Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

Every living thing has the characteristic of perishing, what do you fear ? With me whatever it comes,kama ni wakufa wacha nikufe,cause I have no power of stopping death,my fellow Tanzanians get ready as it is not known what will take your soul

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye ndege alikaa na nani? Wakati anashuka ndege hakushika sehemu hakujishika kwenye ngazi za ndege??.. Hapo uwanjani hakugusa sehemu kwa mikono yake?? Yani mpaka mda huu huo uwanja ilibidi uwe ushafungwa kabda hawajatangaza yani toka jana kaingia kaenda hotelini amepita sehemu ngapi kashika vingapi kweli hatuko serious asee.. Anyway hii nchi ni siasa kwa kwenda mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpuuzi mkubwa wewe unalala unaota siasa za kishoga muda wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui nirudi kijijini? Msongamano Dar na kasi ya maambukizo ya corona(transmisssibility) ni jambo la kutafakari.
 
Kupitia hili tangazo na comments za wanajf, nimegundua kati ya forums zote duniani,hii ni forum ambayo imejaa watu wanapenda kuchukulia mambo kisiasa zaidi.Mbaya zaidi kuna kikundi cha watu wapumbavu na hayawani wanaodhani Covid-19, ipo kwaajili ya kuwakomboa wao,na kutimiza matakwa yao ya kisiasa.Watu wa aina hiyo wanaofurahia utawapata Jf tu, na sio kwenye platform nyingine za kijamii.Narudia tena Huo ni upumbavu na upunga wa hali ya juu.Na kama haya madudu mnayo yaandika humu, ndo yale yaliojaa mioyoni mwenu,Anapokaa sizonje mtapasikia tu.
 
Kwani Mambosasa kasemaje?
Walikuwa busy na CHADEMA. Pamoja na miito yote nini walisikia.

Serikali zetu hizi mbona shughuli?

Na bado.

Kwa sababu koleo lishavunjika bado si mwisho wa uhunzi. Tunaendelea kuwaitisha wachukue hatua maombi pekee kwa Mungu hayatoshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unaingea Kama nani? Polepole au
Sent using Jamii Forums mobile app
 
aisee, vipi wahudumu wa hiyo hotel ambapo alijikarantini!?
 
sasa uku tz mbona tutapukutika sana
 
Watoto sio makini katika kukabiliana na masharti ya kinga wakati wa milipuko ya magonjwa ya kuambukiza. Naishauri serikali izifunge shule zote kuanzia chekechea hadi vyuo kwa wiki tatu ili kudhibiti maambukizo yasije kuenea kupitia watoto wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…