Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Asanteni kwa updates
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazazi wako na ndugu zako umewaombea? RAIS anayejali uchumi wa wachache kuliko afya ukimuombea roho haikusuti? WAzungu na ubeberu wao na kupenda chumi lakini wamefunga kila kitu na leo wanaFUNGA NDEGE ZOTE ZA EMIRATES,Ahsante Mhe Rais JPM!! Mungu akulinde na magonjwa , hasa Corona!! [emoji120][emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Mzee mgaya anasemajeNi swali fupi tu;
Je kamati ya kudhibiti virusi vya Corona iliyo chini ya Waziri Mkuu inahusisha pia wajumbe kutoka Zanzibar?
Maendeleo hayana vyama!
Tofautisha quarantine na self isolation.Zanzibar wana kamati yao I guess. Walishapiga stop mdege kuleta watalii na kwa yule "mtalii" atakayekaidi na kuingia Zenji, atawekwa kwenye mandatory quarantine for 14 days kwa mfuko wake. Yaani unaweza kukuta wakapelekwa hotel za bei mbaya sana
Mkuu Ruta Shuba Nyuma, huu pia ni unabii wa majanga, ni ramli chonganishi kutuchonganisha na Mungu.Ndani ya wiki nne kuanzia leo tutapata majibu ya uhakika kama sala zetu za kubaguliwa zimejibiwa... Mwenyezi Mungu alituagiza magonjwa ya mlipuko na ya kuambukiza tunapaswa kujitenga kwa quarantine sisi tunasema business as usual... Sasa tunamkaidi khalafu tunategemea matokeo tofauti... Four weeks tutajua nini maana ya unyenyekevu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ndo ameruhusu haya yatokee Italia?Kila mtu anathawabu yake na adhabu yake, huwezi ukajua ni kwanini raia wa Italia wanakufa kama kuku,kuliko wachina ambao ndio chanzo cha korona, huwezi kujua makusudi ya Mungu kwa Italia,Mungu mwenyewe ndiye anayejua kwanini karuhusu kipigo cha namna hii kiwapate raia wa Italia, cha msingi ni kufuata masharti na kuendelea kumuomba Mungu atuepushe na baraa hili.
Ila jamaa angefaa pia kuwa mchungaji...Ile ilikua sio hotuba. Kwanza hajasema hao wagonjwa wako tanzania sehemu/mikoa gani. Pili hajasema wameambukizwa nje ya nchi au ndani ya nchi ilikujua kama tumeshaanza kuambukizana wenyewe kwa wenyewe na kujua ukubwa wa tatizo. Tafiti na technolojia hajagusia kabisa. Kazungumzia mambo ya dini, shetani corona, na tuendelee na kazi. Unaweza ona kabisa mhutubiaji ana mtazamo finyu juu ya hili tatizo.
This is where we will fail! Hii bureaucracy ya kufanya vipimo ikiendelea, tutakuwa na low numbers in the books ila kiuhalisia watu watakuwa nao wengi zaidi. Ninakushauri ukae mbali na watu as much as possible na kila baada ya lisaa au hata nusu saa nawa mikono kwa maji na sabuni. Pole sana mkuu.Muhimu ni kuchukua hizi tahadhari serious binafsi nina mafua wiki sasa, koo linakauka, jana imeanza homa, kwenye kupenga mafua na kwenye kubanja damu ikatoka nimeushambulia mwili na dawa kidogo leo nina nguvu.
Na huku kijijini kwetu Corona imetapakaa awataki watu kama sisi kufika hospitali mpaka upate kikohozi kinachoweza kudumu kwa masaa matatu mfulilizo na hiyo hali iwe inajirudia thanks god mpaka sasa kifua sina.
Guys take this precaution measures serious