Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Tuone sasa watafanya nini.Ilo genge la wapinzani ukiwatazama vizuri ni wachumia tumbo walio pindukia yani hutumia elimu zao kuwachota mabodaboda ambao hawaelewi hata wana pinga nini...
CCM NA WAO WAACHE KUZUNGUKANgoja tuone kama kweli kutakuwa na mikutano huo mwezi wa nne,
Ngoja tuone kama kweli kutakuwa na mikutano huo mwezi wa nne,
Nawaza watoto huko mashuleni jamani Mungu atusaidie
Yuko live Channel ten
Updates;
Bora labda ccm itaacha kutuonea
Sasa utanizuia kuingia nchini mwangu?Wengine walikuwa wanapiga marufuku watu kuingia nchi zao.
Sisi tunaleta ujuaji.
Imekula kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app