Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji3516]kwa kuwa paul kagame ni rafiki mkubwa wa yule jamaa na kwa kuwa tayari nchi ya kagame imeshatangaza uwepo wa mtu mwenye corona, bila shaka yule jamaa na yeye atamruhusu ummy atangaze uwepo wa corona tz badala ya kuendelea kukanusha.
Wengine walikuwa wanapiga marufuku watu kuingia nchi zao.
Sisi tunaleta ujuaji.
Imekula kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilo genge la wapinzani ukiwatazama vizuri ni wachumia tumbo walio pindukia yani hutumia elimu zao kuwachota mabodaboda ambao hawaelewi hata wana pinga niniKamanda Mbowe keshatangaza mikutano ya hadhara nchi nzima, duh.
Na ukaguzi wa miradi mara uzinduzi nao marufukuNgoja tuone kama kweli kutakuwa na mikutano huo mwezi wa nne,
Television ya taifa bado inatangaza matangazo ya watoto muda huu...LolView attachment 1389930
huyu ummy mwalimu si alibisha, alafu leo anakubali, tena anatudanganya kuwa huyo mama aliingia nchin tarehe15th march wakati tukio hilo tukio lilipotiwa tar 11st march,