ASHAKUM SI MATUSI.
Umeandika kwa hisia sana ila bado umeandika ujinga, na unatumia hisia zako ili ueleweke katika upuuzi wako.
NB: mimi naamini hao mabeberu wangekua wana nia ya kutusaidia wangeleta hiyo chanjo bure, maana here we are talking about the survival of the human race!, hiyo chanjo nyi mnaisikia tu lakini ni very expensive! refere SOUTH AFRICA,.
Pia kisa tulipokea chanjo zingine haimaanishi ndo tupokee zote, nadhani katika huu ugonjwa(corona) umekaa kisiasa na maslahi sana ndo maana hata raisi amechukua maamuzi magumu katika matamko aliyoyatoa(sio kazi rahisi kua raisi) .
MUAMAR GADDAFI AMEWAHI KUYATABIRI HAYA YOTE, kipindi cha uhai wake! kua yatakuja magonjwa ya virusi na tutauziwa chanjo zaidi na zaidi!
USISAHAU KUNAWA MIKONO KWA MAJI TIRIRIKA, KUVAA BARAKOA NA KUJITAKASA MIKONO YAKO KWA SANITAIZA, pia fanya mazoezi na kula matunda kuboresha kinga ya mwili, Huku ukiendelea kuchapa kazi kukuza kipato chako kwa ajili ya wanao na taifa kiujumla!
kumbuka:- Afya yako ni jukumu lako namba moja, usiibebeshe serikali kwa asilimia kubwa!.