Griseofulvin
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 1,012
- 1,995
Bado naamini huu ugonjwa hatujaumbiwa sisi ngozi nyeusi ndio maana mpaka sasa hivi hakuna mwafrica mweusi aliyekufa kwa corona...
Huyo mama atapona na ataendelea na mishe zake bila kuleta athari yoyote kwenye jamii,
Itakuwa aibu kubwa sana ngozi nyeusi kufa na mafua na sizani kama itatokea....
Alafu hii taarifa imekaa kisiasa sana ..... Imewalenga upande wa pili baada ya kusema mwezi wa 4 watakuwa na mikutano nchi nzima [emoji124][emoji124][emoji124]
Huyo mama atapona na ataendelea na mishe zake bila kuleta athari yoyote kwenye jamii,
Itakuwa aibu kubwa sana ngozi nyeusi kufa na mafua na sizani kama itatokea....
Alafu hii taarifa imekaa kisiasa sana ..... Imewalenga upande wa pili baada ya kusema mwezi wa 4 watakuwa na mikutano nchi nzima [emoji124][emoji124][emoji124]