Corona: Ugonjwa unaoua, uliogeuzwa fursa ya kisiasa Tanzania

Yani we jamaa ni mpuuzi kweli.
Nasikitika baba yako alipata hasara kutoa pesa zake kukusomesha, bora angenywe bia tu, atoke kitambi.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£ Yaani jamaa linaandika kama kuku aliyekatwa kichwa anakimbia hovyo barabarani bila kichwa, ikabidi kila nikimjibu niwe naweka angalizo la untenyekevu sana, kwamba jinsi anavyoandika maneno mengi halafu hayana hoja ndani yake anatia shaka utimamu wa akili zake; ndioo kidogo akaacha, anajibu short kidogo
 
Hizo ni jitihada za kijinga kuiondoa serikali kwenye kuwajibika na majanga. Yale yale ya tetemeko la Kagera.

Serikali za hivi zisizo na kuwajibika kwa watu wake ni za nini? Ukweli mchungu ni kuwa serikali za namna hii hakuna mtu anaweza kuzihitaji.
Hata ccm wenzake wanajuata huu mzaha walioufanya kwenye maisha ya watanzania kwa kumpa nchi mtu mshamba anaeona kila kitu anafaa kufanya maamzi ya watu milioni 50+ kwa kujifanya eti ukiwa rais hukosei utadhani katoka mbinguni ilihali ni binadamu kama binadamu wengine na mapungufu yao.
 

Andishi kama kuku ni dhahiri kuwa ni wewe. Au siyo jombi?
 
Yani we jamaa ni mpuuzi kweli.
Nasikitika baba yako alipata hasara kutoa pesa zake kukusomesha, bora angenywe bia tu, atoke kitambi.

Baba yako alipata hasara kweri kweri. Watu nyie mtajibu akhera kwa vifo vyote mlivyovipalilia kwa umburula wenu?
 

Kwenye red, ninakazia:



Hiiiiii bagosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…