Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

Inashangaza huko American wamezuia kabisa kuingia watu kutoka ulaya ambayo ni epicenter ya tatizo kwa sasa. Majirani zetu Kenya na Rwanda wamepiga marufuku kwa siku30 kuingia wageni na shule zimefungwa.

Hapa kwetu hataki kushauriwa.
Tz ni kuosha tu mikono na maji yanayotiririka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali moja tu, je kama huyu mwanamke alipita na hakugundulika... Ni wangapi wamepita pia? Walikuwa wanaona sifa kusema tuko salama bila kuangalia tubabaki vipi salama
Shida ya serikali yetu imekaa kisiasa najua mnanielewa napo sema siasa kwa Tanzania. Wao kila kitu ni ujuaji tu wa maneno na sio vitendo. Huu ugonjwa ni hatari sana kutoka na njia yake ya kusambaa. Hivyo serikali ilitakiwa iwe makini sana na wageni wanaoingia nchini kwa njia zote.

Sasa wao walijikita kwenye propaganda tu. Mi binafsi kunamuda huwa wananiudhi sana hawa watendaji wa serikali.
 
Na vitani anae tagetiwa kuuwawa ni officer akifa ofisa tuu wafuasi nao awana jipya wataweka silaa chini dah miyeyusho ssna aisee wachina wanaingia kama njuguuu Ad majorem,

121.
 
Ndio maana nasema Kuna kila dalili mlungula ulitembea ili eti akaji isolate, stupid woman, unaacha kuji isolate ulipoutolea unakuja kuua watanzania wenzako si upuuzi huu

Sent using Jamii Forums mobile app

we jamaa una akili sana,nakuhakikishia kama utaendelea kujiongeza zaidi kufikiri utakuja kugundua kwamba corona ni ugonjwa wa kipumbavu sana na wala watu hawapaswi kuwa na hofu kama hii waliyonayo.Nimefurahi sana kwamba umeona hii point,lakini wengine wameshindwa kijiuliza point hii ambayo iko wazi kabisa.

Corona is nothing but a new name given to a disease commonly known as flu ambayo kipindi hiki ndio hutokea katika nchi za baridi.Mafua haya ya kawaida kabisa ya kipindi hiki cha baridi yamepewa jina jipya la kipropaganda na kupewa promo na media dunia nzima na viongozi wakubwa wa serikali za dunia pamoja na celebrities(watu maarufu duniani) waki backup hii promo ili kutimiza malengo fulani ambayo si lazima niyataje sasa.

Tumeambiwa juzi Mikel Arteta,kocha wa Arsenal alikua na corona,halafu baada ya siku chache tunaambiwa kapona,tumeambiwa pia Kenya kulikua na mgonjwa mmoja wa corona lakini sasa anajisikia vizuri,na hapa Tanzania tumeambiwa kuna mgonjwa ana corona lakini sasa anaendelea vizuri na matibabu,sijui sasa kwa taarifa kama hizi watu wanaogopa nini...kama corona is that much fatal mbona hao watu wanapona tena baada ya muda mfupi tu?

Death rate ya "corona" ni just 3%(according to WHO data),ambayo ni kama mafua ya kawaida tu,na ni ndogo kuliko mafua mafua ya kawaida kwa baadhi ya nchi duniani.

Kati ya watu 100 wapatao corona ni 3 tu ndio huweza kufariki ambapo hiyo inalingana na mafua ya kawaida tu,lakini media na watu maarufu duniani ndio walioipa promo corona ionekane kama ni janga kubwa sana duniani kwa sasa,kila chombo cha habari duniani kwasasa kinatangaza kuhusu corona....hiyo ndio nguvu ya vyombo vya habari.

Tujiulize swali dogo sana;

Kama kati ya watu 100 wapatao corona,ni 3 tu ndio huweza kufariki na 97 wote kupona,halafu tunaambiwa corona haina kinga wala tiba,sasa hao watu 97 wote wanaponaje?...wana JF zitendeeni haki akili zenu,msiwe watu wa kufuata mihemko,tumieni akili zenu sawasawa.

Atakayeweza kupata jawabu hao watu 97 kati ya 100 wenye corona wanaponaje wakati tumeambiwa corona inatisha sana na haina kinga wala tiba,atakuwa amepata pia jawabu corona ni ugonjwa wa aina gani.

Tumieni akili,acheni mihemko.
 
Nchi hii [emoji1241] kila mwenye smartphone ni msomi,kila mwenye smartphone ana sharubu,kila mwenye smartphone ni mwenyekiti wa chama, kila mwenye smartphone ni ni waziri wa afya!

Kaskazini wako kazini kwenye saccos ya waziri wa fweza yule mstaafu.

Kazi ipo ila kitaeleweka, tutawelimisha taratibu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika nchi ambayo watu watakufa Kama nzige Ni Tanzania, maana Tanzania ilikuwa na nafasi ya kuchukua hatua mapema kwa kuzuia safari za watu kutoka na kuingia Ila walipuuzia, Sasa wacha ituonyeshe makali

According to WHO,death rate ya corona ni 3%....mfano,kati ya watu 100 ni 3 tu ndio huweza kufariki,hii inafanana na mafua ya kawaida.

Je,wewe una data tofauti na hizi nilinazo mimi ili kuthibitisha kama kweli tutakufa kama nzige?
 


Wanasema huu ugonjwa ukiwa nao dalili hazionekani hadi siku 14. Tatizo wakati huo unaweza kuambukiza wengine. Inamaana kwa vile vipimo vya kumulika vinavyoonyesha joto haviwezi kugundua mgonjwa ikiwa siku 14 hazijafika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…