashiko kuwa wao ni bora zaidi. Kwa lipi hilo jema ambalo majuha hawa waliloifanyia jamii ipi?

Ni vizuri makada uchwara hawa wakajua kina Bill Gates wameifanyia mema sana dunia hii na katu hata 0.1% yake wao hawataweza.

Jitihada za kina Gates kuisukuma mbele dunia hii kiteknologia yahitaji zezeta kutokuzifahamu.

Jitihada za kina Gates kupigana na maradhi ambayo hata kwao yalikuwa wala si issue; duniani kote, hazina kipimo.

Hivi makada hawa ambao hata kodi tu hapa nyumbani wengi wao hawalipi au zilizostahiki hawalipi, wanadhani nani aliyeelimika hata kidogo tu anaweza kuununua ulaghai uchwara wao huu?

Label za Chanjo za corona zilizoelekezwa Africa kwa kutambua ufadhili uliomo ili kutuwezesha na kina sisi kutufikia, eti imekuwa nayo ni agenda yao nyingine ya upotoshaji.

Hivi mbona umeme wa REA ni mahsusi vijijini kwa gharama za kuunganishwa na hata tarrifs?

Makada hawa wanataka leo kutuamimisha kuwa Hakuna usawa kwenye chanjo hii. Vinginevyo eti basi sisi tupewe zenye label ya Ulaya na Marekani na zile zenye ya Africa iende huko! 😂😂😂😂!

Ikumbukwe makada hawa na kina sisi tukiwamo wala hatuna mchango wowote katika utengezwaji na hata upatikanaji wa chanjo hiyo. Si kwa utaalamu wala kwa mchango wowote. Yaani ni mitoto mikaidi tu.

Yaani ni sawa na wale wajuaji wa vijijini kuukataa umeme wa REA kigharama na ki-tariff. Watake ule wa mjini na huu wa REA uende huko mijini. Ebooo! Hii ni akili au ni yale mananihii?

Haya si ndiyo maajabu ya Mussa mwenyewe basi?

Leo mataga wanadai mh. Rais kaeleweka, kuwa corona ipo ila tuchukue tahadhari. Jambo la kheri kabisa. Tuvae barakoa, tunawe na maji tiririka tuepuke misongamano. Wazee wabakie ndani:


Kwamba ghafla Magufuli si m-bia wa afya zetu! Tumwogopeni mola enyi kina mzee mwanakijiji. Kuweni japo hata na aibu kidogo hata kama utu nao hamna.

Wana thubutu kusema ukitemgemea Magufuli kuhusu huu ugonjwa, wafa na itakuwa imekula kwako na wapendwa wako.

Cha kujiuliza huyu Magufuli hana wajibu wowote kwenye hili?

Hao wanaoepuka misongamano, uchumi wao unakuwa je ukizingatia kodi zinaongezwa viwango na hata kwa wigo kila uchao?

Vipi kuhusu miradi ya serikali? Hiyo iko pale pale? Inaendelea tu?

Hivi, kweli tunauguliwa katika familia. Utekelezaji wa miradi ya maendeleo ikiwamo kama ujenzi wa nyumba mpya unaendelea tu? Aaaah Wapi!

Au hata je, serikali inaitambua dharura hii na athari zake kwetu?

Haya yakiendelea, pia wakijifanya kuwa ni wasemaji wakuu wa kuihusu hii chanjo, hali wao labda kwa kujua au kutojua si sehemu ya wanaoihitaji chanjo hii kwa sasa:


Ninawasilisha.
B5D1E61E-1D57-4D20-8004-3774CAAE5F43.jpeg

Kati ya South Africa na Libya ipi ipo juu kiuchumi? Kwanini SA imewekwa kwenye label ila Libya haipo?
 
[emoji47][emoji47][emoji47]
Mkuu nenda kachanjwe hujakatazwa. Ila watanzania tulio wengi tupo pamoja na Rais Magufuli.
Tena mmeboreshewa na vipimo vya corona unaenda kinyumenyume af wanaingiza ka paip ka inch 2.
Natumaini utainjoy Sana.
Screenshot_20210130-153528.jpg
 
Umesema kitu cha ukweli.
Huu mradi wa chanjo ya Bill Gattes ni mpango wa Freemason wakutaka kupunguza watu barani Africa.
ASHAKUM SI MATUSI.

Umeandika kwa hisia sana ila bado umeandika ujinga, na unatumia hisia zako ili ueleweke katika upuuzi wako.

NB: mimi naamini hao mabeberu wangekua wana nia ya kutusaidia wangeleta hiyo chanjo bure, maana here we are talking about the survival of the human race!, hiyo chanjo nyi mnaisikia tu lakini ni very expensive! refere SOUTH AFRICA,.

Pia kisa tulipokea chanjo zingine haimaanishi ndo tupokee zote, nadhani katika huu ugonjwa(corona) umekaa kisiasa na maslahi sana ndo maana hata raisi amechukua maamuzi magumu katika matamko aliyoyatoa(sio kazi rahisi kua raisi) .

MUAMAR GADDAFI AMEWAHI KUYATABIRI HAYA YOTE, kipindi cha uhai wake! kua yatakuja magonjwa ya virusi na tutauziwa chanjo zaidi na zaidi!

USISAHAU KUNAWA MIKONO KWA MAJI TIRIRIKA, KUVAA BARAKOA NA KUJITAKASA MIKONO YAKO KWA SANITAIZA, pia fanya mazoezi na kula matunda kuboresha kinga ya mwili, Huku ukiendelea kuchapa kazi kukuza kipato chako kwa ajili ya wanao na taifa kiujumla!

kumbuka:- Afya yako ni jukumu lako namba moja, usiibebeshe serikali kwa asilimia kubwa!.
 
We we ambae haujanywa kimpumu rekebisha alipokosea,
Vinginevyo tutakuona ulipokuwa unaandika labda na wewe wanzuki ilikuwa kichwani,
Tujenge mazoea ya kuelimishana siyo kutukanana,tatizo tunaishi kwa kufuata na kuamini propaganda hadi tumepoteza utu wetu km watanzania
Mkuu wakati una andika ulikuwa umekunywa kimpumu? nimejaribu kusoma lakini nashindwa kuelewa ulichoandika,umenikumbusha miaka ya nyuma nikisoma sekondari ,wengine walikuwa wanaandika insha ndefu na wanapata maksi 10 kwa mia na wengine wanaandika kidogo wanapata maksi kuanzia 90%.
 
Mkuu nenda kachanjwe hujakatazwa. Ila watanzania tulio wengi tupo pamoja na Rais Magufuli.
Tena mmeboreshewa na vipimo vya corona unaenda kinyumenyume af wanaingiza ka paip ka inch 2.
Natumaini utainjoy Sana.

Mawazo duni kabisa kama kawaida tokea kwa ile misukule ya kile chama.

Kwani tezi dume linapimwa je? Kwani waliopimwa tezi dume wakagundulika nalo hata wakatibiwa na leo wana dunda mmewazidi nini?😂😂😂😂😂

Ujinga kweli mzigo.

Kwani mnajua hii chanjo inawahusu hata nani kweli? Kwanini mnapoka mada hii ya chanjo kama nyie haiwahusu kwa kujua au hata kutokujua kwenu? Kweli mmepata fursa ya siasa:


Au nyie ni lile kabila la kanda maalum ambalo wazee ni wa kuwindwa kuliko mbu?
 
View attachment 1689921
Kati ya South Africa na Libya ipi ipo juu kiuchumi? Kwanini SA imewekwa kwenye label ila Libya haipo?

Wewe nani aliyekwambia kuwa ni kiwango cha uchumi pekee tu ndiyo kilichotumika kwenye hiyo allocation?

Au ulikuwapo kwenye hiyo grouping na sasa ndiyo unashangaa kwa nini fulani kaonewa na sasa kwa nini hayumo?

Hoja yako hasa ni nini?

Unajua takwimu za huu ugonjwa Libya na South Africa zinafanana au kutofautiana vipi?

Unajua hali zote zilizokuwa considered kufikia uamuzi huo?

Au ni kuota OTA tu ndoto za mchana kuhalalisha zile fursa zetu pendwa za kisiasa?

Ukweli mchungu huna hoja jombi.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Wewe nani aliyekwambia kuwa ni kiwango cha uchumi pekee tu ndiyo kilichotumika kwenye hiyo allocation?

Au ulikuwapo kwenye hiyo grouping na sasa ndiyo unashangaa kwa nini fulani kaonewa na sasa kwa nini hayumo?

Hoja yako hasa ni nini?

Unajua takwimu za huu ugonjwa Libya na South Africa zinafanana au kutofautiana vipi?

Unajua hali zote zilizokuwa considered kufikia uamuzi huo?

Au ni kuota OTA tu ndoto za mchana kuhalalisha zile fursa zetu pendwa za kisiasa?

Ukweli mchungu huna hoja jombi.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Wewe si ndio umesema kwamba label hiyo imetumika vibaya bila sisi kujua kwamba hizo ni nchi ambazo zimepewa misaada maalum, sasa misaada huwa inatolewa kwa vigezo vipi, universally, vya kiuchumi au skin color?
 
Wewe si ndio umesema kwamba label hiyo imetumika vibaya bila sisi kujua kwamba hizo ni nchi ambazo zimepewa misaada maalum, sasa misaada huwa inatolewa kwa vigezo vipi, universally, vya kiuchumi au skin color?

Kumbe huna lolote jombi. Makelele tu. Nilichoandika ni timamu hiki hapa:

IMG_20210130_204646_281.jpg


Kuijua position yako: "kwenye hisani yao hawa mabwana ambayo kimsingi hufuzu hata kuwa na madai yoyote, ukweli mchungu ni huu hapa:"

IMG_20210130_204347_562.jpg


Miye si mlibiya na sina interest yoyote na huko Libya.

Kama una interest waulize mwenyewe.

Wamekutuma kuwagombelezea?

Au ni zile zile fursa zetu za siasa?

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kumbe huna lolote jombi. Makelele tu. Nilichoandika ni timamu hiki hapa:

View attachment 1690161

Kuijua position yako: "kwenye hisani yao hawa mabwana ambayo kimsingi hufuzu hata kuwa na madai yoyote, ukweli mchungu ni huu hapa:"

View attachment 1690165

Miye si mlibiya na sina interest yoyote na huko Libya.

Kama una interest waulize mwenyewe.

Wamekutuma kuwagombelezea?

Au ni zile zile fursa zetu za siasa?

Au nasema uongo ndugu zangu?
Ufadhili na msaada una tofauti gani? Kusema imegeuzwa kuwa agenda ya upotoshaji ina tofauti gani na kusema inatumika vibaya? Sasa huo ufadhili unaozungumzia kama unatolewa kwa kigezo cha sisi kuwa hatujawahi kugundua chanjo yetu, niambie Libya, Tunisia nk. ambao hawapo kwenye hiyo List, wamegundua chanjo gani ya Corona au otherwise?
 
Ufadhili na msaada una tofauti gani? Kusema imegeuzwa kuwa agenda ya upotoshaji ina tofauti gani na kusema inatumika vibaya? Sasa huo ufadhili unaozungumzia kama unatolewa kwa kigezo cha sisi kuwa hatujawahi kugundua chanjo yetu, niambie Libya, Tunisia nk. ambao hawapo kwenye hiyo List, wamegundua chanjo gani ya Corona au otherwise?

Mbona umechanganya changanya mambo? Kiswahili ni lugha. Maneno yake yanataka mpangilio timamu kuweka wazi hoja au mantiki inayoongelewa.

Bandiko langu liko wazi:

1. Aliyefanya agenda ya upotoshaji ni nani na vipi nimeeleza kwenye mada. Kwa mujibu kwa maneno yako, unajaribu kutumia maneno na hoja yangu kuhusu "agenda ya upotoshaji" kuniuliza mimi kwa nini mtengeneza dawa anafanya agenda ya upotoshaji?

Umechanganya mataga na mtengeneza chanjo. Unachoniuliza kuwa nimetamka sija kitamka hivyo swali lako ni irrelevant. Mtoshaji ni mataga si mtengeneza dawa. Mada uko wazi.

2. Ufadhili na msaada ni maneno ya Kiswahili yenye maana tofauti zilizo wazi. Kujua kufanana au tofauti zake sina hakika inahusiana vipi na hoja zangu ambazo ziko wazi. Kukusaidia tu kama huyaelewi pata kamusi, zipo nyingi tu kwa hisani ya bakita.

3. Wapi nilipoongelea vigezo vyote vilivyo tumika kwenye allocation ya chanjo zaidi ya kukumbusha kuwa mwenye chake ana reserve right of allocation. Si utengeneze chako uwe na haki hiyo?

Unataka ku claim supremacy kwenye mali za wenzio? Claim supremacy kwenye nyungu na hakuna mwuungwana atakaye kulaumu.

Acheni upotoshaji na kujifanya kujikita kwenye kutafuta kwa tochi vihoja vyepesi vyepesi vya upotoshaji visivyo kuwa na mashiko.

Wewe ni mlibiya au mtunisia? Pilipili hizo zinakuwasha je?

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Umechanganya mataga na mtengeneza chanjo. Unachoniuliza kuwa nimetamka sija kitamka hivyo swali lako ni irrelevant. Mtoshaji ni mataga si mtengeneza dawa. Mada uko wazi.

2. Ufadhili na msaada ni maneno ya Kiswahili yenye maana tofauti zilizo wazi. Kujua kufanana au tofauti zake sina hakika inahusiana vipi na hoja zangu ambazo ziko wazi. Kukusaidia tu kama huyaelewi pata kamusi, zipo nyingi tu kwa hisani ya bakita.

3. Wapi nilipoongelea vigezo vyote vilivyo tumika kwenye allocation ya chanjo zaidi ya kukumbusha kuwa mwenye chake ana reserve right of allocation. Si utengeneze chako uwe na haki hiyo?

Unataka ku claim supremacy kwenye mali za wenzio? Claim supremacy kwenye nyungu na hakuna mwuungwana atakaye kulaumu.

Acheni upotoshaji na kujifanya kujikita kwenye kutafuta kwa tochi vihoja vyepesi vyepesi vya upotoshaji visivyo kuwa na mashiko.

Wewe ni mlibiya au mtunisia? Pilipili hizo zinakuwasha je?

Au nasema uongo ndugu zangu?
17CC8DC9-51D4-4CE7-BDB7-983EC3C949D0.jpeg

25BC16A3-EB26-4D27-AE0A-BC9CCB5AE25A.jpeg

Hao ‘kina sisi’ ambao ndio tumeandikwa kwenye hiyo ‘label’ hapo juu, kwamba ndio tunapata hiyo chanjo kama ‘ufadhili’, tumechaguliwa kupewa huo ufadhili kwa ‘Criteria’ ipi? Kwamba ni Waafrika? Kwamba ni masikini? Au ni kigezo kipi kiasi nchi zingine ndani ya Afrika hii hii hawajawekwa kwenye ufadhili?
 
Mada kama hizi tulizi miss sana wakati ule wa kampeni maana hazikuwa kipaumbele wakati huo,kipindi hicho ilionekana kampeni ni muhimu kuliko chochote kwamba ni heri tuambukizane corona ila kampeni ziendelee.
 
View attachment 1690468
View attachment 1690469
Hao ‘kina sisi’ ambao ndio tumeandikwa kwenye hiyo ‘label’ hapo juu, kwamba ndio tunapata hiyo chanjo kama ‘ufadhili’, tumechaguliwa kupewa huo ufadhili kwa ‘Criteria’ ipi? Kwamba ni Waafrika? Kwamba ni masikini? Au ni kigezo kipi kiasi nchi zingine ndani ya Afrika hii hii hawajawekwa kwenye ufadhili?

Kawaulize wenye chanjo au WHO.

Unaniuliza mimi? Criteria za kugawa nyungu kamwulize Jaffo.

View attachment 1690468
View attachment 1690469
Hao ‘kina sisi’ ambao ndio tumeandikwa kwenye hiyo ‘label’ hapo juu, kwamba ndio tunapata hiyo chanjo kama ‘ufadhili’, tumechaguliwa kupewa huo ufadhili kwa ‘Criteria’ ipi? Kwamba ni Waafrika? Kwamba ni masikini? Au ni kigezo kipi kiasi nchi zingine ndani ya Afrika hii hii hawajawekwa kwenye ufadhili?

Hahaaahaa ha haha!

So much out of point, out of context and totally irrelevant questions, asked to a totally wrong individual.

Ni wazi kuwa nia yako ni kujaribu kuzikimbia hoja za kwenye uzi huu. Ni ngumu kuzimeza. Si moja wala mbili. Kwani umewaona mataga kwenye uzi huu?

Wenzio wanapita kimya kimya.

Criteria za kugawa dawa za corona? Tena unaniuliza mimi? Nimekwambia miye nimetengeneza dawa hiyo au miye ni mfadhili wake?

Kama hujui hata wa kumwuliza hayo utapajua hata wapi pa kuuliza? No wonder umeshupalia mambo ya criteria kwenye uzi usiohusika.

Soma subject usome content kujiridhisha uko kwenye uzi unaohusika na unachosema..

Huu si uzi wa criteria za kugawa dawa Corona. Kama lengo lako ni criteria za kugawa dawa anzisha uzi wako kwani binafsi wala criteria hizo sizihitaji.

Umeng'ang'ania criteria ya kugawa dawa kwani umeitengeneza wewe? Weka criteria kwenye nyungu uone kama pana hata atakayekuja kukuhoji.

Au wewe ni baina ya wale wanaojifanya ni wakatoliki kuliko papa?

Au wewe ndiyo wale mnaoipiga dongo na mnataka kuweka allocation kwenye dawa msiyotengeneza?

Unachotaka hasa ni nini? Kmaana haueleweki.

Lolote usiloliafiki kuhusu hii dawa inakuhusu wewe vipi? Huenda haumo kwenye walioko hatarini siyo? Kama ni hivyo nini kinachokuwasha washa basi?


Au ni lile kabila letu pendwa la kanda maalum?

Au ni kujaribu kutafuta uhalali wa serikali kutokuwajibika kwetu sisi walipa kodi?

Usisahau tunajua kuwa kodi hamlipi:


Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kawaulize wenye chanjo au WHO.

Unaniuliza mimi? Criteria za kugawa nyungu kamwulize Jaffo.



Hahaaahaa ha haha!

So much out of point, out of context and totally irrelevant questions, asked to a totally wrong individual.

Ni wazi kuwa nia yako ni kujaribu kuzikimbia hoja za kwenye uzi huu. Ni ngumu kuzimeza. Si moja wala mbili. Kwani umewaona mataga kwenye uzi huu?

Wenzio wanapita kimya kimya.

Criteria za kugawa dawa za corona? Tena unaniuliza mimi? Nimekwambia miye nimetengeneza dawa hiyo au miye ni mfadhili wake?

Kama hujui hata wa kumwuliza hayo utapajua hata wapi pa kuuliza? No wonder umeshupalia mambo ya criteria kwenye uzi usiohusika.

Soma subject usome content kujiridhisha uko kwenye uzi unaohusika na unachosema..

Huu si uzi wa criteria za kugawa dawa Corona. Kama lengo lako ni criteria za kugawa dawa anzisha uzi wako kwani binafsi wala criteria hizo sizihitaji.

Umeng'ang'ania criteria ya kugawa dawa kwani umeitengeneza wewe? Weka criteria kwenye nyungu uone kama pana hata atakayekuja kukuhoji.

Au wewe ni baina ya wale wanaojifanya ni wakatoliki kuliko papa?

Au wewe ndiyo wale mnaoipiga dongo na mnataka kuweka allocation kwenye dawa msiyotengeneza?

Unachotaka hasa ni nini? Kmaana haueleweki.

Lolote usiloliafiki kuhusu hii dawa inakuhusu wewe vipi? Huenda haumo kwenye walioko hatarini siyo? Kama ni hivyo nini kinachokuwasha washa basi?


Au ni lile kabila letu pendwa la kanda maalum?

Au ni kujaribu kutafuta uhalali wa serikali kutokuwajibika kwetu sisi walipa kodi?

Usisahau tunajua kuwa kodi hamlipi:


Au nasema uongo ndugu zangu?
Wewe si ndio umesema kwamba hiyo label inafanyiwa upotoshaji kwa malengo ya kisiasa? Sasa utasemaje hili swali sio mahala pake? Nami nikataka kujua kwamba ni Criteria gani basi walitumia ili kuallocate hiyo chanjo kwa nchi za Afrika zenye watu wenye ngozi nyeusi tu pekee, ili tuweze kujua kwamba kuikataa hiyo chanjo ni sahihi au ni upotoshaji kama unavyodai. Badala yake unataka niwaulize WHO walati wewe ndio tunajadili na ndie uliyetoa hoja, kama hujui basi funga mdomo na wacha serikali iendelee na msimamo wake maana huna hoja unatafuta huruma ya WHO. Kuhusu nyungu hazigawiwi kwenye viboksi na mtu yeyote anaweza fanya akitaka.

Angalizo:
Jinsi unavyoandika maelezo marefu halafu yanakuwa hayana hoja ndani yake, inatia shaka sana juu ya utimamu wa akili yako, andika short, clear and to the point
 
Back
Top Bottom