Griseofulvin
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 1,012
- 1,995
Hii nchi takataka.
Kwa hiyo TZ nzima vipimo vya korona vipo dar tu?
Hatupo serious kama taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hili tangazo limekuja baada ya mbowe kutangaza mikutano ya hadhara nchi nzima........
Natamani ingekua maamuzi ya watz basi tungeshauri uanze na jiwe ambaye alituma Waziri majuzi atuambie watz kua wachina wataendelea kuja maana ni rafiki zetu kitambo
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa umenifurahishaI cant believe maisha yote nimesikiliza nasaha za mama za kutokujihusisha na uhuni nisuje nikapata HIV. Halafu leo nakuja kufa kwa mafua. That's not fair
Achoke vipi na buku 7 ndio zinamuweka mjini.We nae bhana kila wakati ni Siasa tu huchoki.
Tunafanya mambo ya kijinga mengi badala ya kuboresha sector ya afya....Nimeona gari imetoka MKOANI huko moshi na arusha.
JE PALE UBUNGO WANAWAPIMA.?
AU mtu akifika anakwenda na zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu hajawahi kunusuru mtu. Kama ana huo uwezo wa kunusuru watu asingeruhusu vifo vya watu zaidi ya 5000 ambao wameshakufa mpaka Sasa kwa corona na wengine walikuwa hawana hata hatia Kama watoto Tena vingine vichanga.Mungu tunaomba utunusuru tu
Kamanda Mbowe keshatangaza mikutano ya hadhara nchi nzima, duh.
Kweli kabisa. Tulikuwa na muda kutosha kuchukua hatua lakini tulikuwa busy na mambo mengine.Katika nchi ambayo watu watakufa Kama nzige Ni Tanzania, maana Tanzania ilikuwa na nafasi ya kuchukua hatua mapema kwa kuzuia safari za watu kutoka na kuingia Ila walipuuzia, Sasa wacha ituonyeshe makali