Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Wewe si usiende kusali kwan umelazimishwa mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshauri vizuri, lakini tambua hili si jambo la kifamilia. Kumbuka hata WHO wametangaza ni "World Pandemic". Jambo la namna hii huwezi chukua hatua ya kifamilia ukawa "safe". Huko ni kujidanganya sana. Kama jamii inayokuzunguka inaishi maisha yasiyo "safe" wewe wawezaje kuchukua hatua ya kifamilia. Na tambua huwezi ifanya jamii ichuke tahadhari kwa kujidai unatoa tu elimu.Wewe jilinde kama wewe na familia ukitegemea Magu umechemsha yeye siku zote iko 'offside' with the outside world yani kituko cha dunia.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema unayojua usaidie watu kujua zaidi usikimbilie ujinga... navyojua pamoja na mengine Italy ni nchi yakwanza ulaya kuzuia ndege toka na kwenda china nk.Unatetea ujinga... Italy alichukua hatua gani baada ya Korona kuingia?
Sema unayojua usaidie watu kujua zaidi usikimbilie ujinga... navyojua pamoja na mengine Italy ni nchi yakwanza ulaya kuzuia ndege toka na kwenda china nk.Unatetea ujinga... Italy alichukua hatua gani baada ya Korona kuingia?
Wewe si usiende kusali kwan umelazimishwa mzee
Usipangie watu wengine sasa
Corona haiui mtu mweusi, ya Italy hayatakaa yatokee bongo
Sina ndugu anayeandika ki-adolescence hiviAfu ndugu zangu wasio na akili kama ww wafe
Tume huru kwake inamtisha kama koronaKila akiwaza madai ya tume huru anachanganyikiwa, maana hana uhakika atapata ushindi kiasi gani, kwani hajawahi kushindana zaidi ya kubebwa na hii Tume isiyo huru ya uchaguzi. Hivyo inabidi asake kura za waumini kwa kujifanya mnyenyekevu na mcha Mungu.