Corona: Ugonjwa unaoua, uliogeuzwa fursa ya kisiasa Tanzania

Sasa wewe nawe ndio umeandika nini?kueleweshana kupi kama mtua ameleta mada isiyoeleweka,wacha kulea ujinga naona nawe ushakunywa wanzuki
 
Rubbish [emoji706] [emoji706]
 
Sasa wewe nawe ndio umeandika nini?kueleweshana kupi kama mtua ameleta mada isiyoeleweka,wacha kulea ujinga naona nawe ushakunywa wanzuki

Ilitegemewa vilivyo kuwa mijamaa ya chama fulani itakosa hoja. Pia kukosa amani kabisa. Hivyo mingine itachagua kupotea na mingine itachagua kujibaraguza na kujishebedua ikidai kuwa mada haieleweki.

Mmeeleweka mkuu kwa utambulisho wenu.

Hawajambo Lumumba? Pelekeni salamu hamna pa kukificha!
 

Angalizo: Inafahamika kuwa uvivu wa kusoma ni tabia ya ile mijamaa ya kile chama.

Husomi halafu unauliza yale yale yaliyokwisha jibiwa. Bila aibu unadhani una akili timamu?



Kuna hata haja ya kukuandikia tena kama u zezeta wa kushindwa kusoma kiasi hicho?

Aaaah wapi!

Kalaga baho wenzio tunayeya na hivi sasa tuko huku:

 
Na ndio nikakuuliza hapo, Kama ni uchumi, iweje South Africa ipo na Libya haipo? Kama ni hali ya maambukizi, Inamaana ni nchi za Afrika zenye watu wenye ngozi nyeusi pekee ndio zina maambukizi makubwa?



Note: Ahsante kwa kuacha kuandika maelezo marefu yasiyo na hoja ndani yake.
 
Na ndio nikakuuliza hapo, Kama ni uchumi, iweje South Africa ipo na Libya haipo? Kama ni hali ya maambukizi, Inamaana ni nchi za Afrika zenye watu wenye ngozi nyeusi pekee ndio zina maambukizi makubwa?

Jibu lake hulioni hapo chini? Neno "zikiwamo" unajua maana yake? Neno "zote" unajua maana yake?



Kama huyaoni hayo ipo haja ya kukuambia lolote wewe?

Au ni kile kimpumu unachotumia siku zote ndiyo kinaendelea kukukamata?

Note: Ahsante kwa kusoma yaliyoandikwa ili kuacha kushupaa kuuliza maswali yale yale (yasiyokuwa na hoja) yaliyokwisha kujibiwa.
 
Hakika wewe ni MZUSHI FLANI

una imani mambo yatakuwa mazuri (kusadikika) akija rais mwingine na vipaumbele vingine imani yako itaendelea?

Hayo anayofanya ndo makubaliano(maamzi ya bunge kama chombo cha wananchi) yake (rais) na watanzania au ni vipaumbele vyake tu?
 
Leo hii kuna makada wanataka kujifanya ni wa maana mno kuliko hata kina Bill Gates. Wakijishasha na vi propaganda uchwara visivyo na mashiko kuwa wao ni bora zaidi. Kwa lipi hilo jema ambalo majuha hawa waliloifanyia jamii ipi?
 
Leo hii kuna makada wanataka kujifanya ni wa maana mno kuliko hata kina Bill Gates. Wakijishasha na vi propaganda uchwara visivyo na mashiko kuwa wao ni bora zaidi. Kwa lipi hilo jema ambalo majuha hawa waliloifanyia jamii ipi?

Waliyaona waliosema: "stajaabu ya Mussa."

Wa maana kwa lipi moja?
 

Hizo ni jitihada za kijinga kuiondoa serikali kwenye kuwajibika na majanga. Yale yale ya tetemeko la Kagera.

Serikali za hivi zisizo na kuwajibika kwa watu wake ni za nini? Ukweli mchungu ni kuwa serikali za namna hii hakuna mtu anaweza kuzihitaji.
 
Waliyaona waliosema: "stajaabu ya Mussa."

Wa maana kwa lipi moja?
Maandiko yako ni makubwa sana..wale vichwa panzi LMB7 wataishia tu kuponda kwakuwa yamewazidi kima pakubwa
 
Maandiko yako ni makubwa sana..wale vichwa panzi LMB7 wataishia tu kuponda kwakuwa yamewazidi kima pakubwa

Ukweli ni kuwa tunaandika maandiko thabiti yaliyofanyiwa kazi. Tunajua hivyo na wala hatutatetereka.

Hivyo pia wanajua na kwa hakika maandiko yanaandikwa kistaarabu ili kuwabana mataga wote vilivyo popote pale walipo.

Kwa lugha ya mjini ni "ngumu kumeja."

Kama ilivyo kusudiwa wengine wanapita kimya kimya, wengine wana retreat mashimoni kama mapanya, wengine wanajifanya hamnazo kwamba hawaelewi, wengine wanajitahidi kuhamisha magoli, wengine wanakuja na matusi, hasira nk.

Kama hili hapa, hebu lione hili hapa linalohoji criteria zote tokea kwa mtu asiyehusika:



Yapo mengi mataga proper. Ninaandaa uzi stahiki wa kuyafichua yote. Ikumbukwe mataga si nguo bali ni damu.

Mengi ndiyo yale yenye kulia sana misibani kumbe ndiyo machawi menyewe.

Cc: francis-da-don, manjagata
 
Kwa maana hiyo basi, kumbe hizo ulizozitaja katika orodha ya ‘zikiwamo’ si zile zilizotumika kuchagua nchi za Afrika zenye watu wenye ngozi nyeusi pekee ili kupewa ufadhili, sasa hizo za orodha ya sababu ‘zote’ ambazo ndizo zilizotumika , ni zipi? Kiasi zikatumika kuchagua nchi za Afrika zenye watu wa ngozi nyeusi peke yao? Maana kama ni uchumi tumeshaona zipo nchi zimetajwa kwenye orodha na zina uchumi mkubwa zaidi ya zilizoachwa, kama ni maambukizi, zipo zenye maambukizi zaidi na hazijawekwa kwenye ufadhili, hizo criteria zilizotumika ambazo hujazitaja ‘zote’ ni zipi?

Mfano: Kati ya South Africa na Libya, weka hizo sababu ‘zote’ zilizofanya SouthAfrica ichaguliwe na pia tuone jinsi hizo ‘sababu’ zote zilivyoifanya Libya isichaguliwe kupewa ufadhili; maana tukiangalia sababu za kiuchumi na kiwango cha maambukizi tunaona hata Libya ingefaa pia kuwekwa.., sasa sababu ‘zote’ ni zipi?

 
Kuna ndugu yako yeyote au jirani yako amekufa kwa Corona?
Mduanzi huyo.
Kwanza anatokwa povu utafikili analipwa.

Ameng'ang'ana tujifungie ndani wakati yeye mwenyewe saa hizi yupo kwa mama ntilie anapata chai maharage na chapati tatu.

Kiufupi jamaa anazingua.
 
Yani we jamaa ni mpuuzi kweli.
Nasikitika baba yako alipata hasara kutoa pesa zake kukusomesha, bora angenywe bia tu, atoke kitambi.
 

Nimejenga hulka moja ya kutojibizana na wapuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…